Juventus Special Thread

Ahhh!! Hawa Madrid veepe wanataka kuharibu game sasa kwani hii mieleka??
 
Half time 1-1. Game ipo 50/50. Mtu wa kumwangalia sana hapa ni Carvajal maana mipira mingi inayotokea upande wake inaonekana kuwa na madhara. Pjanic lea yupo vizuri hali kadhalika Djabala.
Tutulie tu ushindi upo
FORZAJUVE
Wapi Gang Chomba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…