Juventus Special Thread

Itakua kweli ngumi zilipigwa. Daaah, bonucci tayari anatua Milan. Rugani bado ajakomaa kucheza mechi ngumu. Hapa tuombe Mungu Alex Sandro asiondoke ili tumchukue Matia de sciglio azibe pengo la dani Alves Huku pengo la bonucci lizibwe na Kostas Manolas.
 
Kwa jinsi nilivyosoma mitandao leo. Ipo haja ya Alves na Bonucci kuondoka Juventus. Nidhamu nikitu Muhimu sana kwenye timu. Forza Bianconeri.
 
Kwa jinsi nilivyosoma mitandao leo. Ipo haja ya Alves na Bonucci kuondoka Juventus. Nidhamu nikitu Muhimu sana kwenye timu. Forza Bianconeri.
Kina Marotta wamechemka sana kwenye hii issue ya Bonucci kwetu sisi Rosoneri tunashukuru sana kwa kutuzawadia the best CB in the world kwa bei chee
 
Wadau Mandragola anajua. Akipewa nafasi anaweza akaziba pengo la bonucci.
 
Wadau msimu huu timu hatuna. Tujiandae tu kusaikolojia kufungwa hata na Benevento.
 
Daaah, Matuid yupo vizuri. Yan jinsi anavyozurura uwanjani ananikumbusha enzi za vidal na pogba. Ila wadau douglas Costa mm namuona kama sio type yetu Juventus. Yan kama anauvivu flani hivi.
 
Auguri Bianconeri [HASHTAG]#120[/HASHTAG]

[HASHTAG]#FinoAllaFine[/HASHTAG]
 
Allegri pamoja na uwongozi wanaimuza timu, kiufupi wanairejesha nyuma kabisa.
Mpaka leo wanashindwa kusajili midifild wazuri wa kuchukua nafasi za Pirlo na Vidal. bado wana wababaishaji tu katikati. Hilo ndio tatizo kubwa la timu pamoja na kua na striker butu.
 
Yani huyu kocha ni mzinguaji kabisa. Sielewagi hata nn anachofundisha. Higuain na Khedira nawaona kama wababaishaji tu Dyabala anamuanzisha benchi, Bentancur yupo vizuri lkn anasugua benchi. Spinazola wamempeleka kwa mkopo Atalanta.
 
Rugani anahitaji kuwa stater kila mechi. bado wanang'ang'ania Barzagli mpaka leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…