Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

juzi Real Madrid walisema hawajapokea ofa yoyote kumuhusu Higuain!nakuambia ukweli mkuu natazama usajili wa Juve msimu huu wakizingua natafuta timu ya kushabikia kwa muda hadi Marotta atoke pale!hata kwa unafiki ntashabikia timu nyingine tu!ngoja tuone.

Hutaweza Mkuu, kama Juve ipo moyoni itabaki tu moyoni.

Ila jamaa wanaboa kwa kweli, hizi blah blah zao zinaweza hata kumfanya Conte aangalie ustaarabu mwingine.
 
Higuain confirmed after the game that he will leave Real Madrid.

"It's not easy, but I want to go to another club, new challenges," said Higuain, who has been linked to Juventus.

"I know Juventus want me but there is nothing concrete. I want to go somewhere where they prove they really want me."
 
Italian side Napoli have agreed a deal for Bayern Munich striker Mario Gomez, 27.

Fiorentina will not accept any offer less than £25m from Juventus for Montenegro striker Stevan Jovetic, 23.

Sijui kama tuko serious na isajiri, Higuain kasema wazi kwamba jamaa hawako serious na uhamisho wake, Jovetic ndio huyo jamaa bado wana mbwelambwela.

Hadi Napoli wanatuzidi akili?
 
Italian side Napoli have agreed a deal for Bayern Munich striker Mario Gomez, 27.

Fiorentina will not accept any offer less than £25m from Juventus for Montenegro striker Stevan Jovetic, 23.

Sijui kama tuko serious na isajiri, Higuain kasema wazi kwamba jamaa hawako serious na uhamisho wake, Jovetic ndio huyo jamaa bado wana mbwelambwela.

Hadi Napoli wanatuzidi akili?

Tunahitaji usajili wa directors kabla ya wachezaji.this is very very important.
 
Usajili huu presha inapanda presha inashuka!

Me hata presha sipati ila hasira na hawa viongozi wasiokua na maamuzi rasmi, saa hzi wamemgeukia Tevez kama watamkosa Higuain, na hiyo itategemeana na kama Cty hawatampa mkataba mpya.
Sasa huu si usengerema huu!!!
 
Me hata presha sipati ila hasira na hawa viongozi wasiokua na maamuzi rasmi, saa hzi wamemgeukia Tevez kama watamkosa Higuain, na hiyo itategemeana na kama Cty hawatampa mkataba mpya.
Sasa huu si usengerema huu!!!

na arsenal wamezungumza na Higuain pia.22m pounds ni pesa nyingi kwa juve.halafu baadae utasikia wamebeba Aquilani,Kolo Toure,Benny Mcarthy kwa paundi 40m.stupid Marotta!
 
na arsenal wamezungumza na Higuain pia.22m pounds ni pesa nyingi kwa juve.halafu baadae utasikia wamebeba Aquilani,Kolo Toure,Benny Mcarthy kwa paundi 40m.stupid Marotta!

Stupid indeed! Jovetic naye ishakua ishu coz team kama Chelsea zinamfukuzia na Arsenal wamo, pesa ya kumnunua Cavanni hatuwezi sasa hata huyu Mario Gomez wa £7 atushinde?
 
Ravanelli appointed Ajaccio boss
June 8, 2013

Fabrizio Ravanelli has been appointed as manager of Ligue 1 side Ajaccio.

The former Juventus, Lazio, Marseille and Italy national team striker, 44, makes the move to France for his first senior managerial role after working as a youth coach at Juve.

He will be joined by fellow Italian Giampiero Ventrone who brings with him a wealth of experience after working under Marcelo Lippi at Juve and, most recently, with Antonio Conte at Siena.

Ajaccio's former manager Albert Emon quit on May 28, with club president Alain Orsoni citing 'personal issues' as the reason for his exit.

The club finished 17th in Ligue 1 last season, avoiding relegation by just two points on the final day of the season.
 
na arsenal wamezungumza na Higuain pia.22m pounds ni pesa nyingi kwa juve.halafu baadae utasikia wamebeba Aquilani,Kolo Toure,Benny Mcarthy kwa paundi 40m.stupid Marotta!


Habib Kolo Toure ashatua Liverfool
 
Stupid indeed! Jovetic naye ishakua ishu coz team kama Chelsea zinamfukuzia na Arsenal wamo, pesa ya kumnunua Cavanni hatuwezi sasa hata huyu Mario Gomez wa £7 atushinde?


Bado mapema sana...
Tunao watoto palepale Utaly ambao wakipewa nafasi wanaweza kuwa kama El-shaarawy.

So tusikimbizane na hao wenzetu wenye mikopo isio na Riba wala kikomo cha kurudisha...
 
Bado mapema sana...
Tunao watoto palepale Utaly ambao wakipewa nafasi wanaweza kuwa kama El-shaarawy.

So tusikimbizane na hao wenzetu wenye mikopo isio na Riba wala kikomo cha kurudisha...

Mzee mwenzangu hali yetu mbaya, sijui itachukua muda gani Serie A kuzalisha El-Shaarawy mwingine.

Unajua kuwa kwenye kupanga makundi ya UCL for 2013/2014 hakuna hata team moja ya Serie A itakayokua kwenye pot A? (European ranking coefficient (based on the last five years' results for club and other teams from the same country)
pot B upo wewe peke yako, sisi tuko pot C, yaan hata Porto na Benfica ziko juu yetu currently!

Muda ni kitu ambacho hatuna kwa sasa!
 
Mzee mwenzangu hali yetu mbaya, sijui itachukua muda gani Serie A kuzalisha El-Shaarawy mwingine.

Unajua kuwa kwenye kupanga makundi ya UCL for 2013/2014 hakuna hata team moja ya Serie A itakayokua kwenye pot A? (European ranking coefficient (based on the last five years' results for club and other teams from the same country)
pot B upo wewe peke yako, sisi tuko pot C, yaan hata Porto na Benfica ziko juu yetu currently!

Muda ni kitu ambacho hatuna kwa sasa!


Wapo akina Andrea Poli akina alesio Cerci, akina Diamanti and the like...
Pia kuna vipaji vya bei poa toka America ya kusini.
Sie mbona tulienda Serie B na kumpata Ricardo Saponara ambaye ni promising young star?
tutampa nafasi msimu ujao na ataweza tu.
 
Wapo akina Andrea Poli akina alesio Cerci, akina Diamanti and the like...
Pia kuna vipaji vya bei poa toka America ya kusini.
Sie mbona tulienda Serie B na kumpata Ricardo Saponara ambaye ni promising young star?
tutampa nafasi msimu ujao na ataweza tu.

kutoka Trezeguet hadi Marrone kaka inahitaji moyo kukubali kuwa tumekuwa na sie kama Sunderland na Ajaccio!aibu!
 
kutoka Trezeguet hadi Marrone kaka inahitaji moyo kukubali kuwa tumekuwa na sie kama Sunderland na Ajaccio!aibu!


Wapo watu bana...
Fiorentina kuna kiumbe anaitwa Quadrado...
Then Udinese kuna dogo mmoja anacheza na Di Natale pale front ni sumu ile mbaya.

Unataka viungo nenda Napoli utakutana na akina Behrami, Ghohan Inler, Na Marek...

Bado muda upo na bado vipaji vipo.
Tazama Milan walienda mchukua Constant kwa ajili ya kuziba pengo la Seedorf lakini alipojaribiwa chini kushoto amefit kiasi kwamba Milan hawana habari tena na kumtafuta mtu wa mbavu ya kushoto.

Pia tazama Galiani alipocheza mchezo mchafu na kufanikiwa kumpata Boateng.
au walivyochungulia mpaka wakampata Zapata.

so ni umakini tu na kuwaamini mnaowapa majukumu.

Sio nyie mara leo Quagriarella na Matri, mara kesho Vucinic na Giovinco...
Chagueni watu wa kuanza na wengine wawe Sub.
Ni kama sisi na Balotelli wetu.
 
Wapo watu bana...
Fiorentina kuna kiumbe anaitwa Quadrado...
Then Udinese kuna dogo mmoja anacheza na Di Natale pale front ni sumu ile mbaya.

Unataka viungo nenda Napoli utakutana na akina Behrami, Ghohan Inler, Na Marek...

Bado muda upo na bado vipaji vipo.
Tazama Milan walienda mchukua Constant kwa ajili ya kuziba pengo la Seedorf lakini alipojaribiwa chini kushoto amefit kiasi kwamba Milan hawana habari tena na kumtafuta mtu wa mbavu ya kushoto.

Pia tazama Galiani alipocheza mchezo mchafu na kufanikiwa kumpata Boateng.
au walivyochungulia mpaka wakampata Zapata.

so ni umakini tu na kuwaamini mnaowapa majukumu.

Sio nyie mara leo Quagriarella na Matri, mara kesho Vucinic na Giovinco...
Chagueni watu wa kuanza na wengine wawe Sub.
Ni kama sisi na Balotelli wetu.

hilo suala la upangaji timu nakubaliana nawe Conte anakosea.lakini usajili hata huo unaozungumzia unatupa shida.Jovetic hadi sasa bad😵gbonna mwenyewe tunambwela tu.kwa suala la usajili linaniudhi mno!
 
Wapo watu bana...
Fiorentina kuna kiumbe anaitwa Quadrado...
Then Udinese kuna dogo mmoja anacheza na Di Natale pale front ni sumu ile mbaya.

Unataka viungo nenda Napoli utakutana na akina Behrami, Ghohan Inler, Na Marek...

Bado muda upo na bado vipaji vipo.
Tazama Milan walienda mchukua Constant kwa ajili ya kuziba pengo la Seedorf lakini alipojaribiwa chini kushoto amefit kiasi kwamba Milan hawana habari tena na kumtafuta mtu wa mbavu ya kushoto.

Pia tazama Galiani alipocheza mchezo mchafu na kufanikiwa kumpata Boateng.
au walivyochungulia mpaka wakampata Zapata.

so ni umakini tu na kuwaamini mnaowapa majukumu.

Sio nyie mara leo Quagriarella na Matri, mara kesho Vucinic na Giovinco...
Chagueni watu wa kuanza na wengine wawe Sub.
Ni kama sisi na Balotelli wetu.

Uko sawa Chomba lakini je, hivi vipaji vya Serie A are they good enough to compete in Europe?
Hakuna kipaji cha ajabu ulichotaja hapo juu zaidi ya Hamsik na Di Natale, though na yeye ni maji ya jioni already

Hebu tuwe honest kidogo, hivi ni mchezaji gani mkubwa huko Ulaya utamsikia akihusishwa kwenda Serie A siku hizi? Siku hizi hata wataliano wenyewe wanacheza mpaka kwenye ligi nyanya kama Ligue 1 ya France na wanaitwa team ya Taifa,

Na unajua wachezaji wa kisasa wanakaa kwenye club yenye mafanikio hasa mafanikio ya UCL ambayo ndio ndoto ya every modern footballer.
Kwa mwendo huu itakua vigumu kukaa na wachezaji wazuri kama itatokea club inayoweza kuwapa mafanikio hasa ya UCL
 
hilo suala la upangaji timu nakubaliana nawe Conte anakosea.lakini usajili hata huo unaozungumzia unatupa shida.Jovetic hadi sasa bad😵gbonna mwenyewe tunambwela tu.kwa suala la usajili linaniudhi mno!

Mkuu me naomba nimtetee Conte, anarundikiwa magalasa kibao, wengine hata hawahitaji na bado we expect him kumanage the squad perfectly na kila mchezaji awe na furaha clabun, kocha hana namna inabidi tu sometimes afanye rotation, no way out!
 
Msikie mnafiki huyu;

Llorente: Juve are like Barca and Real

New Juventus striker Fernando Llorente has compared the club to Barcelona and Real Madrid as he prepares to move to Serie A from La Liga.

Spain international Llorente, 27, signed a four-year contract with Juve in January after deciding to leave Athletic Bilbao on a free transfer.

In an interview with Marca he has said he found it easy to join the Italian giants because of their reputation and stature in the world game.

"It's one of the best teams in Europe and the best in Italy," he said. "I'm lucky to be able to play for a team like that. I'm really looking forward to entering a new phase.

"[I joined Juventus] because it has impressed me ever since it expressed an interest. It's a really big club, comparable to Real and Barça. It's as though I've always known it was my team."
 
Back
Top Bottom