Leo tunaua Napoli.I'm confident,i'm sure,i'm proud and peaceful!I AM A JUVENTINO!Wapi Mourinho na juventino wengine tuanze sherehe mapeeema kabisa!
Juventus 3 Napoli 0 Loriente,Pirlo na Pogba bao la Pogba si mchezo na free kick ya Pirlo. Dk Inaenda 83 Game over Juventus soon atamkamata Roma safi sana vijana wa Conte.
Roma kakamatwa na Sassuolo 1-1,so Juve anampumulia kisogoni sasa kwa tofauti ya pointi moja tu,"Scudetto showdown imeanza,kumekucha serie a!"
Masikini Roma jamani, ndio tumemshusha tayari. Pale kwenye usukani ndio asahau tena. Yani Sebastian Vettel anaongoza lap alafu akwachie ushike usukani.
Masikini Roma jamani, ndio tumemshusha tayari. Pale kwenye usukani ndio asahau tena. Yani Sebastian Vettel anaongoza lap alafu akwachie ushike usukani.
Wakati Roma hawajapona kale kaugonjwa ka kwikwi, Milan wamepumua leo na baadae wanaume wa shoka, the Bianconeri tutakuwa tunafingua gap hapo kileleni
otea Juve atakuwa winter champion na atamuacha wa pili kwa gap la point ngapi nione kama una uwezo wa kumfikia pweza wangu zeroseventytwo?
Arturo Vidal 1
Arturo Vidal 2
Arturo Vidal 3
Forza Bianconeri!
Maishani mwangu sijawahi kuikubali Hat trick yenye penati...
mie bana naikubali Hat Trick ya nyama kwa nyama