Juventus Special Thread

Ziroseventytwo umejificha wapi? Naona team yako na Benitez wenu chalii, tena nyumbani, mambo ya Max Lopez hayo

nipo sana mkuu, ni kweli tumeadhibiwa bao 1 kwa 0 na chievo, ambayo mimi naamini walikuwa na bahati zaidi kuliko uwezo. Msimu huu naona utakuwa tough kweli timu zimejiandaa kwelikweli.

Milan naona wapo uwanjani saa hizi. Najua Gang Chomba anasubiri matokeo aje hapa kesho na lugha zake zenye shombo.
 
Last edited by a moderator:
Ziroseventytwo umejificha wapi? Naona team yako na Benitez wenu chalii, tena nyumbani, mambo ya Max Lopez hayo

nipo sana mkuu, ni kweli tumeadhibiwa bao 1 kwa 0 na chievo, ambayo mimi naamini walikuwa na bahati zaidi kuliko uwezo. Msimu huu naona utakuwa tough kweli timu zimejiandaa kwelikweli.

Milan naona wapo uwanjani saa hizi. Najua Gang Chomba anasubiri matokeo aje hapa kesho na lugha zake zenye shombo.
 
Last edited by a moderator:

Msimu huu kwa kweli utakua mgumu sana kwenu, ndio maana jamaa hawajaanza maongezi ya kumuongezea mkataba Benitez mpaka waone atawapa nini msimu huu
Kina Gang Chomba na Belo wameenza vizuri kweli na hii itakua balaa kwetu, maana maneno ya kwenye vigodoro yatatawala sana humu, lol
 
Last edited by a moderator:

milan wamepata bhana. Ushindi mkubwa lakini wa hovyo. 5-4 dhidi ya parma. Hapa inaonyesha defence yao ni ya mgambo, ingawa game sikuicheck, kule goal.com wameiponda sana. Wameiita "shame'. Gang Chomba njoo utoe tathmini.
 
Last edited by a moderator:
Leo Kop wameumiza moyo wangu sasa hawa Juventus wasiwacheleweshe hawa Ac Milan.
 
milan wamepata bhana. Ushindi mkubwa lakini wa hovyo. 5-4 dhidi ya parma. Hapa inaonyesha defence yao ni ya mgambo, ingawa game sikuicheck, kule goal.com wameiponda sana. Wameiita "shame'. Gang Chomba njoo utoe tathmini.


refa aliharibu mechi...
 
Last edited by a moderator:
Arturo Vidal scored twice to give title-holders Juventus a 3-0 win over Cesena as they became the first team in Serie A history to complete their opening four without conceding a goal.
Salamu kwa Belo, Gang Chomba, Ziroseventytwo and co.
 
Last edited by a moderator:
hawa napoli wana matatizo gani?namna hii juventus hatuna wa kuzuia moto wetu serie A

naanza kushindwa kumwamini Rafael Banitez, haiwezekani. Tumetandikwa na Atletico bilbao kwenye ucl, tumepigwa na vitimu vya ajabu ref chievo, game 4 alama 4! Tumeshinda 1 sare 1 kipigo mara 2, Arrghh! Jana ndio sijamwelewa kabisa, sare ya 3-3 wanaongoza jamaa wanachomoa! Dah

pachanya uko wapi? Njoo nisaidie huku.
 
Last edited by a moderator:
Ziroseventytwo

Kuna siku ulimsifia sana Benitez wewe, ukasema ni bonge la kocha na nakumbuka tulikutahadharisha lakini kijana wetu hukusikia, wapi EMT?
 
Last edited by a moderator:
Reactions: EMT
Kuna siku ulimsifia sana Benitez wewe, ukasema ni bonge la kocha na nakumbuka tulikutahadharisha lakini kijana wetu hukusikia, wapi EMT?

msimu uliisha hata nyie mlitetemeka, napoli walipofanya mabadiliko makubwa. Kocha mpya mwenye cv inayojieleza. Usajili wa ukweli, Higuein, Callejon, Albiol ect. Tulianza vizuri mkuu. Sijui upepo ulipotelea wapi!
 
Last edited by a moderator:
Marefa wa Italia ni homa kwa kweli.Penati gani ile wamewapa Atalanta?bora Buffon kaiokoa na kupiga counter,Tevez akagonga la pili.Wawape tena penati tutapiga la tatu. Mourinho moto wa Tevez balaa.

For the first time namuona Morata hapa uwanjani,kambadili Llorente
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…