Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Mzee mwenzangu juve2012 hii habari ya Xherdan Shaqiri umeipokeaje?
In an interview with Tuttosport, the Swiss star stated: 'Juventus would definitely be a nice option.
'Juventus are a big club, who wouldn't want to play for them... I don't think Juventus would be a step back in my career.

Dogo nahisi anajaribu kuforce move ya kuondoka Bayern..

Manake juzi kati hapa, Rais wa bayern aliulizwa kuhusu mstakabal wa Shaqiri..akasema hawatomuuza coz ni future ya Bayern..

Siku moja mbele kwenye Page ya twitter Account yake, Shaqiri akaandika "i live for the present, not for the future"...nahisi alikuwa anamjibu na kumpga dongo raisi wa Bayern..

Lakin kama mkimpata yule bwana mdogo..mtakuwa mmepata jembe sana..

he's young, talented na ana njaa ya kuprove kipaji chake..ni mzuri.

atajiua sana kama akiendelea kubaki Bayern..
 
Last edited by a moderator:
Mzee mwenzangu juve2012 hii habari ya Xherdan Shaqiri umeipokeaje?
In an interview with Tuttosport, the Swiss star stated: 'Juventus would definitely be a nice option.
'Juventus are a big club, who wouldn't want to play for them... I don't think Juventus would be a step back in my career.

Kama tutampata huyo,basi ngekewa ya Pogba itajirudia mara ya pili kwa Juve kupata very good talents out of lucky.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu juve2012 na Mourinho, thread mnaiacha mpaka inafika page ya 3? Kwani hakuna habari za kuhusu hii club yenu? Tetesi za usajili pia mnashindwa kuweka? Aarghhh! Wenzetu kule primier league wanatupiga bao. Namwana kule Belo, Pazi, myao wa tunduru na wengine ambao walikuwa watu wetu wa serie A.

Baada ya kuitandika Barcelona kwa 1-0 juzi kati, Napoli wamepangiwa Atletico Bilbao kwenye ucl raundi ya tatu. Mshindi hapa anakwenda 1 kwa 1 kwenye makundi. Game itapigwa tarehe 19 na marudio ni wiki moja baadae. Mechi inatarajiwa kuwa ngumu. Ila namwamini sana Banitez.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu huyu Vidal si tetesi alikuwa Mgonjwa?? Namuona ndani ya game kama kawaida...
 
Tetesi za waingereza? Vidal yuko poa na anakamata dimba na Pogba na Marchisio kama unavyoona.
Forza Juve

Mdogo mdogo Italy sasa inaweza kuzuia wachezaji wazuri kuondoka...Sainisha mkataba kabisa atakayekuja bila €75 hapati kitu..
 
MosDef

siku nikiwa na nguchiro Giovinco basi sintakuwa na haja ya kuwa na Shakiri...
 
Last edited by a moderator:
Tumepata Pogba mwingine.Tuna bahati sana.Na yule Pereyra nae unamwonaje kaka?

Hivyo vitoto vyote moto wa kuotea mbaliiii, sema jamaa zako tu hawakawii kuwapiga bei, kila nikimkumbuka Giacherrini naumia sana kwa mtima
 
Tumepata Pogba mwingine.Tuna bahati sana.Na yule Pereyra nae unamwonaje kaka?

Hivyo vitoto vyote moto wa kuotea mbaliiii, sema jamaa zako tu hawakawii kuwapiga bei, kila nikimkumbuka Giacherrini naumia sana kwa mtima
Ila Pereyra bado hana kiwango kama cha mwenzake, huyu Coman habari nyingine kabisa
 
Hivi juve2012 unamuelewa Allegri? Me simuelewi kabisaa, yaani ushuzi ushuzi tu huyu mwehu
 
Last edited by a moderator:
Hivyo vitoto vyote moto wa kuotea mbaliiii, sema jamaa zako tu hawakawii kuwapiga bei, kila nikimkumbuka Giacherrini naumia sana kwa mtima
Ila Pereyra bado hana kiwango kama cha mwenzake, huyu Coman habari nyingine kabisa
Huyo dogo Coman anambio Kama enzi za Henry sasa hivi Juve hata ikatokea kuuza basi pesa watazopata wanaweza kutengeneza timu vizuri Kabisa.
 
Ziroseventytwo umejificha wapi? Naona team yako na Benitez wenu chalii, tena nyumbani, mambo ya Max Lopez hayo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom