Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Nipo mkuu,nimepoa kama maji mtungini manake timu halieleweki siku hizi,unaweza kuongea sana ukishinda leo,kesho mnapigwa.

Vidal simfurahii sasa hivi.Bora angeenda Man utd tu,bichwa limekuwa kubwa hamna anachofanya uwanjani.

That last gasp penalty was the golden opportunity to make things more better in terms of head to head you know.

Nilitegemea Juve na Roma wangerudisha japo hadhi huku Ulaya lakini wapi, kwa kweli tunatia huruma sana na tunapoelekea soka la Italia litakua kama la Uskochi
Vidal sijui karogwa? Ila sio yeye tu, nikiangalia top performers wetu wa msimu uliopita wameshuka sana kiwango, Pogba, Carlitos, wote hawachezi kama msimu uliopita. Huyu mwehu Allegri anatuulia team
 
Not when it comes to Andrea Pirlo, The Artist.

Jamaa anaweza kucheza na glass ya wine na isimwagike.

Hii picha niliiona hapa JF kwa mara ya kwanza wakati wa World Cup
Leo match ya pili mfululizo Pirlo anafunga kwa free kick lakini naona performance yake na soka lake tamu linadumazwa na kiwango kibovu cha team yetu, anastahili zaidi, bora hata angekua anaenjoy soka lake na Carlo Ancelotti huko Madrid kuliko kwa huyu mwehu aliyemkimbiza Milan
 
Hii picha niliiona hapa JF kwa mara ya kwanza wakati wa World Cup
Leo match ya pili mfululizo Pirlo anafunga kwa free kick lakini naona performance yake na soka lake tamu linadumazwa na kiwango kibovu cha team yetu, anastahili zaidi, bora hata angekua anaenjoy soka lake na Carlo Ancelotti huko Madrid kuliko kwa huyu mwehu aliyemkimbiza Milan

Nilitaka kusema hivyo pia.

Imagine hayo mapande yake yalikuwa yanaenda kwa watu kama Suarez, Aguero au Diego Costa.
 
Pamoja na ushindi mpana wa goli 7-0, mliopata dhidi ya parma, wanazi wa juventus mmeshindwa kuja hapa na kujadili japo kidogo! " Mourinho, juve2012, Viper, EMT na wengine kina pachanya, vp? Mbona jukwaa linakuwa kama halina wenyeji?

Chama langu s.s. Napoli tumepata 1-0 dhidi ya timu ngumu ya Fiorentina. Ushindi unaotupeleka nafasi ya tatu alama chache toka pale juu. Tumerudi kwenye reli, siyo mdogo mdogo tena sasa ni mwendo mdundo!.
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na ushindi mpana wa goli 7-0, mliopata dhidi ya parma, wanazi wa juventus mmeshindwa kuja hapa na kujadili japo kidogo! " Mourinho, juve2012, Viper, EMT na wengine kina pachanya, vp? Mbona jukwaa linakuwa kama halina wenyeji?

Chama langu s.s. Napoli tumepata 1-0 dhidi ya timu ngumu ya Fiorentina. Ushindi unaotupeleka nafasi ya tatu alama chache toka pale juu. Tumerudi kwenye reli, siyo mdogo mdogo tena sasa ni mwendo mdundo!.

Mkuu wangu soka la Italia linaniboa kila siku, nitaangalia matches lakini nguvu ya kujadiliana sina, halafu hata nikitaka kumsifu Carlitos kwa goli lake mahiri ntajadiliana na nani? Uzi huu na ule wa Milan ni nyuzi mfu, zinakatisha tamaa kwa kweli.
Sikuona game yenu lakini kutokana na matokeo ya mechi mbili-tatu zilizopita inaonesha kama mmefufuka kutoka kuzimu kama Alan Pardew, mie ntapata ahueni kidogo kama tutafanya chochote Ulaya (including A.S Roma)
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wangu soka la Italia linaniboa kila siku, nitaangalia matches lakini nguvu ya kujadiliana sina, halafu hata nikitaka kumsifu Carlitos kwa goli lake mahiri ntajadiliana na nani? Uzi huu na ule wa Milan ni nyuzi mfu, zinakatisha tamaa kwa kweli.
Sikuona game yenu lakini kutokana na matokeo ya mechi mbili-tatu zilizopita inaonesha kama mmefufuka kutoka kuzimu kama Alan Pardew, mie ntapata ahueni kidogo kama tutafanya chochote Ulaya (including A.S Roma)

kweli mkuu. Thread hii na ile ya milan zimekufa, Gang Chomba na mwenzake Viper ambao ni ma-owner wa thread hawana habari kabisa. Mabuluda kibao wamekimbilia epl,na kule kumechangamka...hapo kwa pardew he risen from dead! Kweli kabisa. Watu walikuwa wanasubiri aonyeshwe mlango wa kutokea, yeye katokea dirishani.
 
Last edited by a moderator:
kweli mkuu. Thread hii na ile ya milan zimekufa, Gang Chomba na mwenzake Viper ambao ni ma-owner wa thread hawana habari kabisa. Mabuluda kibao wamekimbilia epl,na kule kumechangamka...hapo kwa pardew he risen from dead! Kweli kabisa. Watu walikuwa wanasubiri aonyeshwe mlango wa kutokea, yeye katokea dirishani.
Gang Chomba na Milan yake wameishiwa sera, wanapoelekea watakua kama Liverpool

cc; Belo
 
Last edited by a moderator:
Parma wabovu ila naona hii formation yetu mpya kama imeleta uhai fulani tangu mechi dhidi ya Olympiakos.Ngoja tuone.
 
Pamoja na ushindi mpana wa goli 7-0, mliopata dhidi ya parma, wanazi wa juventus mmeshindwa kuja hapa na kujadili japo kidogo! " Mourinho, juve2012, Viper, EMT na wengine kina pachanya, vp? Mbona jukwaa linakuwa kama halina wenyeji?

Chama langu s.s. Napoli tumepata 1-0 dhidi ya timu ngumu ya Fiorentina. Ushindi unaotupeleka nafasi ya tatu alama chache toka pale juu. Tumerudi kwenye reli, siyo mdogo mdogo tena sasa ni mwendo mdundo!.

Sorry, huwa siangalii tena Serie A kama zamani, so ngumu kuchangia.
 
Sio mbaya,magoli ya akili,Tevez,Llorente..ngoja tusubiri mechi na Atletico tuone.
cc Mourinho
 
Last edited by a moderator:
Sio mbaya,magoli ya akili,Tevez,Llorente..ngoja tusubiri mechi na Atletico tuone.
cc Mourinho

Mechi mbili za mwisho zimenipa ahueni fulani hasa match ya Lazio, naona vijana wameanza kumuelewa Allegri anataka wachezeje na taratibu team imeanza kuadjust kuelekea formation ya 4-4-2
 
Last edited by a moderator:
I wish serie a ingerudia viwango vya mechi kama ya leo.
Torino wabishi,wamefanya mechi iwe kali sana,Pirlo kapiga goli kali la ushindi dk ya 90 ila yule dogo Peres katuaibisha sana lile goli alilotufunga ni goli la karne.
 
I wish serie a ingerudia viwango vya mechi kama ya leo.
Torino wabishi,wamefanya mechi iwe kali sana,Pirlo kapiga goli kali la ushindi dk ya 90 ila yule dogo Peres katuaibisha sana lile goli alilotufunga ni goli la karne.

Amen to that
 
Back
Top Bottom