Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

pogba kama zidane hahaha hatareeee napoli hoi

Furaha niliyo nayo hapa, only Jack Daniels can describe, hawa Napoli wamekua vichwa ngumu kwq zaidi ya muongo mmoja sasa, leo tumewafunza kusema 'shikamoo' juve2012 ndugu yangu uko wapi?
 
Last edited by a moderator:
Nipo mkuu jukwaa limepoa mno bhana. Naona mmepata bao LA kuongoza mapema kabisa......
 
Nipo mkuu jukwaa limepoa mno bhana. Naona mmepata bao LA kuongoza mapema kabisa......

Bao au mabao? Maburuda mmepotelea EPL, kina shifta sijui wameongeza wake?
Anyway hawa Verona tutawapa dozi ileile kama ya juzi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom