Juventus Special Thread

Tevenga katuokoa na "mdudu mbaya" Genoa.Wale watoto wanapendaga kukazia wakubwa sana.
 
hakika Shifta alifikisha salam za pongezi kwenu ndugu zangu...
nami kwa uungwana zaidi nawapa tena pongezi

hongera na wewe mkuu!wote wale wale mabuluda,furaha yetu furaha yako,msiba wako msiba wetu kaka.
 

kweli kaka,ngoma bado hii!hii ni robo fainali na kila timu iliyofika hapo haijafika kwa kucheza mdundiko,bali mpira uwanjani.nilikuwa natania tu,ila naona ni heri tungepewa timu kubwa kama Real ili morali iwe juu kuliko hizi timu zisizoeleweka,huwa ni ngumu.Juve wanatakiwa kufuata ushauri wa Tevez,kwamba Monaco ni the worst draw, bora wangepewa Real au Barca.
 
yah,pole mkuu.Ile kombinenga ni misumari ya inchi 6,ukikanyaga inatoboa hadi rim teh teh!

Kuna haja ya kuanza kumanage kikosi chetu kwa kuangalia zaidi Ulaya kuliko nyumbani, kina Tevez, Marchisio, Vidal, Bonucci wanahitaji kupumzika kidogo kidogo na mmoja mmoja bila kuharibu balance ya team
Nimekusoma hapo juu ukiakisi mawazo ya Carlitos, ni kweli Monaco wanaweza kuwa wasumbufu kwa sababu they've got nothing to lose, lakini bado naona ni bora mara 100 kukutana na Monaco kuliko Barca, Bayern katika stage hii, ngoja tuwabalase hawa ili confidence ikue ndani ya kina Morata then waleteni wowote wale tuwachezeshe kwata la kibuluda.

#FinoAllaFine
#ForzaLaVecchiaSignora
#ForzaJuve
#ForzaBianconeri
 

Mkuu ata mimi nimesema hapo juu kua PSG ni wazuri kuliko Monaco. rudi ukasome post yangu tena uone mkuu....


Ulichosema ni kweli mkuu ata mimi nimehofia sn huo mchezo wenu na kuona kua morari yenu itashuka.


Jana mlishinda kwa taabu sn lkn nafikiri hili ni kutokana baadhi ya wachezaji wenu kuanza kuchoka.....
 

Umeanza mambo ya yule Bauncer waliomnanii kichakani kwa mbindee sana, ungekua unajua historia ya hivyo vijamaa ungemuelewa juve2012 alivyofurahia ule ushindi.
So far hatuna wachezaji wenye uchovu but Allegri needs to manage the squad well kama tunataka kwenda mbali zaidi kwenye UCL, kina Vidal, Marchisio, Pereyra, Morata na Tevez ni kama ndio wanaanza msimu, they're on fire, kina Barzagli ndio wamerudi kutoka kwenye majeruhi, bado kina Asamoah wapo njiani, so far hatuna tatizo la fatigue Mkuu
 
Last edited by a moderator:
Aisee mambo yalikua magumu jana kaka....

Team yako ndio inaumwa uchovu na kocha wenu alivyo king'ang'anizi hataki kabisa kufanya mabadiliko.
Ivanovic, Terry, Matic, Willian wanahitaji kupumzishwa or else mna hatari ya kupoteza points kwenye game zilizobaki maana kila match mtakayocheza itakua ni fainali, kila team itawakazia
 

Ok mkuu ngoja tuwe na subira....
 
Last edited by a moderator:

Mkuu kwa sasa tunacheza EPL tu mara moja kwa wiki...wachezaji watachoka vipi hapa mkuu?

Matokeo ya jana mkuu ni makosa ya wachezaji wenyewe na si uchovu mkuu....

Ni kweli kuna hatari ya kudondosha point mkuu hasa kutokana na timu kuikania sn chelsea lkn mimi mashaka yangu makubwa ni kufanya fitina mkuu kwa waamuzi.....lkn kutona na ratiba ilivo ya timu zote bado tutakua hapo hapo juu...na uzuri wajina lako Mou ligi ikiwa ktk muda huu na anaongoza basi kumtoa juu inakua ni shida sn....
 

Mkuu uchovu sio wa team kucheza kila baada ya siku 3 na kuwa na muda mdogo wa kupumzika, ni accumulation ya uchovu toka mwanzoni mwa msimu, we hujiulizi kwanini siku hizi hamtandazi lile soka mlikua mnapiga kabla ya mwaka kugeuka?
Hivi kuna winga au mchezaji alikua anampita kirahisi Ivanovic kama jana au kwenye ile match na Spurs mliyopigwa 5? Fabregas alikua anaweza kukaa muda wote huo bila kutengeneza goal? Matic alikua, ulipo mpira na yeye yupo, yeye na Fabregas walikua wanacover sehemu kubwa ya uwanja kuliko mchezaji yeyote kwenye ligi, siku hizi je?
Bahati yenu ni kuwa kiwango cha ligi yenu msimu huu ni cha hovyo sana ndio maana bado mpo kileleni, or else tungekua tunaongea mengine saa hizi, kule La Liga Madrid walianza kama nyie ila walivyodrop tu Barca haooo
 

Ninakubali mkuu kua kuna kushuka kwa viwango kwa wachezaji na ndio maana tunaona kuna makosa yanajitokeza sn wakati mwingine....lkn pia nimeona kua Chelsea wana kikosi kidogo sn ndio maana timu ni hiyo hiyo moja inayoanza siku zote.........lkn bado wanafanya vzr pamoja na changamoto zote hizo.....

Ngoja tuone msimu ujao mambo yatakavokua......
 

Khaaaa, Ntuzu huna haya? Chelsea mna kikosi kidogo?
Ukiacha Man City sijui ni club gani ina depth kwenye squad kama Chelsea hapo EPL
 
Last edited by a moderator:
Khaaaa, Ntuzu huna haya? Chelsea mna kikosi kidogo?
Ukiacha Man City sijui ni club gani ina depth kwenye squad kama Chelsea hapo EPL

Mkuu imebidi nifurahi tu.

Anyway...nilitaka kusema kua hatuna mbadala mujarabu ndio maana kila siku kikosi ni kile kile......
 
Last edited by a moderator:
Naona Allegri anafaulu mtihani ambao ulimshinda Conte,combination ya Pogba +Tevez + Morata imewabeba sana.Kwenye Serie A ubingwa uko mkononi na Champions League almost mko nusu fainali.Natamani sana mchukue ubingwa msimu huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…