Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Lazio wametupa njia kwenye Coppa kwa kuharibu saikolojia ya Fiorentina leo.Ila Sassuolo nao wabiiishiiiii,tumshukuru Pogba ingawa hakufurahishwa na mashabiki wa Juve ambao leo walikuwa na kampeni ya kuzomea mwanzo mwisho ili kuonyesha walivyochefuka kufungwa na Fiorentina ndani ya Turin.Mara kumi kufungwa na Inter,kuliko Fiorentina,there is always a bitter rivalry between the two sides.Hata mimi sipendi kufungwa na Fiorentina kabisa.Sijui kwa nini?eti Mourinho why?!kwanini Juventini hatupendi kupigwa na Fiorentina na Napoli zaidi hata ya Milan na Inter?

Bitter rivalry btn Bianconeri na Viola? Me naona ni Viola ndio wanatuchukia tena sana probably kuliko team yoyote, wao ndio viongozi wa kutuita majina mabaya, mara watuite wezi. Unakumbuka mwaka flani hivi Zoff aliitwa mwizi na beki wa Viola akiwa kwenye mahojiano na TV?
Na lile saga la Baggio labla nalo liliongezea chuki zao juu yetu, lakini Viola sio wapinzani wetu kamwe, ni vile tu wanatuchukia sana ndio maana majuventin hatupendi kufungwa na hivi vijamaa
Me team sizipendi ni Napoli na wale washenzi wa mjini, Roma na Lazio ila Napoli zaidi, upinzani na Inter ni kama umepoa imebaki historia tu, hawa Viola wana wivu wa kike tu na sisi dawa yao tunayo
 
Last edited by a moderator:
Mmeiona hii wakulungwa? juve2012, Gang Chomba Belo, gutierez, Ziroseventytwo #Majuventini na #Mabuluda
Juventus president Andrea Agnelli blasted Italian football chiefs, accusing Manchester City and PSG of "financial doping."

The patron sat down with German magazine Die Zeit ahead of Juve's Champions League visit to Borussia Dortmund.

"I am not the leader of the opposition in Italian football, because we don't have a Government," said Agnelli.

"Nothing happens without a meeting of the Presidents. The Lega Serie A itself is weak and has no authority, nor its own management. This leads to a less transparent situation, for example with TV rights, and a conflict of interest.

"We ought to change some of our ideas and behaviour. With few exceptions, the Presidents are all 60-70 years old. There are few in their 40s."

Agnelli also warned the bankruptcy of Parma, who needed a €5m bailout package from the Lega Serie A just to finish the season, is "the tip of the iceberg.

"The fact a club can reach this point is down to the bad management of Italian football. I am not worried what people in Italy think of the country, but I am worried by what you overseas think of us.


"Old stadiums are one of the causes of this crisis, I agree 100 per cent. It is our generation's job to leave our children with a different football, one that is better and more transparent, but also a better country.

"Without doubt there are differences between me and other Serie A Presidents. In my view it should be run like the Premier League by people who bring the League forward as a product with a strategy to develop and export our football.

"In James Pallotta, the Roma President, we have found an ally. Are more foreign investors welcome? I don't care where the investment comes from, but I can assure you Juve will remain Italian."

Juve have arguably the worst reputation abroad because of the Calciopoli scandal, which saw them stripped of two Serie A titles and demoted in 2006.

"It's not right to say we've been rehabilitated. We accepted the sentence of the sporting trial, but that was all done in a month and new information emerged afterwards that was not taken into consideration.

"Three years ago we presented a request for damages worth €443m on lost income. We are waiting for the hearing."

Agnelli also blasted the massive clubs who have challenged the Financial Fair Play regulations.

"At this moment there are four clubs who are beyond compare in terms of revenue: Real Madrid, Manchester United, Bayern Munich and Barcelona.

"They are followed by PSG and Manchester City, who however operate on a system of financial doping. If we take those two clubs out of the table, Juventus rise to eighth place. My objective is to reach fifth position in three or four years."

Juventus also want to climb up the pecking order in the Champions League, starting with the Round of 16 against Borussia Dortmund.

"We are Juventus. We have to win every game."

#ForzaJuve #ForzaBianconeri
 
Dortmund 0 Juventus 3...Carlos Tevez dk ya 3 na dk ya 79,Alvaro Moratta dk ya 70. Aggregate 5-1!@mourinho did you expected this?
 
Dortmund 0 Juventus 3...Carlos Tevez dk ya 3 na dk ya 79,Alvaro Moratta dk ya 70. Aggregate 5-1!@mourinho did you expected this?

Nilitegemea ushindi ila c mkubwa kiasi hiki. Hii juve hii ina kila dalili za kuendelea kufanya vizuri.
 
Nilitegemea ushindi ila c mkubwa kiasi hiki. Hii juve hii ina kila dalili za kuendelea kufanya vizuri.

mie pia nimeshangazwa na jinsi walivyobadilika jana.Juve hawachezi mpira kasi,lakini jana walikuwa wanakimbia sana,goli 2 za counter,kombinenga ya Morata na Tevez ni hatari.
 
mie pia nimeshangazwa na jinsi walivyobadilika jana.Juve hawachezi mpira kasi,lakini jana walikuwa wanakimbia sana,goli 2 za counter,kombinenga ya Morata na Tevez ni hatari.

Draw ya kesho ingefaa sana tupewe timu kutoka ufaransa hasa Monaco. Hapo semi final lazima.
 
Draw ya kesho ingefaa sana tupewe timu kutoka ufaransa hasa Monaco. Hapo semi final lazima.

pweza umeanza mambo yako,kwa hiyo tukienda ligue 1 tunatoboa?haya ngoja tuone ila kumbuka wamemtoa mwingereza hao jamaa si wa kudharau.PSG ndio naiogopa kuliko hata Bayern.
 
Draw ya kesho ingefaa sana tupewe timu kutoka ufaransa hasa Monaco. Hapo semi final lazima.


na Juve akifika Semi tu basi yeyote atakaepangiwa atambaishia...
juve ni timu iliokamilika.
juve ukuta wake unacheza kwa nidhamu ya hali ya juu.
juve kiungo chake kinakaba bila kutegeana.
ukitoa ubishoo wa mtu mweusi Juve hakuna mtu mwenye kujiona yeye ndio yeye, so pasipo yeye hakuna ushindi
...

forza Juve
 
pweza umeanza mambo yako,kwa hiyo tukienda ligue 1 tunatoboa?haya ngoja tuone ila kumbuka wamemtoa mwingereza hao jamaa si wa kudharau.PSG ndio naiogopa kuliko hata Bayern.


teh teh umeitaja PSG umenikumbusha kauli ya Ibrahimovic eti juzi alivocheza ile rafu na kisha wachezaji wa Chelsea kumfuata eti anadai aliona kama kazongwa na vitoto (panya road) kumi na moko....kwi kwi kwi kwiiiiiii
 
juve2012, Ziroseventytwo na shifta, jana mwenzenu nimeshinda mlingotini, kule mapangoni kabisa alikokabidhiwa Mwalimu mwenge wa Uhuru kwa ajili ya zile bao 3 bila majibu.
Nimefurahi sana siku ya jana, hata sikuweza kuingia humu, ntawapa story siku mingine za huko mlingotini

FORZA BIANCONERO
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahaaaa, Violla bana hawana adabu kabisa, juzi wamemshikisha adabu mtu mzima flan hivi, leo wamewashikisha ukuta wale washenzi wa Roma
 
Hawa Roma wamepatwa na nini? Kuna kitu hakipo sasa pale clubuni kwao. Hii club si imechukuliwa na mwekezaji? Afanye mabadiliko makubwa akichukuwa ushauri kwa watu kama Sacchi, Lippi na kina Cappello. Ovyo kabisa
 
Mungu kasikiliza sala zetu. Ona hii
 

Attachments

  • 1426853804866.jpg
    1426853804866.jpg
    48.2 KB · Views: 28
teh teh umeitaja PSG umenikumbusha kauli ya Ibrahimovic eti juzi alivocheza ile rafu na kisha wachezaji wa Chelsea kumfuata eti anadai aliona kama kazongwa na vitoto (panya road) kumi na moko....kwi kwi kwi kwiiiiiii

ha ha ha haa!anaringia zile futi 6 na points kadhaa zake!
 
Back
Top Bottom