Juventus Special Thread

Naona Allegri anafaulu mtihani ambao ulimshinda Conte,combination ya Pogba +Tevez + Morata imewabeba sana.Kwenye Serie A ubingwa uko mkononi na Champions League almost mko nusu fainali.Natamani sana mchukue ubingwa msimu huu

Ahsante kwa best wishes Belo

Tevez na Morata wamatengeneza bonge la combo na haijalishi nani anacheza nyuma yao, awe Vidal, Pogba, Marchisio, Pereyra au Pirlo, wao ni mwendo wa kucheka na nyavu tu
Kwa kweli baada ya kutimba kwenye 1/4 final ndio nimemkubali Allegri, majuventini tulimpokea vibaya sana huyu bwana, lakini sasa majuventini wote tupo nyuma yake.
#ForzaBianconeri
 
Last edited by a moderator:
Only Pirlo can do this

Pirlo tayari anashangilia goli wakati mpira bado uko hewani, natamani huyu jamaa angekua na miaka 20 hivi ili aendelee kuushangaza ulimwengu wa soka kwa miaka mingi zaidi
#ForzaPirlo
#Forzajuve
 
Hii ngumu kumesa sasa, alianza Pirlo, akaja Pogba sasa Marchisio tena for the rest of the season, kichwa kinaanza kuuma au juve2012 utakamata dimba mzee?
 
Last edited by a moderator:
Hii ngumu kumesa sasa, alianza Pirlo, akaja Pogba sasa Marchisio tena for the rest of the season, kichwa kinaanza kuuma au juve2012 utakamata dimba mzee?

mkuu acha tu.leo tumecheza ovyo pale kati tumepoteza mipira vibaya.yaani ni disaster.kama Empoli wametusumbua vile,hiyo Monaco itakuwaje?
 
Last edited by a moderator:
mkuu acha tu.leo tumecheza ovyo pale kati tumepoteza mipira vibaya.yaani ni disaster.kama Empoli wametusumbua vile,hiyo Monaco itakuwaje?

Kuna siku nilikuambia Violla sio wapinzani wetu, No Gigi, no St.Andrea Pirlo, no Pogboom, no Carlitos, no the Swiss Express,..NO PROBLEM.......waleteni whoever wins the damn thing, ingawa nawataka Napoli tuwale kiboga na Benitez wao

Nadhani performance ya jana imekutoa wasiwasi Mkuu, Monaco watakutana na dhahma kama lililowakuta Dortmund, Allegri anazidi kujijengea imani, heshima na support ya Juventini

cc. Ziroseventytwo, Gang Chomba, bologna, myao wa tunduru, Belo
Niwakaribishe pia #Nabii Sikonge, Janjaweed, MosDef nyumbani kwa Champions elect wa Champions League

#ForzaJuve
 
Last edited by a moderator:
Mourinho;

Umenena vyema mkuu. Game ya Jana kwa akili ya kawaida niliiona ngumu sana.

Kwanza juve clinic yao imejaa majeruhi, pili viola walikuwa nyumbani nilitegemea mpambano uwe mgumu. Cha kushangaza First half mlikuwa tayari mpo mbele kwa goal 3. Kuhusu kukutana na Napoli hilo halikwepeki. Leo Lazio anaondoka hili halina mjadala..

Alegri kaiweza juve akifanikiwa kuiondoa Monaco basi msishangae akachukua ndoo kabisa.
 
Last edited by a moderator:

Kwanza kwa Lazio hupiti, ukagombane na kina Torino na Sampdoria upate hata kucheza Uefa toto msimu ujao, hii match kwenu haina tija, maana hata mkikatiza 'kwa mbindee' mtakutana na Morata anawasubiri
 
Ntuzu huwa unaangalia game za Juventus au wewe ni EPL tu Mkuu? Nasikia mnamtaka sana Pogba, tupeni Oscar na pesa tuwape the Pogboom
Tuna kijana anaitwa Pereyra, umemuona huyo?
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu huwa unaangalia game za Juventus au wewe ni EPL tu Mkuu? Nasikia mnamtaka sana Pogba, tupeni Oscar na pesa tuwape the Pogboom
Tuna kijana anaitwa Pereyra, umemuona huyo?

Najua kwa sasa hatupo kwenye kiwango chetu, pamoja na hayo Lazio hawawezi kutuondoa. Trust me. Game ya kwanza tulitoa sare ya 1-1 Kule kwao Roma. Leo tupo home awike, asiwike kutakucha. Fainal ni cc na nyie. Over!
 
Last edited by a moderator:
Najua kwa sasa hatupo kwenye kiwango chetu, pamoja na hayo Lazio hawawezi kutuondoa. Trust me. Game ya kwanza tulitoa sare ya 1-1 Kule kwao Roma. Leo tupo home awike, asiwike kutakucha. Fainal ni cc na nyie. Over!

Hata Violla walibahatisha kaushindi pale home, dhahma ikawakuta mbele ya wake zao na wakwe zao, sasa wewe endelea kukariri kuwa utashinda kwa sababu kigodoro kinapigwa gheto
Hivi mna mechi ngapi hamjashinda?
 
b5-click funguka tu, najua nyie ni wezi wa vipaji na pesa zenu za mafioso, mleteni Oscar + Cash mumpate 'brazamen' Pogba
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu huwa unaangalia game za Juventus au wewe ni EPL tu Mkuu? Nasikia mnamtaka sana Pogba, tupeni Oscar na pesa tuwape the Pogboom
Tuna kijana anaitwa Pereyra, umemuona huyo?

Hua naangalia mkuu Mara moja moja sn.

Oscar hawezi kutoka pale Chelsea ila tunaweza kumng'oa Pogba kwa hela tu
 
Last edited by a moderator:
Hua naangalia mkuu Mara moja moja sn.

Oscar hawezi kutoka pale Chelsea ila tunaweza kumng'oa Pogba kwa hela tu

Vyovyote vile, mtuletee £75m tukamchukue Ilkay Gundogan, RVP na vijana wa kiamerika wengine kama watatu hivi
Sasa akija huko atacheza namba ya nani?
 
Hata Violla walibahatisha kaushindi pale home, dhahma ikawakuta mbele ya wake zao na wakwe zao, sasa wewe endelea kukariri kuwa utashinda kwa sababu kigodoro kinapigwa gheto
Hivi mna mechi ngapi hamjashinda?

Katika game 5 za mwisho tumepata matokeo haya
Loose - 2
Draw -2
Win -1
Wao katika game 5 za mwisho wamepata hivi
Win - 4
Draw - 1
Head to head ndio tumewapa displine ya kutosha. Kachezea game 4 kapata sare 1. Atafungiwa mazoea.
 
Vyovyote vile, mtuletee £75m tukamchukue Ilkay Gundogan, RVP na vijana wa kiamerika wengine kama watatu hivi
Sasa akija huko atacheza namba ya nani?


Atacheza nafasi hiyo hiyo anayocheza huko
 
Atacheza nafasi hiyo hiyo anayocheza huko

Umenijibu kama mtu asiyejua soka Ntuzu
Sisi Bianconero tunacheza mfumo tofauti na Chelsea, na hata mfumo ukibadilishwa kutokana na mpinzani, kiuongo yetu huwa na kiungo wa chini (St.Andrea Pirlo/Mpiganaji Marchisio) na mbele yake anakua na vioungo wengine wawili, mara nyingi hawa ni Vidal na Pogba, pembeni kule kuna wing backs na washambuliaji pacha
Nyie mnacheza 4-2-3-1, kwa uchezaji wa Pogba na ukitaka umfurahie huyo dogo, kuna namba mbili tu za kucheza hapo kwenu, ya Fabregas au Oscar, and you can't leave a £75m signing on the bench, can you?
 
Last edited by a moderator:


Mkuu Niko kwa mkoloni na mambo ni mengi sn hasa ukizingatia kua tulikua na mapumziko marefu sn ndio maana unaona napita kila napoona notification ktk simu yangu naacha LIKE au nasema kidogo.

Nachojua Pogba ni kiungo kwa maana hiyo akija kwetu atacheza nafasi hiyo ya kiungo ata km Faby au Oscar wataanzia bench! Hapa lengo ni kua na kikosi imara hasa kutokana na fuzo tulilopata kwa PSG.

Jingine ni kwamba sizani km Chelsea watakua tayari kutoa pesa refu hivo kwa Pogba!
 
Last edited by a moderator:
The Bianconeri were back on the training ground this afternoon to prepare for Saturday’s Serie A trip to the Ennio Tardini, where they will face Roberto Donadoni’s Parma.
With a heavy fixture schedule on the horizon, Massimiliano Allegri granted 24 hours’ rest only to those who featured in last night’s Coppa Italia semi-final return leg success over Fiorentina, while it was business as usual for the remainder of the group.
Missing out on today’s session were Stephan Lichtsteiner, who was given treatment for the bruise sustained to his right thigh that forced him to skip Tuesday night’s encounter, and Carlos Tevez, whose medical assessments revealed no serious issues.
The Argentine will now undergo a specific regime to recover from the muscle fatigue that resulted in yesterday morning’s precautionary departure from the team’s Florence base. -
Tomorrow will see Allegri work with a full group at his disposal, with a morning session on the agenda.
 
Trezegol's back in town!

Fan favourite David Trezeguet returns to the club as president of the Juventus Legends


Bianconeri hero and fan favourite David Trezeguet has returned to Juventus in a full-time capacity, becoming president of the club’s Juventus Legends project. -
A few months ago, rumours began to spread of the striker’s impending retirement, and today he can confirm that he has hung up his goalscoring boots to return to his spiritual home of Juventus.
The work he has already done as a club ambassador has underlined the warmth and affection felt towards him by fans across the globe, a fitting tribute to the goalscoring exploits he treated legions of Bianconeri supporters to during 10 glorious seasons with the club.
Following 171 goals in 320 appearances, David departed for new challenges in Spain, UAE and Argentina, before bringing down the curtain on his career with a spell at Pune City. -
And after returning to receive the adulation of his adoring faithful before last year’s clash with Roma at Juventus Stadium, he will now be back wearing the black and white stripes again, lining up alongside the fellow greats who have contributed to the club’s glorious history.
The first opportunity to see him in action comes on 4 May 2015, when the Juventus Legends travel to face their Kyushu counterparts at Tosu’s Best Amenity Stadium in Japan. It will mark a return to familiar territory for Trezeguet, who inaugurated Fukuoka’s Juventus Lounge in January. -
 
Baadhi ya statistics za match ya jana na vijana wa Florence

Two
Back-to-back strikes registered by Pereyra for Juventus. After hitting Hellas Verona with goals in successive Coppa Italia and Serie A games in January, Empoli and Fiorentina have become the Argentine’s latest victims.

Three
Goals scored by Matri against Fiorentina, all coming in the black and white stripes of Juventus. Two of these were hit in Serie A.

Six
Tackles won by Arturo Vidal during a typically combative display in the middle of the park, just under a third of the Bianconeri’s total figure of 20.

12
Claudio Marchisio recoveries on a solid return to action for the midfielder. He also created four opportunities for his team-mates.

86
Minutes it took for Fiorentina to register their first shot on target, a clear indication of the Bianconeri’s brittle performance at a notoriously tough venue. -

Ziroseventytwo walete wachovu wako
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…