Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
ebana hongereni sana kwa kuvuka na kuongoza kundi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pampaluma mlango wa chuma ukiufungua.........!gang chomba bado tupo wote bhanaa!teh..teh..teh!
Sasa huku watatujuwa wataliano sheikh...
Sasa huku watatujuwa wataliano sheikh...
mie na wewe hadi fainali sheikh,kama 2002...!itafanyika wapi mwakani?
yasije kuwa yale ya 2002 tulipobakia hivi hivi mie na wewe safari hadi fainali!
ilikuwa 2003 Old trafford mwakani UCL itafanyika Wembley Stadium pale London
Hujakoma eeh?
nilichokufanyia juzi kati unaona kama hakitoshi eeh?
we endelea kuwaota Milan wakati timu yako yenyewe ndio ile ikipigwa kona mnadaka.
Hujakoma eeh?
nilichokufanyia juzi kati unaona kama hakitoshi eeh?
we endelea kuwaota Milan wakati timu yako yenyewe ndio ile ikipigwa kona mnadaka.
mkuu jana vijana wameshinda lakini kwa penalty ya kimagumashi
Juventus-Cagliari 1-0
Il 12.12.12 doveva segnare lui, il numero 12, Sebastian Giovinco!
On 12/12/12, it just had to be him, number 12, Sebastian Giovinco!
![]()
hahaha ngoja nikamtafute jukwaa la mapishi kule ... hahaha
Milan 3-0 Reggina