bologna
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 1,489
- 1,426
Gang Chomba kama nakuona vile ukiwaumenuna hadi kipindi cha kwanza 3-0. OOOH FORZA JUVENTUS. What a mis from Vidal, oooh its a penalty!!!. and Red card for Philipo Mexes. Najua watu watasema sana kua tunabebwa but juve ni moto wa Gesi sasa hivi.