Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Carrera unsure of Conte's Juve future

Juventus first-team coach Massimo Carrera has admitted he is unsure if manager Antonio Conte will stay with the Bianconeri beyond this season.

Conte, who guided Juve to their second successive Serie A title last week, has been linked with a move away from Turin in recent weeks with Chelsea and PSG among the mooted destinations.

And with speculation mounting that Les Parisiens are ready to offer big money to prise the former midfielder away from Juve, Carrera says he is unaware of his colleague's plans beyond the end of the current campaign.

"Antonio has not spoken to either the president or [Juve chief executive Beppe] Marotta," Carrera said. "I'm sure they will make their considerations, but you'll have to ask that question to him. He is a winner and wants to improve himself all the time."

Meanwhile, Carrera said that despite the Scudetto being wrapped up, Juventus will not lose focus.

We will try and give space to some players who have played less," he said. "But we want to win all our remaining games and beat some records. There are no signs of wear and tear."
 
Ghohan Inler, Behrami, Dzemaili na marek Hamsik....hivi vitoto vinanifurahisha sana kwa kweli...
I wish viendelee kuwepo msimu ujao na Cavani wao ili timu za Italia zifanye vizuri nxt season of champions ligi

Sawa kabisa unacho-wish Mzee mwenzangu na me natamani at leasts msimu ujao Serie A turudishe makali kwenye UCL manake watoto wadogo wanaongea kashfa sana siku hizi, wanatukana wakunga na uzazi ungalipo.

Inler na Behrami wanakaribia 30's so probably wao wana nafasi kubwa kubakia klabuni on other hand Hamsik na Cavani ni malighafi adimu huko ulaya na take into consideration kwamba umri wao bado unaruhusu (mid 20's) wanaweza wakabaki wajaribu tena kupigania Scudeto na kwenda mbali kidogo kwenye UCL

Team yako nayo inahitaji usajiri wa maana tena nadhani zaidi yetu, kuanzia wa Kocha then nadhani kila idara inahitaji kuimarishwa. Kwa sababu kwa hii ligi yetu ni Bianconeri, Milan na Napoli ndio zina stand a chance kubishana kwenye UCL, Lazio na ndugu zao Roma hao ngoma yao ni UEFA toto, jirani zako kushney.
 
lakini Conte haridhiki na kikosi kilichopo.kuna mvutano hivi sasa baina yake na directors.yeye anataka changes kubwa na anaamini uwezekano huo upo.amesema juzi kuwa kuhangaika na watu mmoja au wawili tu haitoshi,anataka usajili wa maana na project endelevu kuwapa nafasi young players,kitu ambacho Italia hawapendi kusikia na ndo maana timu nyingi zilijaa wazee.hizi demands zake Juve wanaona ni high risk taking!wanataka kuendelea na mabadiliko ya taaratibu!Conte juzi wakati akiulizwa mustakabali wake klabuni baada ya kufuatiliwa na Madrid,chelsea na man city alisema hawezi kuzungumza kama anabaki au la mpaka Juve watakapokubaliana naye kuhusu proposal zake mpya kwenye project na hasa usajili wa maana na mfumo wa kunyanyua wachezaji wenye umri mdogo.anasema bado anahitaji watu ili kujenga kikosi ambacho kitacheza offensive game with a lot of possession na mashambulizi yakijengwa toka nyuma kwenye defence na huku mbele kukiwa na wide attackers at least wawili wenye uwezo wa kufanya mashambulizi ya kustukiza.ni ishu serious wazee kuna mvutano Juve hivi sasa!

Mkuu JUVE2012, Conte yuko sawa lakini ajaribu kuwa realistic kidogo na yeye or else anatafuta sababu ya kuhama club kwa sababu ya hizo club kubwa zinazomtaka.

Me sidhani kama tunahitaji mabadiliko makubwa sana kwenye kikosi cha kwanza, usajili wa wachezaji wa3 au wa4 inatosha kabisa or else tutatibua balance ya team.
Kama nilivyosema kuwa team ishakaa kwa muda sasa, wachezaji wanaelewana vizuri na hii ni muhimu sana kwenye mafanikio. angalia kwa mfano Bayern, Dortmund na Barca, team zao zina wachezaji waliokaa pamoja kwa muda ndio maana unawaona wanacheza namna wanavyocheza na mafanikio wanayopata.

Kama ni mabadiliko makubwa afanye kwenye academy kwa hiyo vision yake anayotaka club iende nayo vinginevyo tutakua kama Man Cty ambao ni nothing than mkusanyiko tu wa wachezaji wasiokua na team!
 
Sawa kabisa unacho-wish Mzee mwenzangu na me natamani at leasts msimu ujao Serie A turudishe makali kwenye UCL manake watoto wadogo wanaongea kashfa sana siku hizi, wanatukana wakunga na uzazi ungalipo.

Inler na Behrami wanakaribia 30's so probably wao wana nafasi kubwa kubakia klabuni on other hand Hamsik na Cavani ni malighafi adimu huko ulaya na take into consideration kwamba umri wao bado unaruhusu (mid 20's) wanaweza wakabaki wajaribu tena kupigania Scudeto na kwenda mbali kidogo kwenye UCL

Team yako nayo inahitaji usajiri wa maana tena nadhani zaidi yetu, kuanzia wa Kocha then nadhani kila idara inahitaji kuimarishwa. Kwa sababu kwa hii ligi yetu ni Bianconeri, Milan na Napoli ndio zina stand a chance kubishana kwenye UCL, Lazio na ndugu zao Roma hao ngoma yao ni UEFA toto, jirani zako kushney.


100.....
 
Mkuu JUVE2012, Conte yuko sawa lakini ajaribu kuwa realistic kidogo na yeye or else anatafuta sababu ya kuhama club kwa sababu ya hizo club kubwa zinazomtaka.

Me sidhani kama tunahitaji mabadiliko makubwa sana kwenye kikosi cha kwanza, usajili wa wachezaji wa3 au wa4 inatosha kabisa or else tutatibua balance ya team.
Kama nilivyosema kuwa team ishakaa kwa muda sasa, wachezaji wanaelewana vizuri na hii ni muhimu sana kwenye mafanikio. angalia kwa mfano Bayern, Dortmund na Barca, team zao zina wachezaji waliokaa pamoja kwa muda ndio maana unawaona wanacheza namna wanavyocheza na mafanikio wanayopata.

Kama ni mabadiliko makubwa afanye kwenye academy kwa hiyo vision yake anayotaka club iende nayo vinginevyo tutakua kama Man Cty ambao ni nothing than mkusanyiko tu wa wachezaji wasiokua na team!


sijaona tatizo la kipa kwenu wala kwa beki...
Tatizo la juve linaanzia kwenye kiungo na ushambuliaji.

Juve kwa sasa mnatakiwa muwe na Viungo wakabaji wawili, kisha viungo kama Lavezzi, Hamsik na Kaka watakaokuwa wakimlisha mipira mshambuliaji mmoja tu pale mbele ambaye kwa timu yenu mpaka sasa hamna mtu huyo.

wakabaji wawe Pirlo na Vidal Pado, au Pirlo na Marchisio.
Juve viungo mlio nao wote ni wakabaji. Then washambuliaji mlionao wote ni type ya namba 10, yaani hawakai pale mbele.
Ukitazama magoli yenu mengi ni hardcore sana. So kama mkikutana na timu itakayoweza zuia uhuni wa na ubabe wa Juve basi yafuatayo ni kama yale ya Bayern.

rejea game ya pili kati ya Man UTD na Madrid.
Man UTD walipoongoza game basi Mourinho akatia mtu 3 mle ndani yaani Ozil, Modric na Kaka...
mnakumbuka kilichotokea?
Belo atakuja kumalizia
 
sijaona tatizo la kipa kwenu wala kwa beki...
Tatizo la juve linaanzia kwenye kiungo na ushambuliaji.

Juve kwa sasa mnatakiwa muwe na Viungo wakabaji wawili, kisha viungo kama Lavezzi, Hamsik na Kaka watakaokuwa wakimlisha mipira mshambuliaji mmoja tu pale mbele ambaye kwa timu yenu mpaka sasa hamna mtu huyo.

wakabaji wawe Pirlo na Vidal Pado, au Pirlo na Marchisio.
Juve viungo mlio nao wote ni wakabaji. Then washambuliaji mlionao wote ni type ya namba 10, yaani hawakai pale mbele.
Ukitazama magoli yenu mengi ni hardcore sana. So kama mkikutana na timu itakayoweza zuia uhuni wa na ubabe wa Juve basi yafuatayo ni kama yale ya Bayern.

rejea game ya pili kati ya Man UTD na Madrid.
Man UTD walipoongoza game basi Mourinho akatia mtu 3 mle ndani yaani Ozil, Modric na Kaka...
mnakumbuka kilichotokea?
Belo atakuja kumalizia

Well said Mkuu ila my point stand kwamba team haihitaji mabadiliko makubwaa, wachezaji watatu au wanne hasa kwenye maeneo uliyoya-highlight wanatosha.

Forza Bianconeri!
 
CONTE REALISTIC ABOUT JUVE UCL CHANCES

Juventus coach Antonio Conte has questioned the club's standing in European football and believes it would take more than a few signings to land the Champions League trophy.

Conte led Juve to their second Serie A title in as many years at the weekend following a 1-0 home win over Palermo.

However, the club's domestic dominance has has not been replicated on the European stage with the Bianconeri having been comfortably defeated by Bayern Munich at the Champions League quarter-final stage.

When asked what it would take to make his side contenders for Europe's top prize next season, Conte replied: "[Zlatan] Ibrahimovic, [Gonzalo] Higuain and [Luis] Suarez? I wouldn't say no to any of them, I'd take all three. But it still wouldn't be enough to win the Champions League

"I laugh when I hear someone say that Juve could win the Champions League with two reinforcements. The reality is different. Recently that has been more distant and the UEFA rankings prove that."

Conte failed to dampen speculation that he could be set to leave the club, admitting that he felt disrespected at Juve.

He said: "What signings would make me stay here? I want respect for my players and for the club, and I will talk about these things with the president and general director."
 
sijaona tatizo la kipa kwenu wala kwa beki...
Tatizo la juve linaanzia kwenye kiungo na ushambuliaji.

Juve kwa sasa mnatakiwa muwe na Viungo wakabaji wawili, kisha viungo kama Lavezzi, Hamsik na Kaka watakaokuwa wakimlisha mipira mshambuliaji mmoja tu pale mbele ambaye kwa timu yenu mpaka sasa hamna mtu huyo.

wakabaji wawe Pirlo na Vidal Pado, au Pirlo na Marchisio.
Juve viungo mlio nao wote ni wakabaji. Then washambuliaji mlionao wote ni type ya namba 10, yaani hawakai pale mbele.
Ukitazama magoli yenu mengi ni hardcore sana. So kama mkikutana na timu itakayoweza zuia uhuni wa na ubabe wa Juve basi yafuatayo ni kama yale ya Bayern.

rejea game ya pili kati ya Man UTD na Madrid.
Man UTD walipoongoza game basi Mourinho akatia mtu 3 mle ndani yaani Ozil, Modric na Kaka...
mnakumbuka kilichotokea?
Belo atakuja kumalizia

nakubaliana mia kwa mia na wewe mkuu Chomba.
 
EXCLUSIVE:
The Italian champions are in pole
position to clinch the Argentina international's
signature this summer on a four-year deal worth
€4.5 million per season plus bonuses
 
EXCLUSIVE:
The Italian champions are in pole
position to clinch the Argentina international's
signature this summer on a four-year deal worth
€4.5 million per season plus bonuses

Gonzalo Higuain you mean?
 
Tutakua tumelamba dume ila tu tupate na mtu wa design ya kina Mata,Silva au Ozil wa kumlisha
 
Marotta yuko bize na Diamanti.binafsi namkubali sana huyu jamaa ila sina uhakika kama anahitajika pale.

Kwa kweli tunahitaji mpishi a.k.a Afisa Ugavi type ya kina Ozil, or else hawa strikers watakua butu tu.
 
Kwa kweli tunahitaji mpishi a.k.a Afisa Ugavi type ya kina Ozil, or else hawa strikers watakua butu tu.


Diamanti anajuwa sana.
Akipatiwa na mwenzie mmoja kama Javier Pastore mtakuwa mmemaliza kila kitu.
Unajuwa Soka la Italy limeshuka mi nadhani sababu 1 ni baada ya kukusa wachezeshaji tu.
Enzi ya Milan kuwa na akina Rui Costa na Seedorf ilikuwa balaa Duniani...

Juve pana Mauro German, kisha pana Pavel Nedved balaa Mzazi...
 
Diamanti anajuwa sana.
Akipatiwa na mwenzie mmoja kama Javier Pastore mtakuwa mmemaliza kila kitu.
Unajuwa Soka la Italy limeshuka mi nadhani sababu 1 ni baada ya kukusa wachezeshaji tu.
Enzi ya Milan kuwa na akina Rui Costa na Seedorf ilikuwa balaa Duniani...

Juve pana Mauro German, kisha pana Pavel Nedved balaa Mzazi...

Diamanti anajua na ana energy ya kutosha but can he unpick a defense?
Pastore alikua vizuri sana ila kadrop na alinishangaza sana kwenda PSG, nikajua tu jamaa he's in for cash kama mwenzake Lavezzi.

Nna wasiwasi kama any of them anaweza kuwa mpiga pass za mwisho watu wacheke na nyavu.

Ukiwataja hao football gods kama Rui na Nedved wakati huu wa ombwe la vipaji ni kama kutia chumvi kwenye kidonda Mkuu. Pesa inaua soccer jamani
 
Diamant anacheza mkuu mourinho. Mm binafsi namuamini sana Qugliarela, but tunahitaji mtu wa kasi kama Diamant na REUS. Yani tatizo viungo wetu wote wakabaji. Inatakiwa tupate viungo fulani vilainishi kama mafuta ya kula.
 
Diamant anacheza mkuu mourinho. Mm binafsi namuamini sana Qugliarela, but tunahitaji mtu wa kasi kama Diamant na REUS. Yani tatizo viungo wetu wote wakabaji. Inatakiwa tupate viungo fulani vilainishi kama mafuta ya kula.

Twende na statistics kidogo, Allesandro Diamanti ana assists 7 in 32 apprnc msimu huu, hata Arturo Vidal wetu kamzidi (8 asst in 29 apprn c) though tunamwita mkabaji. Is he a type of midfield atakayekua anavunja ukuta wa wapinzani kwa pass murua za magoli?
By the way jamaa is already 30, ukimuweka huyo na Vidal, ntamchagua Arturo usiku na mchana.

Tunahitaji zaidi ya Diamanti, mtu kama Marek Hamsik
 
Twende na statistics kidogo, Allesandro Diamanti ana assists 7 in 32 apprnc msimu huu, hata Arturo Vidal wetu kamzidi (8 asst in 29 apprn c) though tunamwita mkabaji. Is he a type of midfield atakayekua anavunja ukuta wa wapinzani kwa pass murua za magoli?
By the way jamaa is already 30, ukimuweka huyo na Vidal, ntamchagua Arturo usiku na mchana.

Tunahitaji zaidi ya Diamanti, mtu kama Marek Hamsik


Age is just a namba...
Di Natale mfalme wa Friuli katupia nyavuni goli 100 katika misimu minne ilopita.
Messi pmj na watu waliomzunguka katupia kamba 160, Ronaldo kamba 141.

Je unamjuwa anayemchezesha Di Natale?
Je Di Natale apatiwe nafasi pale mbele Barca unashani atafunga mangapi?

So mpe nafasii Diamanti
 
Age is just a namba...
Di Natale mfalme wa Friuli katupia nyavuni goli 100 katika misimu minne ilopita.
Messi pmj na watu waliomzunguka katupia kamba 160, Ronaldo kamba 141.

Je unamjuwa anayemchezesha Di Natale?
Je Di Natale apatiwe nafasi pale mbele Barca unashani atafunga mangapi?

So mpe nafasii Diamanti

Mkuu Di Natale ni habari nyingine hiyo, let him be.

Naomba tukubaliane kutofautiana, Diamanti is good but just not good enough!
Na uko right kwamba age it's a just a number, lakini si kila mchezaji anaweza kuwa Maldini, Seedorf, Pirlo, Zanetti au Giggs, inaweza kuwa kamali vilevile!
 
Back
Top Bottom