Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,327
mkuu we ndo kiranja hapa kwenye huu uzi, inabidi uwe unaweka hata tetesi zozote zinazohusu timu yenu. Hata hivyo wadau wa serie a wamepungua sana. Kwa sasa watu wapo kule kwenye epl.
Ahsante kwa hunipa changamoto, juve2012 anasema mapenzi yatarudi mpaka tukipata mafanikio ulaya, Viper sijui mujiri wake, bologna naye sijui yuko kwenge palizi na hawa wadau wengine sijui niwaPM? eti nisaidie Pweza Pazi, Chimunguru, Mlaleo, myao wa tunduru, karibuni tena jamvini
Last edited by a moderator: