Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

mkuu we ndo kiranja hapa kwenye huu uzi, inabidi uwe unaweka hata tetesi zozote zinazohusu timu yenu. Hata hivyo wadau wa serie a wamepungua sana. Kwa sasa watu wapo kule kwenye epl.

Ahsante kwa hunipa changamoto, juve2012 anasema mapenzi yatarudi mpaka tukipata mafanikio ulaya, Viper sijui mujiri wake, bologna naye sijui yuko kwenge palizi na hawa wadau wengine sijui niwaPM? eti nisaidie Pweza Pazi, Chimunguru, Mlaleo, myao wa tunduru, karibuni tena jamvini
 
Last edited by a moderator:
Ahsante kwa hunipa changamoto, juve2012 anasema mapenzi yatarudi mpaka tukipata mafanikio ulaya, Viper sijui mujiri wake, bologna naye sijui yuko kwenge palizi na hawa wadau wengine sijui niwaPM? eti nisaidie Pweza Pazi, Chimunguru, Mlaleo, myao wa tunduru, karibuni tena jamvini

juventus bado ni moja ya club kubwa barani ulaya. Lakini kama kina juve2012 wamepunguza mapenzi na clab yao, eti haina mafanikio ulaya, itawabidi wasubiri kweli.

Juve kufikia level ya Bayern Munich, Real Madrid, Barcelona na Man city itawachua muda. juve2012 unafanya makosa kukimbia timu yako, usiwe kama Ngongo japokuwa wewe hujaama.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu @Ziroseventy hivi kweli uliamini Ngongo aliwahi kuwa mshabiki wa Arsenal ?.Mkuu wangu zile zilikuwa ni mbwembwe tu mimi ni Man United tangu enzi na enzi ukitaka kuthibitisha muulize Wacha1 atakuambia yeye alijua mapema nawachezea akili tu.



juventus bado ni moja ya club kubwa barani ulaya. Lakini kama kina juve2012 wamepunguza mapenzi na clab yao, eti haina mafanikio ulaya, itawabidi wasubiri kweli.

Juve kufikia level ya Bayern Munich, Real Madrid, Barcelona na Man city itawachua muda. juve2012 unafanya makosa kukimbia timu yako, usiwe kama Ngongo japokuwa wewe hujaama.
 
Last edited by a moderator:
juventus bado ni moja ya club kubwa barani ulaya. Lakini kama kina juve2012 wamepunguza mapenzi na clab yao, eti haina mafanikio ulaya, itawabidi wasubiri kweli.

Juve kufikia level ya Bayern Munich, Real Madrid, Barcelona na Man city itawachua muda. juve2012 unafanya makosa kukimbia timu yako, usiwe kama Ngongo japokuwa wewe hujaama.

wakuu "zero pweza" na Mourinho,sio kwamba tumeukimbia uzi,ila mazoea mabaya.Unajua mashabiki wengi wa timu za ulaya ukiwauliza wameanza lini kushabikia timu hizo watakutajia miaka ile ambayo timu hizo zilikuwa kwenye kilele cha mafanikio consistently,the same to me.Miaka ya 90 Juve iliyonivuta hadi nikaipenda unaijua mkuu?95 fainali ya europa,96 ubingwa ulaya,97 fainali ulaya,98 fainali ulaya,99 semi final ulaya 2002 fainali ulaya(against fellow italians A.C Milan),2004,2005,2006 italian serie a champions with the likes of Adrian Mutu,Trezeguet,Del Piero,Ibrahimovic,Emerson,Thuram,Zambrotta,Nedved etc halafu out of nowhere anakurupuka mtu huko anawashusha daraja kwa sababu tu mkurugenzi wenu alikuwa akipiga simu kuomba refa fulani achezeshe mechi zenu kwa vile wengine hamna imani nao na ushahidi ni penati mbili za utata ambazo ndizo zimetumika kujustify the whole case,nani katoa siri?Massimo Moratti na Telecom Italia yake(kampuni ya simu iliyorekodi mazungumzo ya Moggi),mkurugenzi wa Inter klabu kubwa pekee ambayo haikuwa inflicted na calciopoli lakini leo hii imegundulika Inter Milan na klabu zote za serie a zilikuwa na mchezo wa kuomba marefa wa kuchezesha mechi zao lakini ni Juve,A.C Milan na klabu nyingine chache tu zilizoadhibiwa huku Juve wakishushwa daraja kabisaa,adhabu iliyoua serie a na soka ya Italia hadi leo.Leo hii watu wamekwenda kuishitaki Inter wameambiwa sheria inasema ikishapita miaka miwili allegations zinakuwa invalid kwa hiyo haiwezekani kuishtaki Inter,najiuliza,walikuwa wapi siku zote hadi ya Inter wayajue leo,mbona ya Juve waliyaona mapema?ilikuwaje Juve wanyang'anywe kombe la 2004 na kupewa Inter wakati kesi ilikuwa 2006 miaka miwili ilishapita?Tulilalamikia hili mwaka juzi kama sikosei wakaamua kumvua Inter huo ubingwa wa 2004 lakini wakagoma kuurudisha kwa Juve wakati case ilikuwa invalid!Kama mchezo wa kupiga simu kuomba refa fulani achezeshe ndio uliotumika kuiadhibu Juve basi ilitakiwa serie a nzima ife,klabu zote zishuke hadi daraja la pili na nusu ya klabu za daraja la pili zishushwe daraja la tatu kwani nako huko kulikuwa na betting scandal kubwa,ilikuwaje Italia nzima aonekane Juve tu?ishu ni kwamba misconducts ni utamaduni katika soka ya Italia,hivyo watu waliamua kuiua Juve kwa motives nyingine na si kwamba wao ni wasafi,na ndio maana adhabu waliyotoa kwa Juve ilikuwa kubwa kuliko kawaida.Kwa sababu kosa la Juve ni Moggi kupanga marefa na si kupanga matokeo,hakuna ushahidi kuwa hao marefa aliowataka alikula nao njama za matokeo zaidi ya kusikika kwenye simu akisema anawaamini,lakini upo ushahidi wa refa aliyeipa ushindi Inter ambaye alipangwa na Moratti na alikula dinner na Morati na ni mshkaji wa Moratti lakini haya yote CONI hawakuyaona na leo wanaambiwa wanasema muda umepita kuishitaki Inter.Kosa la Juve lilijengwa kwenye suspicious misconducts na haikustahili kupewa adhabu klabu nzima,achilia mbali kushushwa daraja!hakuna ushahidi unaounganisha matendo ya Moggi na mazingira ya kubebwa uwanjani!kushusha daraja investment kubwa hivi kwa ushahidi wa penati mbili za utata katika misimu mitatu ya ligi,ni ushahidi kuwa kulikuwa na motives nyingine.Wameiua Juve,wameua serie a na soka ya Italia baada ya kuona wanashindwa kupambana na himaya ya FIAT kule Italia.Calciopoli ni vita ya matajiri wa Italia wanaomiliki vilabu vya soka na wote wamekuwa na misconduct na hasa kamari.Baada ya kuona Juve inaharibu sana kamari zao na umafia wao kwenye soka,wakaamua kuitega.Katika mazingira ya kutokuaminiana ya Italia,yeyote angeweza kupiga simu kulalamikia marefa na kusikilizwa.Huu uchafu wote ndio unatufanya tunaolijua soka la Italia kukata tamaa,manake kule hakuna mchezo ni vita!na warumi wana historia na corruption na unethical misconducts.Hili linanitia hofu kuwa njama dhidi ya Juve hazitaisha kila wakati ikiwa na mafanikio unless umafia na uhuni ushughulikiwe kiukweli na kwa kila mtu pale Peninsula!mapenzi yangu kwa Juve na A.C Milan hayataisha,lakini serie a na waitaliano wananichosha na kuendekeza kwao uhuni kwenye kila kitu.Uhuni tuu!nchi imejaa mateja hadi kwenye ngazi za juu za taasisi na utawala!
 
Last edited by a moderator:
juve2012 naona Mkuu umeandika kwa uchungu wote, pole sana

Ila tukiangalia on the positive side of it, Bianconeri inaelekea pazuri ingawa sio pazuri sana lakini tunaweza kusema at least kwa sasa club iko stable, na stability ndio kitu kikubwa na cha kwanza katika kujenga mafanikio

Tuko stable na kocha, kikosi chetu (tetesi za leo zinasema Vidal anakaribia kusaini mkataba mpya wa thamani ya £200k kwa week) na pamoja na ufinyu wa budget ya club tunajaribu kutafuta wachezaji kuimatisha kikosi, kina Osvaldo, Tevez, Llorente

Yaliyopita si ndwele, lets play our party na ninaona kabisa Juventus ikitia jitihada za dhati kurudisha heshima na hadhi yake barani ulaya.

Forza Bianconeri
 
Last edited by a moderator:
juve2012 naona Mkuu umeandika kwa uchungu wote, pole sana

Ila tukiangalia on the positive side of it, Bianconeri inaelekea pazuri ingawa sio pazuri sana lakini tunaweza kusema at least kwa sasa club iko stable, na stability ndio kitu kikubwa na cha kwanza katika kujenga mafanikio

Tuko stable na kocha, kikosi chetu (tetesi za leo zinasema Vidal anakaribia kusaini mkataba mpya wa thamani ya £200k kwa week) na pamoja na ufinyu wa budget ya club tunajaribu kutafuta wachezaji kuimatisha kikosi, kina Osvaldo, Tevez, Llorente

Yaliyopita si ndwele, lets play our party na ninaona kabisa Juventus ikitia jitihada za dhati kurudisha heshima na hadhi yake barani ulaya.

Forza Bianconeri

amen mkuu,ahsante kwa moyo wako wa kutokukata tamaa,unatutia moyo na wengine wenye mioyo fragile.Unajua mtu ukipenda sana ni rahisi kukata tamaa ukiudhiwa.Mimi naumia kwa vile naamini matatizo ya Juve ni ya hujuma za watu wengine na wametuumiza sana ila kama ulivyosema mkuu,huu ukoo wa Agnelli uko stable sana.Tumeshuhudia klabu kubwa zikiuzwa lakini Agnelli pamoja na majanga yote yaliyowakuta(kushuka daraja,uchumi wa Italia kuyumba,kufariki Umberto Agnelli,kusuasua kwa soko la Ferrari ulaya,kusambaratishwa kwa ukoo wa Ghadaffi waliokuwa wamewekeza sana Juve,kuondoka kwa Juve kwenye soko la hisa,kufa kwa serie a n.k) wametulia na Juve yao,wamebalance vitabu vya hesabu,wamekuwa patient,wameintergrate uwezo wa kifedha na kiufundi kuinyanyua timu wakitoka kuunda kikosi chenye average players wengi walioiweka Juve kuwa timu nzuri italia hadi sasa wanahama toka timu nzuri hadi nzuri zaidi kwa kuchanganya average players na quality players na muda si mrefu watajaza champions na kuwa timu bora.Cha msingi ni kuhakikisha mipango yao inazaa matunda uwanjani.Ndio maana nataka sana mafanikio ulaya,si lazima kutwaa kombe bali kufika robo au nusu fainali mara kwa mara kutawapa fedha nzuri kumanage wachezaji bora,technically watajenga base nzuri ya uzoefu wa kuendelea kutesa Italia na kuwa wakali wa ulaya baadae.Hii mizengwe ya Italia inanifanya nipendelee Juve kutupia jicho ulaya kwani zipo timu(kama Basel ya uswisi,za urusi na ufaransa)ambazo pamoja na kutokea ligi dhaifu kuliko serie a bado zimeweza kujiestablish as a force ulaya.hata Munich ilifanya hivyo wakati ule bundesliga ikiwa hoi na bado wakawa tishio na leo hii ligi imekuwa bora Bayern wamefaidika mara mbili.
 
Last edited by a moderator:
amen mkuu,ahsante kwa moyo wako wa kutokukata tamaa,unatutia moyo na wengine wenye mioyo fragile.Unajua mtu ukipenda sana ni rahisi kukata tamaa ukiudhiwa.Mimi naumia kwa vile naamini matatizo ya Juve ni ya hujuma za watu wengine na wametuumiza sana ila kama ulivyosema mkuu,huu ukoo wa Agnelli uko stable sana.Tumeshuhudia klabu kubwa zikiuzwa lakini Agnelli pamoja na majanga yote yaliyowakuta(kushuka daraja,uchumi wa Italia kuyumba,kufariki Umberto Agnelli,kusuasua kwa soko la Ferrari ulaya,kusambaratishwa kwa ukoo wa Ghadaffi waliokuwa wamewekeza sana Juve,kuondoka kwa Juve kwenye soko la hisa,kufa kwa serie a n.k) wametulia na Juve yao,wamebalance vitabu vya hesabu,wamekuwa patient,wameintergrate uwezo wa kifedha na kiufundi kuinyanyua timu wakitoka kuunda kikosi chenye average players wengi walioiweka Juve kuwa timu nzuri italia hadi sasa wanahama toka timu nzuri hadi nzuri zaidi kwa kuchanganya average players na quality players na muda si mrefu watajaza champions na kuwa timu bora.Cha msingi ni kuhakikisha mipango yao inazaa matunda uwanjani.Ndio maana nataka sana mafanikio ulaya,si lazima kutwaa kombe bali kufika robo au nusu fainali mara kwa mara kutawapa fedha nzuri kumanage wachezaji bora,technically watajenga base nzuri ya uzoefu wa kuendelea kutesa Italia na kuwa wakali wa ulaya baadae.Hii mizengwe ya Italia inanifanya nipendelee Juve kutupia jicho ulaya kwani zipo timu(kama Basel ya uswisi,za urusi na ufaransa)ambazo pamoja na kutokea ligi dhaifu kuliko serie a bado zimeweza kujiestablish as a force ulaya.hata Munich ilifanya hivyo wakati ule bundesliga ikiwa hoi na bado wakawa tishio na leo hii ligi imekuwa bora Bayern wamefaidika mara mbili.



Tutafika tu hata kama itatake time lakini msimu huu tukomae na Europa na hii scudeto, pesa zitakazopatikana hapa zitaweza kutusaidia kuongeza depth and quality ti our squad
 
Hofu yangu kubwa iko kwa A.C Milan!wenye timu wako shaghalabaghala kila mtu na maamuzi yake!Berlusconi nae politiki zinamchosha akili.Wamuachie timu uncle Festa watafanya la maana.Milan inapaswa kuundergo revolution kama ya Juve wakati ule walipouza robo tatu ya timu,wakanunua wachezaji wapya,wakabadili makocha hadi kumpata Conte,wakabadili directors hadi rais wa timu!Pale Milan uncle Festa anastahili kukabidhiwa nafasi yenye maamuzi makubwa sasa.Yule jamaa analijua soka na fitna zake.
 
Hofu yangu kubwa iko kwa A.C Milan!wenye timu wako shaghalabaghala kila mtu na maamuzi yake!Berlusconi nae politiki zinamchosha akili.Wamuachie timu uncle Festa watafanya la maana.Milan inapaswa kuundergo revolution kama ya Juve wakati ule walipouza robo tatu ya timu,wakanunua wachezaji wapya,wakabadili makocha hadi kumpata Conte,wakabadili directors hadi rais wa timu!Pale Milan uncle Festa anastahili kukabidhiwa nafasi yenye maamuzi makubwa sasa.Yule jamaa analijua soka na fitna zake.

Hahahahahahahahaaaa, by the way where is Gang Chomba? Au kaitwa na Seedorf awe kwenye bench la ufundi?

Ulimuona Balotelli akilia kwenye bench juzi baada ya kutolewa kwa sub?
 
Last edited by a moderator:
Tutafika tu hata kama itatake time lakini msimu huu tukomae na Europa na hii scudeto, pesa zitakazopatikana hapa zitaweza kutusaidia kuongeza depth and quality ti our squad

naam,kabisa mkuu Mourinho.Muacheni tu Gang Chomba mzee wa watu ajipumzikie,hizi frustrations za serie a zimetuliza wengi.Naona kaka mkubwa naye kimyaa,maskini!usijali Chomba tutarudi tu siku moja kwenye level zetu.
 
Last edited by a moderator:
naam,kabisa mkuu Mourinho.Muacheni tu Gang Chomba mzee wa watu ajipumzikie,hizi frustrations za serie a zimetuliza wengi.Naona kaka mkubwa naye kimyaa,maskini!usijali Chomba tutarudi tu siku moja kwenye level zetu.

Hahahahaaa, kaka mkubwa yupi mzee?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ilikuwaje Verona wakarudisha goli dk za majeruhi?ule ndio upuuzi nisioutaka pale Juve.
 
Hahahahaaa, kaka mkubwa yupi mzee?

ina maana humjui kweli kaka mkubwa wetu wa haya majamvi ya kirumi au unataka nimtaje ilimradi tu upate mahali pa kuanzia vijembe vyako ?si nimeshamtaja hapo juu?a.k.a uncle festa teh teh!
 
Mkuu ilikuwaje Verona wakarudisha goli dk za majeruhi?ule ndio upuuzi nisioutaka pale Juve.

Concentration Mkuu, tulianza kufikiria match imeisha na points tatu kibindoni, kumbe mpira haujaisha halafu nadhani kuumia kwa Chiellini dk za mwishoni kuli disturb balance ya beki yetu
 
ina maana humjui kweli kaka mkubwa wetu wa haya majamvi ya kirumi au unataka nimtaje ilimradi tu upate mahali pa kuanzia vijembe vyako ?si nimeshamtaja hapo juu?a.k.a uncle festa teh teh!

Teh teh teh..,,,,,Me nina wasiwasi yuko Milan, sio bure
 
Mara ya mwisho alionekana JF doctor jpili iliyopita anaomba ushauri kutokana na tatizo la akili kushindwa kudhibiti mawazo.Akasema kuwa wenye nafasi nzuri ya kumshauri kutokana na experience waliyonayo ni mashabiki wa Man U!
 
Mara ya mwisho alionekana JF doctor jpili iliyopita anaomba ushauri kutokana na tatizo la akili kushindwa kudhibiti mawazo.Akasema kuwa wenye nafasi nzuri ya kumshauri kutokana na experience waliyonayo ni mashabiki wa Man U!

Kwakwakwaa kwa kwaa......Koh koh koh koh, sio wa Arsenal?
 
Bianconeri wanamuwinda kijana machachari wa kijerumani

The Germany Under-21 international has attracted the interest of the Bianconeri with a string of fine performances in the Bundesliga this season.

Wolfsburg attacking midfielder Maximilian Arnold has caught the attention of Italian champion Juventus.

The 19-year-old has already netted six goals in 14 Bundesliga appearances so far this term and his sublime form in 2013-14 has not gone unnoticed by the Bianconeri.

Juventus has scouted the Germany Under-21 international on a number of occasions in the past six months and is impressed with Arnold's creativity, vision and reading of the game.

The Italian side is in no rush to lure the teenager away from his current club, but will continue to closely monitor his progress, as the team sees him as a potentially valuable addition in the long term.

Arnold is a product of the Dynamo Dresden youth academy, but joined Wolfsburg at the age of 15.

He made his official first team debut in Nov. 2011 in the Bundesliga game against Augsburg and has developed into an important first-team member under Dieter Hecking this season.

The left-footed midfielder has a contract with Wolfsburg until the summer of 2017.
 
Osvaldo haamini kama anacheza team moja na role model wake, Carlos Tevez Carlitos

The Buenos Aires-born Italy international is a childhood Boca Juniors fan and says that he would often watch his new teammate in action at la Bombonera.

New Juventus signing Pablo Daniel Osvaldo has admitted that he cannot believe he will get the opportunity to line up alongside Carlos Tevez, revealing that he used to pay to watch the Argentina star play.

The Buenos-Aires born Italy international has joined the Bianconeri on loan from Southampton until the end of the season, but with the option of a permanent move to Turin in the summer.

Osvaldo says he is now living a dream in that he should soon have the opportunity to partner a hero of his in attack for Juve.

"I supported Boca since I was a kid and when I was in Argentina I used to pay to watch him play," the 28-year-old striker told reporters on Friday. "So being in the same squad as him now is fantastic."

It has been reported that Osvaldo arrived in Turin out of condition, having been suspended by Southampton for a training-ground incident, but the striker says that it merely took him some time to get used to coach Antonio Conte's intensive training sessions and that he now hopes to remain at Juve beyond the summer.

"In the first few, I struggled a little, partly because you run a lot with this coach," the former Roma forward explained. "But it's only a question of getting used to it. Conte is a phenomenon. He is so prepared and demands a lot, but then you can see the results on the field.

"This is a great squad and one that plays beautiful football. To be at Juve is a dream and I want it to continue."
 
Mara ya mwisho alionekana JF doctor jpili iliyopita anaomba ushauri kutokana na tatizo la akili kushindwa kudhibiti mawazo.Akasema kuwa wenye nafasi nzuri ya kumshauri kutokana na experience waliyonayo ni mashabiki wa Man U!

juve2012 bhana! Teh teh teh kwi kwi kwi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom