Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

mmh!mkuu Italia kama national team huwa hawatabiriki kaka,wanaweza kuwa na kikosi cha kawaida na wakaishangaza dunia!Siku zote Italia na Ujerumani hazitabiriki kwenye national team.



Mkuu nakubaliana wewe Lkn kile kizazi cha mpira imara cha Italy cha miaka ile ya 90 na 2006 km kimepungua nguvu vile! Kwahiyo ktk hii world cup Sizani km watakua vzr! Ila nawakubali Italy ktk kitu kimoja tu mkakati kila wanapopata nafasi!
 
Haya bhana!wewe EMT utakuwa shabiki wa Inter ndio maana umepoteza ladha na serie a kabisa teh teh!

Hahahaha. Sijawahi supoort klabu ya Italia, but I used to be impressed na AC Milan ya siku hizo hasa kwenye Champions League.
 
Nimeangalia highlights tumekosa sana magoli.mechi ilikuwa yetu hii kama tuko home bhana.wanakuja kufa Turin.sema wana majeruhi wengi sana lyon

Mechi ilikua yetu haswaa, wakija ghetto tutawafanya kitu mbaya kabisa. Ukiacha majeruhi wachezaji wa Lyon wana uchovu kwa sababu wamecheza mechi nyingi sana msimu huu
 
Mechi ilikua yetu haswaa, wakija ghetto tutawafanya kitu mbaya kabisa. Ukiacha majeruhi wachezaji wa Lyon wana uchovu kwa sababu wamecheza mechi nyingi sana msimu huu
Yah!tatizo la Europa,mechi kibao,bora Sie tulioporomoka toka mbinguni katikati ya msimu
 
Yah!tatizo la Europa,mechi kibao,bora Sie tulioporomoka toka mbinguni katikati ya msimu

Hawa walianza kucheza metch za kuqualify kucheza Champions League, kwa hiyo walianza kucheza mapema sana, July huko mwaka jana, madhara yake wanalia nayo leo
 
Tevez akiwepo unajuwa kabisa kuna mwanaume yupo...
Nimeicheki game mwa mwi...nimefarijika na matokeo go Lavecchia go...
Maana hatutamaniki kwa kweli
 
Genoa 1-2 Milan
1. Adel Taarabt
2. Keisuke Honda...
where are those haters whoe
talking
about the useless free transfers??
 
Hii ina maana kuwa Marek Jankulovski atakuwa kasimama sambamba na Krasic kuhakikisha hatembei kwa muda mwingi sana uwanjani.
 
Ha ha haa!.hu hu hii!kwi kwi kwii!mpe za uso huyo mhafidhina wa catalunya.Jana kapewa kichapo na mutoto mudoogo kabisa!

Za uso kapewa kulekule kwao, we tembelea jukwaa la wacatalunya ukavunjike mbavu, lol!
 
Back
Top Bottom