raphael andrew
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 817
- 938
Juventus wametangaza tickets za msimu ujao zote zimenunuliwa (SOLD OUT) kufuatia kutua kwa Cristiano ronaldo klabuni hapo licha ya bei za tickets kupanda kwa asilimia 37% lakini zimemalizika ndani ya wiki moja tu.