Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnajikuta wa mbele kumbe wa kishimunduSiwezi kufuatilia... labda notable icons kama Jay z.. Dre.. maana hawa hata usipofuatilia utaziskia tu ila hawa wachanga hadi uwafollow au uwafutilie
Hivi ni hit and run au EAT AND RUN?
Hapana kapuuzia
Ndivyo anavyojua
Hio 'hit and run' watu wameitohoa kuwa 'eat and run' maana ile ile tu.Nitaendelea kuamini umekusudia kuandika hivyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahhaa jf rahaaaa mtu kaundiwa kamati ya maadili
[emoji16][emoji16][emoji16]We ni fa fa fa fa
Fa fa fa fa (kwa sauti ya gwajima kabisa) [emoji23] [emoji23] [emoji23]
jux kamshindwa yule dem bibi hajatuliz k yake chinHizo kiki labda jux anataka kuachia wimbo
Haha... sema huyo jamaa namjua anajua ngeli saana ndiyo maana sijaamini.
Hivi Vanessa alikuwa demu wake jux?
Walishakosana na shilawadu kufuatia issue ya dab, sasa kahamia "dume suruali, kwani kuna tv ndani" ya Mwana FA!!!Magu kasikia hii, maana anapenda sana Shilawadu
*Hit* and runEat and run
jux kamshindwa yule dem bibi hajatuliz k yake chin