Jux ajibu onyo la Wanigeria, akana kumchumbia Priscilla

Jux ajibu onyo la Wanigeria, akana kumchumbia Priscilla

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Staa wa muziki, Jux, amerudi bongo usiku wa kuamkia leo, Septemba 5, akitua kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere akiwa na mpenzi wake Priscilla Ajoke, mtoto wa mwigizaji mkongwe Iyabo Ojo kutoka Nigeria.

1725518704265.jpeg
Hivi karibuni, wawili hao walikuwa Nigeria wakijirusha kwenye party ya birthday ya Jux, na sasa wamefika bongo fresh na vibes zao za kimahaba zikizidi kunoga.

Baada ya kutua Tanzania na kupokewa na wanawe, Jux ameweka wazi kuwa anaelewa onyo alilopewa na baadhi ya Wanigeria kumhusu mpenzi wake, Priscilla, akisema wanamlinda kwa sababu ya historia yake ya mahusiano na wanawake waliopita, pamoja na umaarufu wa Priscilla nchini Nigeria tangu utotoni, hivyo ni kipenzi chao na wanamlinda kwa upendo huo.

Priscilla amekuwa maarufu Nigeria tangu akiwa mdogo, hivyo ana nafasi ya pekee mioyoni mwao, na ni wazi kwanini wanahisi haja ya kumlinda kwa nguvu hizo.

Jux amesema ilikuwa moment nzuri na alifurahia kila kitu kilichotokea Nigeria na kuhusu kumvalisha pete ya uchumba amesema hilo bado watu wasubiri kwa sasa.

1725519550473.png
 

Attachments

  • ssstwitter.com_1725517827949.mp4
    11.6 MB
  • ssstwitter.com_1725517825552.mp4
    15.3 MB
  • ssstwitter.com_1725517822004.mp4
    8.7 MB
  • ssstwitter.com_1725517780336(1).mp4
    6.2 MB
  • 1725518407871.jpeg
    1725518407871.jpeg
    228.3 KB · Views: 10
Siku hizi nikiingiaga jf nakuja kufanya reference dah kuna uzi nautafuta wambea hii kapo si mwaka mmoja tu au mnasemaje?

Huo umbea kama haukuandikwaga na marehemu warumi basi ni mmbea mwingine. Wacha niendelee kufukua makaburi humu.
 
Ila huyu demu Kwa muonekano wa nje mkali sana, kwa ndani labda nikabidhi maiki Kwa mashujaaa wa jf wenye uzoefu wa miaka 20++ katika tasnia ya kuslide wamuelezee..... karibuni sana
Mkali mnoo na kanaonekana bright huwa ni mara chache nafanya maombi kwa Hawa celebrities maana maisha Yao maigizo ila kwa Hawa naomba sana wawe kama Don Bill na Nandy
 
Staa wa muziki, Jux, amerudi bongo usiku wa kuamkia leo, Septemba 5, akitua kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere akiwa na mpenzi wake Priscilla Ajoke, mtoto wa mwigizaji mkongwe Iyabo Ojo kutoka Nigeria.

Hivi karibuni, wawili hao walikuwa Nigeria wakijirusha kwenye party ya birthday ya Jux, na sasa wamefika bongo fresh na vibes zao za kimahaba zikizidi kunoga.

Baada ya kutua Tanzania na kupokewa na wanawe, Jux ameweka wazi kuwa anaelewa onyo alilopewa na baadhi ya Wanigeria kumhusu mpenzi wake, Priscilla, akisema wanamlinda kwa sababu ya historia yake ya mahusiano na wanawake waliopita, pamoja na umaarufu wa Priscilla nchini Nigeria tangu utotoni, hivyo ni kipenzi chao na wanamlinda kwa upendo huo.

Priscilla amekuwa maarufu Nigeria tangu akiwa mdogo, hivyo ana nafasi ya pekee mioyoni mwao, na ni wazi kwanini wanahisi haja ya kumlinda kwa nguvu hizo.

Jux amesema ilikuwa moment nzuri na alifurahia kila kitu kilichotokea Nigeria na kuhusu kumvalisha pete ya uchumba amesema hilo bado watu wasubiri kwa sasa.

Jum lokole kama Jux Chama moja
 
Usichoke kushabikia SIMBA, SIMBA, SIMBA, SIMBA, IMBA, IMBA

Kitabu cha Kauli za viongozi volume 3

Ni ipi kauli Unayoikumbuka ya Viongozi mbalimbali wa nchi kuanzia Ubalozi hadi Urais wa Tanzania unayoikumbuka na huji kuisahau "Inafaa kuingia kwenye Akili ya Umri wako"..

Kila nikisoma kitabu cha azimio la Arusha sioni mapungufu - Nyerere

Kila Akitakacho kufanya Mtamzania ni Ruksa - Mwinyi

Watanzania wako tayari kula nyasi lakini ndege ya Rais lazima inunuliwe - Mkapa

Sina Maana hiyo - Jakaya Kikwete

Msema kweli ni mpenzi wa mungu - Magufuli

Jamhuri ya muungano wa Tanzania - Samia

Baada ya Ajira kuwa Ngumu tunauza Stori za Sadam Hussein na picha zake kwa shilingi 1
Bure kabisa kama elimu bure/bila malipo
View attachment 3089110View attachment 3089115
Nenda Iraq ukawauzie
 
Back
Top Bottom