Staa wa muziki, Jux, amerudi bongo usiku wa kuamkia leo, Septemba 5, akitua kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere akiwa na mpenzi wake Priscilla Ajoke, mtoto wa mwigizaji mkongwe Iyabo Ojo kutoka Nigeria.
Hivi karibuni, wawili hao walikuwa Nigeria wakijirusha kwenye party ya birthday ya Jux, na sasa wamefika bongo fresh na vibes zao za kimahaba zikizidi kunoga.
Your browser is not able to display this video.
Baada ya kutua Tanzania na kupokewa na wanawe, Jux ameweka wazi kuwa anaelewa onyo alilopewa na baadhi ya Wanigeria kumhusu mpenzi wake, Priscilla, akisema wanamlinda kwa sababu ya historia yake ya mahusiano na wanawake waliopita, pamoja na umaarufu wa Priscilla nchini Nigeria tangu utotoni, hivyo ni kipenzi chao na wanamlinda kwa upendo huo.
Your browser is not able to display this video.
Priscilla amekuwa maarufu Nigeria tangu akiwa mdogo, hivyo ana nafasi ya pekee mioyoni mwao, na ni wazi kwanini wanahisi haja ya kumlinda kwa nguvu hizo.
Your browser is not able to display this video.
Jux amesema ilikuwa moment nzuri na alifurahia kila kitu kilichotokea Nigeria na kuhusu kumvalisha pete ya uchumba amesema hilo bado watu wasubiri kwa sasa.
Ila huyu demu Kwa muonekano wa nje mkali sana, kwa ndani labda nikabidhi maiki Kwa mashujaaa wa jf wenye uzoefu wa miaka 20++ katika tasnia ya kuslide wamuelezee..... karibuni sana
Ila huyu demu Kwa muonekano wa nje mkali sana, kwa ndani labda nikabidhi maiki Kwa mashujaaa wa jf wenye uzoefu wa miaka 20++ katika tasnia ya kuslide wamuelezee..... karibuni sana
Mkali mnoo na kanaonekana bright huwa ni mara chache nafanya maombi kwa Hawa celebrities maana maisha Yao maigizo ila kwa Hawa naomba sana wawe kama Don Bill na Nandy
Staa wa muziki, Jux, amerudi bongo usiku wa kuamkia leo, Septemba 5, akitua kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere akiwa na mpenzi wake Priscilla Ajoke, mtoto wa mwigizaji mkongwe Iyabo Ojo kutoka Nigeria.
Hivi karibuni, wawili hao walikuwa Nigeria wakijirusha kwenye party ya birthday ya Jux, na sasa wamefika bongo fresh na vibes zao za kimahaba zikizidi kunoga.
Baada ya kutua Tanzania na kupokewa na wanawe, Jux ameweka wazi kuwa anaelewa onyo alilopewa na baadhi ya Wanigeria kumhusu mpenzi wake, Priscilla, akisema wanamlinda kwa sababu ya historia yake ya mahusiano na wanawake waliopita, pamoja na umaarufu wa Priscilla nchini Nigeria tangu utotoni, hivyo ni kipenzi chao na wanamlinda kwa upendo huo.
Priscilla amekuwa maarufu Nigeria tangu akiwa mdogo, hivyo ana nafasi ya pekee mioyoni mwao, na ni wazi kwanini wanahisi haja ya kumlinda kwa nguvu hizo.
Jux amesema ilikuwa moment nzuri na alifurahia kila kitu kilichotokea Nigeria na kuhusu kumvalisha pete ya uchumba amesema hilo bado watu wasubiri kwa sasa.
Vanessaamejibiwa yeye alikimbilia mnigeria na Juma anaoa kifaa kali sana cha kinaijeria wakati yule keshapigwa mbami mfululizo. Usishindane na mwanaume especially mwenye pesa.
Ni ipi kauli Unayoikumbuka ya Viongozi mbalimbali wa nchi kuanzia Ubalozi hadi Urais wa Tanzania unayoikumbuka na huji kuisahau "Inafaa kuingia kwenye Akili ya Umri wako"..
Kila nikisoma kitabu cha azimio la Arusha sioni mapungufu - Nyerere
Kila Akitakacho kufanya Mtamzania ni Ruksa - Mwinyi
Watanzania wako tayari kula nyasi lakini ndege ya Rais lazima inunuliwe - Mkapa
HUU UZI NILIKUWA SIELEWI WAHUSIKA NIKASEMA NISOME. SIJAELEWA NIKASEMA MOYONI MADEMU MNAJUANA VIZURI NA UMBEA WENU. ANYWAY.... NIENDELEE NA KUTAFUTA NYUZI ZA KIUME SASA