Jux ajibu onyo la Wanigeria, akana kumchumbia Priscilla

Anaacha warembo kwao anaenda kuokoteza huko nje 🀣🀣🀣 ila kwa huyu hapana
Hapana kwa kweli..kamuacha mrembo Caren kaenda kwa huyo..?! By the way priscilla ndio ushasanda hivyo ukikaa Tanzania utakosa deals za Nigeria, na huku hakuna anayekushobokea kiasi cha kukupa deals...habari ndio hio...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…