warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Mwanamuziki matawi ya juu bongo , na anayejua kupangilia vizur mavazi yake, juma jux , hivi karibuni amezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kupost picha akiwa nusu utupu, hali iliyozua sintofahamu kwa mashabiki zake .
Tunajua Jux ana advertise boxer zake , ila kwa huu mkao wa kwenye picha huenda kuna biashara nyingine anayoitangaza kwenye ulimwengu wa kiroho .
Ila huyu nae ana nyota ya kunguni, hat ajichetue vipi no one cares
Tunajua Jux ana advertise boxer zake , ila kwa huu mkao wa kwenye picha huenda kuna biashara nyingine anayoitangaza kwenye ulimwengu wa kiroho .
Ila huyu nae ana nyota ya kunguni, hat ajichetue vipi no one cares