Jux apost picha yenye “UTATA” kwenye ukurasa wake wa Instagram

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Mwanamuziki matawi ya juu bongo , na anayejua kupangilia vizur mavazi yake, juma jux , hivi karibuni amezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kupost picha akiwa nusu utupu, hali iliyozua sintofahamu kwa mashabiki zake .


Tunajua Jux ana advertise boxer zake , ila kwa huu mkao wa kwenye picha huenda kuna biashara nyingine anayoitangaza kwenye ulimwengu wa kiroho .

Ila huyu nae ana nyota ya kunguni, hat ajichetue vipi no one cares

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…