Jux apost picha yenye “UTATA” kwenye ukurasa wake wa Instagram

Jux apost picha yenye “UTATA” kwenye ukurasa wake wa Instagram

mbona kama amepakwa mafuta au simu yangu tatizo.

amepata bwana?
 
Okay.

I hope I don't irritate you with my questions. Like I once told you you make me very curious what your world is like.
Jichanganye sasa uka "sagwe".
Machine hiyo.
 
Mwanamuziki matawi ya juu bongo , na anayejua kupangilia vizur mavazi yake, juma jux , hivi karibuni amezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kupost picha akiwa nusu utupu, hali iliyozua sintofahamu kwa mashabiki zake .


Tunajua Jux ana advertise boxer zake , ila kwa huu mkao wa kwenye picha huenda kuna biashara nyingine anayoitangaza kwenye ulimwengu wa kiroho .

Ila huyu nae ana nyota ya kunguni, hat ajichetue vipi no one cares

View attachment 1471486
Ajiandae na basata
 
It costs nothng.
I just care for none.
Dats problem may be
Yeah.
But it would go a long way if you learnt to respect people.
It shows that you are mature and intelligent too
 
Back
Top Bottom