Jux asema Vanessa wake ni zaidi ya wema na zali

Jux asema Vanessa wake ni zaidi ya wema na zali

Akihojiwa na Savannah fm ya jijini Mwanza kwa njia ya simu katika kipindi cha "Bongo fleva na mbongo fleva wetu" aliulizwa kwanini ameweza kuwa kwenye mahusiano na staa bila penzi lake kuyumba kama wengine, mbongo fleva huyu alidai " Unajua nampenda Vanessa coz alinionesha zaidi ya wema na upendo, na ofcoz nilikuwa na zali mpaka kumng'oa huyu mtoto,si unajua watu kibao walikuwa wanamtolea macho" na pia amedai wanaangalia kama mambo yakiwa fresh wafunge ndoa mwisho wa mwaka huu na mnyange huyo.

Mimi nasema Kila la kheri katika hilo
Changamoto kubwa haziko kwenye mahusiano kabla ya ndoa bali baada, ambapo vumbi la mihemko ya mapenzi motomoto likitulia ndio madhaifu huanza kuonekana!
Mmoja wenu asipokubali kuwa chini hamfiki hata kwamtogole
 
Hivi swala la dini kwao likoje hawa watu,kwani wote ni wakristu hawa?au ndo wanakusudia kufunga ndoa ya bomani?taarifa tafadhali.
 
Kwahiyo yule aliemtuma unga China akakamatwa ameamua amtelekeze?
 
Hivi unamaanisha huyo jux alikuwa na zali na wema kabla ya kuwa na vanessa au??
 
Changamoto kubwa haziko kwenye mahusiano kabla ya ndoa bali baada, ambapo vumbi la mihemko ya mapenzi motomoto likitulia ndio madhaifu huanza kuonekana!
Mmoja wenu asipokubali kuwa chini hamfiki hata kwamtogole


duu kwa mtogole umenikumbusha miaka flan hiv maisha hayaa
 
Na Jack Clif beach bebe........!!!!......?.......
 
Back
Top Bottom