Jux azua balaa mitandaoni, ni baada ya picha ya matangazo ya nguo za ndani kusambaa

Jux azua balaa mitandaoni, ni baada ya picha ya matangazo ya nguo za ndani kusambaa

Jux alikuwa anaipigia promo ile boxer aliovaa, Ni Kama ndo kwanza ilikuwa inazinduliwa Sasa yeye akapewa dili la kuipigia promo.

Bt it's very unfortunate that most of us tumeichukua out context tumeanza kuongelea Mambo mengine tofauti kbsa.

Jux Ni mtu mzima na anajielewa kwa hiyo alikuwa na lengo la kupiga picha akiwa hivyo.
 
Ni jambo kawaida anatangaza nguo za ndani.
Kama ilivo kwa justin bierber
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    21.4 KB · Views: 12
Kwa hilo Busha Acha Rotimi apige tu mimba. Yani huyu jamaa alituaibisha wanaume wa Tanzania. Haiwezekani Vanessa akajazwe mimba Nigeria! Kwanza ana jeuri gani ya kupiga picha wakati hana maajabu?
Huyu jamaa kwakweli katuaibisha kakaa na mtoto mzuri muda wooote kashindwa kujaza mimba? Na mzigo wa kende alionao🤓
 
Back
Top Bottom