Hili jambo la kuidharau Facebook ndio huwa linanichosha sana na kuona JF ina wajinga wengi kuliko FB!Rudi Fb
Twende taratibu mkuuHili jambo la kuidharau Facebook ndio huwa linanichosha sana na kuona JF ina wajinga wengi kuliko FB!
Mtandao wako huu una account kule una hiyo habari?
Ulishawahi kuiona account ya Facebook huku?
Facebook inawatumiaji zaidi ya 1.5 billion hii forum yako ina watu wangapi?
Kila binadamu tajiri au mashuhuri duniani unayemjua ana personal account au page Facebook huku JF je?
Dharau muache nyinyi Facebook is not a fad!
Kuna watu wana dharau sana, unalinganishaje kitu kinacho operate worldwide na cha East africa disgustingπ³Twende taratibu mkuu
Respect, kazi nzuri
Bora umemwambia.Huku si kwa watoto aende fb huko.Kwani ndiyo wakina nani hao?Rudi Fb
π π πHili jambo la kuidharau Facebook ndio huwa linanichosha sana na kuona JF ina wajinga wengi kuliko FB!
Mtandao wako huu una account kule una hiyo habari?
Ulishawahi kuiona account ya Facebook huku?
Facebook inawatumiaji zaidi ya 1.5 billion hii forum yako ina watu wangapi?
Kila binadamu tajiri au mashuhuri duniani unayemjua ana personal account au page Facebook huku JF je?
Dharau muache nyinyi Facebook is not a fad!
[emoji8] [emoji8] [emoji8]
unajua jinsia yangu?Hizi emoj unaweza mpa mwanaume mwenzako?
"Hivi hujui hapa JF wote ni matajiri na tuna mitandao yetu maaruf za hata ya Mark wa FB .. . na hatutumii fb kabisa."Hili jambo la kuidharau Facebook ndio huwa linanichosha sana na kuona JF ina wajinga wengi kuliko FB!
Mtandao wako huu una account kule una hiyo habari?
Ulishawahi kuiona account ya Facebook huku?
Facebook inawatumiaji zaidi ya 1.5 billion hii forum yako ina watu wangapi?
Kila binadamu tajiri au mashuhuri duniani unayemjua ana personal account au page Facebook huku JF je?
Dharau muache nyinyi Facebook is not a fad!
Hili jambo la kuidharau Facebook ndio huwa linanichosha sana na kuona JF ina wajinga wengi kuliko FB!
Mtandao wako huu una account kule una hiyo habari?
Ulishawahi kuiona account ya Facebook huku?
Facebook inawatumiaji zaidi ya 1.5 billion hii forum yako ina watu wangapi?
Kila binadamu tajiri au mashuhuri duniani unayemjua ana personal account au page Facebook huku JF je?
Dharau muache nyinyi Facebook is not a fad!
uzi ambayo sio ya kipumbavu ndo ikoje?Jf ni Jf na Fb ni Fb tuu sijadharau Facebook arudi huko tu akaungane na hao watumiaji 1.5B atupunguzie nyuzi za kipumbafff
Kwa hiyo we nae unajiona una akili?Jf ni Jf na Fb ni Fb tuu sijadharau Facebook arudi huko tu akaungane na hao watumiaji 1.5B atupunguzie nyuzi za kipumbafff
unajua jinsia yangu?
Ha Haa... Kawekewa boom chuo basi kashakuwa hata na uwezo Wa kuikashifu FB... NCHI HII!??Cha kushangaza waelevu nao wapo kwenye Uzi wa kipumbavu...