Jux ft Diamond sugua ni fire

Jux ft Diamond sugua ni fire

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Leo msanii jux ameachia video yake aliyomshirikisha mondi a.k.a baba lao.Hii video unaweza kusema mambo manne creativity, passionity, proactivity and timing 👏👏

Yaani imewakutanisha wakali wa fashion na wametisha ile mbaya.Hii ngoma itampaisha Sana jux kimataifa ni hit song
 
Hili jambo la kuidharau Facebook ndio huwa linanichosha sana na kuona JF ina wajinga wengi kuliko FB!

Mtandao wako huu una account kule una hiyo habari?
Ulishawahi kuiona account ya Facebook huku?

Facebook inawatumiaji zaidi ya 1.5 billion hii forum yako ina watu wangapi?
Kila binadamu tajiri au mashuhuri duniani unayemjua ana personal account au page Facebook huku JF je?

Dharau muache nyinyi Facebook is not a fad!
 
Hili jambo la kuidharau Facebook ndio huwa linanichosha sana na kuona JF ina wajinga wengi kuliko FB!

Mtandao wako huu una account kule una hiyo habari?
Ulishawahi kuiona account ya Facebook huku?

Facebook inawatumiaji zaidi ya 1.5 billion hii forum yako ina watu wangapi?
Kila binadamu tajiri au mashuhuri duniani unayemjua ana personal account au page Facebook huku JF je?

Dharau muache nyinyi Facebook is not a fad!
Twende taratibu mkuu
 
 
Hili jambo la kuidharau Facebook ndio huwa linanichosha sana na kuona JF ina wajinga wengi kuliko FB!

Mtandao wako huu una account kule una hiyo habari?
Ulishawahi kuiona account ya Facebook huku?

Facebook inawatumiaji zaidi ya 1.5 billion hii forum yako ina watu wangapi?
Kila binadamu tajiri au mashuhuri duniani unayemjua ana personal account au page Facebook huku JF je?

Dharau muache nyinyi Facebook is not a fad!
😘 😘 😘
 
Hili jambo la kuidharau Facebook ndio huwa linanichosha sana na kuona JF ina wajinga wengi kuliko FB!

Mtandao wako huu una account kule una hiyo habari?
Ulishawahi kuiona account ya Facebook huku?

Facebook inawatumiaji zaidi ya 1.5 billion hii forum yako ina watu wangapi?
Kila binadamu tajiri au mashuhuri duniani unayemjua ana personal account au page Facebook huku JF je?

Dharau muache nyinyi Facebook is not a fad!
"Hivi hujui hapa JF wote ni matajiri na tuna mitandao yetu maaruf za hata ya Mark wa FB .. . na hatutumii fb kabisa."

Alisikika mpumbavu mmoja akibwata kilabu cha pombe.
 
Jf ni Jf na Fb ni Fb tuu sijadharau Facebook arudi huko tu akaungane na hao watumiaji 1.5B atupunguzie nyuzi za kipumbafff
Hili jambo la kuidharau Facebook ndio huwa linanichosha sana na kuona JF ina wajinga wengi kuliko FB!

Mtandao wako huu una account kule una hiyo habari?
Ulishawahi kuiona account ya Facebook huku?

Facebook inawatumiaji zaidi ya 1.5 billion hii forum yako ina watu wangapi?
Kila binadamu tajiri au mashuhuri duniani unayemjua ana personal account au page Facebook huku JF je?

Dharau muache nyinyi Facebook is not a fad!
 
Back
Top Bottom