Tony-stark
JF-Expert Member
- Jul 20, 2019
- 1,020
- 1,334
Jf inafurahisha Sana,
Kama asingetokea mtu na kusema usifananishe fb na jf,
basi kila mtu Angecomment hivi,
1*Rudi FB kwa watoto wenzio,
2*Unadhani huku Ni fb,
3*Hatupo fb hapa,
4*Unadhani wote wajinga kama fb,
5*Usituletee mambo ya fb,
Kwakua katokea mmoja alafu akasema usifananishe jf na fb na ndicho kilichotokea, basi kila mtu atacomment hivi,
1*Usifananishe fb na jf, fb Ni mtandao mkubwa Sana,
3*Unanichekesha kufananisha fb na jf,
4*Usifanishe fb na jf wewe,
5*Unajaribu kumfananisha mark na maxence,
6*Fb ni Moto wewe,
Na hawa, hawa kundi la pili, pia wangekuepo kwenye kundi la Kwanza,
Kama hujaelewa, hicho ulichoshika mkononi Sasa hivi fanya Kama unakitia kwenye maji.
Kama asingetokea mtu na kusema usifananishe fb na jf,
basi kila mtu Angecomment hivi,
1*Rudi FB kwa watoto wenzio,
2*Unadhani huku Ni fb,
3*Hatupo fb hapa,
4*Unadhani wote wajinga kama fb,
5*Usituletee mambo ya fb,
Kwakua katokea mmoja alafu akasema usifananishe jf na fb na ndicho kilichotokea, basi kila mtu atacomment hivi,
1*Usifananishe fb na jf, fb Ni mtandao mkubwa Sana,
3*Unanichekesha kufananisha fb na jf,
4*Usifanishe fb na jf wewe,
5*Unajaribu kumfananisha mark na maxence,
6*Fb ni Moto wewe,
Na hawa, hawa kundi la pili, pia wangekuepo kwenye kundi la Kwanza,
Kama hujaelewa, hicho ulichoshika mkononi Sasa hivi fanya Kama unakitia kwenye maji.