Juzi nilijaribu kufanya hili kwa ma-EX zangu...

Juzi nilijaribu kufanya hili kwa ma-EX zangu...

Hairidhishi kwa kweli kama lengo lilikuwa kupata ''first eleven'' na sub zake kama.

sikuwa na lengo hilo makusudi,,,ila ikatokea mbele kama bahati mbaya
 
Nimegundua kwamba wewe ni Swebe, huwezi tulia na mmoja. Hiyo ndiyo taswira halisi ya future yako.
 
Wiki iliyopita nikiwa nimekaa kitandani kwangu ghafla kuna wazo la kijinga lilinijia out of nowhere. Naliita la kijinga kwa sababu ukifikiria mm ni colleague wa chuo fulani hapa jijini kwa hiyo ilinnipasa nifikirie beyond this anyway nikaamua kufanya.

Wazo lenyewe lililonijia ni kuwa jaribu kuwakumbusha some best memories of us,and most importantly how we used to SEX.Master plan ilikuwa ni mm kuigiza kuwa nimemiss MCHEZO TU.

basi nikaanza kutafuta contacts zao,zingine zilikuwa GoogleContacts,,wengine nikawatafuta from friends mpka nikapata number... iakchukua siku nzima niliowapata WAKAFIKA 11 NIKASEMA INATOSHA.

Nikaandika bonge moja la ujumbe ili niforward kwa kila mmoja wao...Nikaanza ujumbewangu,nikajitambusha mm ni Jay ur ex-bf na blah blah za mbona mkimya na nn,,,, nikisifia "our days", na ujanja WAKE kitandani, na kwamba sasa hivi i dont get enough kama nilivyokuwa napata kwake>> NIKAIFORWARD sasa......kwahiyo huu hapa ni mrejesho kwa baadhi yao in their final say baada ya chatting mbili tatu......

1)Inamaana Jay sikuhizi upo single?

2)Jay siamini unachokisema..akanipigia simu tukaongea...akaniambia yupo mkoani Mzumbe hawajafungua 3rd year.

3)Mwingine akasema nimpe mda afikirie kuhusu SEX ila nijue kuwa ana mtu wake.

4)Mwingine akamalizia kwa kusema yupo mkoani akirudi atanitafuta ...

5)Yupo chuo hapa mjini ila mambo yanabana atanitafuta.

6)We need to talk first...

7) Hivi kipindi kile tulipoachana what did u think? umeshachezea wengine hukoo now unarudi tena kwangu?I hate you Jay.

8)Jay nimeshaolewa mwenzio.... haya nikampa hongera zake

9 )No response

10 & 11) Wametoa msimamo wao kuwa haiwezekani kwa sasa....

Na ikawa hivyo,,,wewe umegundua nn kutoka kwa hawa ma-ex wangu?
Wengi miteremko
 
Ina maana hakuna hata mmoja hakubadili namba tangu uachane nao? [emoji15]
 
Ina maana hakuna hata mmoja hakubadili namba tangu uachane nao? [emoji15]

nilkiwatafta upya mkuu...ilichukua karibia sikunzima..... wengine sikuwa na namba zao kabisa
 
Nimegundua kwamba wewe ni Swebe, huwezi tulia na mmoja. Hiyo ndiyo taswira halisi ya future yako.

huwezi jua labda nitaweza kubadilika nikishakuwa na mama clare
 
Hatusifii ujinga kwanza pole na pili nenda kaokoke umpe Yesu Maisha yako akusaidie siku zote za maisha yako!
 
We jamaa una mawazo mazuri.. Yafaa kufanya tafiti kama hizi serious.. Ukipublish unaweza change game ya mahusiano kabisa...
Hii ni kitu social psychologists wanafanya.. Kazi nzuri kijana.
 
We jamaa una mawazo mazuri.. Yafaa kufanya tafiti kama hizi serious.. Ukipublish unaweza change game ya mahusiano kabisa...
Hii ni kitu social psychologists wanafanya.. Kazi nzuri kijana.

kweli eh? mi nikajua nimefanya kitu cha kijinga
 
kweli eh? mi nikajua nimefanya kitu cha kijinga
Ooh... Man, you need some sort of craziness to change the world. Changamkia Fursa hiyo kabla ya mimi au Chris Mauki kuchukua idea na kuifanyia kazi...
 
Ooh... Man, you need some sort of craziness to change the world. Changamkia Fursa hiyo kabla ya mimi au Chris Mauki kuchukua idea na kuifanyia kazi...

hehe anzeni bhana nyie,,,ili niangalie kama kweli inaweza ikafanyika
 
Back
Top Bottom