Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
umeona eeHahahahahhahhah........
Nimeona vizuri kabisaumeona ee
haya kazi kwakoNimeona vizuri kabisa
Ikiwa unazopesa ndogo sana hiyo
Hahaha mkuu em mtolee ww kwa niaba ...
Acha misifa wewelaki si pesa!
tatz la jf kila mtu amesoma udsm;ana kazi nzuri, ana hela ;so humu hakuna mnyonge wote wanazo,"et kalaki"Jamani maisha yalivyo magumu mnasema laki ni ndogo?Jamani nyie acheni masihara ........
Matusi hayo au una utani nae mkuutatz la jf kila mtu amesoma udsm;ana kazi nzuri, ana hela ;so humu hakuna mnyonge wote wanazo,"et kalaki"
mtu km miss chaga na nywele zake za kipilipili zinazoishia utosini anavaa wig mwezi mzima mpk linatoa haruf kali km dampo!
Ahsante sana mkuu, tutasonga tuu kwa uwezo Mwenyezi Mungumkuu pole aisee ndiyo maisha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]tatz la jf kila mtu amesoma udsm;ana kazi nzuri, ana hela ;so humu hakuna mnyonge wote wanazo,"et kalaki"
mtu km miss chaga na nywele zake za kipilipili zinazoishia utosini anavaa wig mwezi mzima mpk linatoa haruf kali km dampo!
Sa uyo aliyeomba kwanini hana.pesa ndogo sana hiyo
amenAhsante sana mkuu, tutasonga tuu kwa uwezo Mwenyezi Mungu
ha hahaha naona mnaninanga tafuteni hela acheni kulalamika haya mi nahongwa ujuetatz la jf kila mtu amesoma udsm;ana kazi nzuri, ana hela ;so humu hakuna mnyonge wote wanazo,"et kalaki"
mtu km miss chaga na nywele zake za kipilipili zinazoishia utosini anavaa wig mwezi mzima mpk linatoa haruf kali km dampo!
Dah.. Siyo dharau bana....wengine hatujui... ni vilaza .....ndiyo utupe ilm sasa[emoji13] [emoji13]Hilo swali lako ni dharau kwangu mkuu
Juzi nilimtongoza demu akaniambia hawezi kunikubalia hadi nikajitambulishe kwao basi nikaamua kupiga kimya. Sasa leo kanitumia SMS anaomba nimsaidie 100,000/= na mie nimemwambia akajitambulishe kwetu.
Ukijifanya mjinga mie nakuwa mpumbavu.
amoooAcha utani wewe..
Laki ndogo???[emoji15]
Mmh hayaamooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]tatz la jf kila mtu amesoma udsm;ana kazi nzuri, ana hela ;so humu hakuna mnyonge wote wanazo,"et kalaki"
mtu km miss chaga na nywele zake za kipilipili zinazoishia utosini anavaa wig mwezi mzima mpk linatoa haruf kali km dampo!
Mkuu ivi miss chagga umemuona laivu? Inasemekana mkali kinoma, maana jamaa anaimbisha mzigo humu!tatz la jf kila mtu amesoma udsm;ana kazi nzuri, ana hela ;so humu hakuna mnyonge wote wanazo,"et kalaki"
mtu km miss chaga na nywele zake za kipilipili zinazoishia utosini anavaa wig mwezi mzima mpk linatoa haruf kali km dampo!