Tasbeeh313
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 1,919
- 2,054
"Laki si pesa" ...., "milioni uadui" , mkuu unataka huyo demu akukubalie ndio nimekubali ndo uridhike , soma alama za nyakati na uende na nyakati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji1] mkuu umetisha ww noma na mfano wa kuigwaJuzi nilimtongoza demu akaniambia hawezi kunikubalia hadi nikajitambulishe kwao basi nikaamua kupiga kimya. Sasa leo kanitumia SMS anaomba nimsaidie 100,000/= na mie nimemwambia akajitambulishe kwetu.
Ukijifanya mjinga mie nakuwa mpumbavu.
Tatizo sio kalaki kamoja ila kwa kuwa demu alikaza na jamaa ikabidi akaze hata kama angeomba 10,000 tuJamaa kanisikitisha sana, kalaki ka1 tu anakaanzishia uzi!?
ha hahahaMkuu ivi miss chagga umemuona laivu? Inasemekana mkali kinoma, maana jamaa anaimbisha mzigo humu!