Jwts watinga muhimbili

Jwts watinga muhimbili

mabina

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
218
Reaction score
27
MAFAHARI WAWILI WAGOMBANAPO= NYASI NDO ZNAZOUMIA.


Huu ndo msemo sahihi tnaoweza kuutmia wakati huu wa migomo ya madakitari wetu.

Huu ni msuguano baina ya pande mbili. Serikali na Madaktari, hawa ni mafahari wawili mmoja anajvnia cheo chake na mmoja anajvnia taaluma yake.
Lakini je ni wakina nani wanaoumia kama sio wagonjwa.
Sasa ni jukumu letu kuwaachanisha hawa mafahari kabla haljawa jangwa maana nyasi zote ztakwsha na malisho ktoweka.

Sasa chakshangaza jana, madaktari ktoka jeshi la wananchi(JWTZ) wameenda MUHUMBILI ktoa tiba wakati wagonjwa huwa wanakatiwwa rufaa ktoka hospitali za jeshi kwenda MUHIMBILI kwa wataalam, sasa mtaalamu kagoma, aliyeletwa atatoaje hduma aknifi ingali anapowashndwa kuwatibu hospitalini kwake anawapeleka wagonjwa MUHIMBILI?????
 
MAFAHARI WAWILI WAGOMBANAPO= NYASI NDO ZNAZOUMIA.


Huu ndo msemo sahihi tnaoweza kuutmia wakati huu wa migomo ya madakitari wetu.

Huu ni msuguano baina ya pande mbili. Serikali na Madaktari, hawa ni mafahari wawili mmoja anajvnia cheo chake na mmoja anajvnia taaluma yake.
Lakini je ni wakina nani wanaoumia kama sio wagonjwa.
Sasa ni jukumu letu kuwaachanisha hawa mafahari kabla haljawa jangwa maana nyasi zote ztakwsha na malisho ktoweka.

Sasa chakshangaza jana, madaktari ktoka jeshi la wananchi(JWTZ) wameenda MUHUMBILI ktoa tiba wakati wagonjwa huwa wanakatiwwa rufaa ktoka hospitali za jeshi kwenda MUHIMBILI kwa wataalam, sasa mtaalamu kagoma, aliyeletwa atatoaje hduma aknifi ingali anapowashndwa kuwatibu hospitalini kwake anawapeleka wagonjwa MUHIMBILI?????


Well said!!!!

Wamefika pale na kushangaa vifaa vya kisasa ambavyo hawajawahi kuvitumia!!
 
Si hawakuweza kutumia vifaa vya pale?? Mi naona kama walienda kisiasa tu na si kufanya kazi
 
swali zuri la kujiuliza ...ila ni JWTZ .... sio JWTS !
 
Kiukweli sjaona suluhsho zaid ya serikali kjrdhsha yenyewe huku ikiwaacha wagonjwa wakhangaika, maana haiwezekan kama ni DOCTOR kweli anapelekwa HOSPITALINI anaanza kshangaa vifaaa?????? Inamaana anahtaji tena muda wa kwenda darasani akajfnze jnsi ya kvitumia. Sasa ataanza ktibu lini kama vfaa havjui kvtmia.

USHAURI NA SERIKALI YETU MBOVU.
======================

Watmie neno DEMOKRASIA (DEMOCRACY) washauriane, wawasklze mwishowe wayamalize, Kama mwalm J.K Nyerere asngetmia Demokrasia inamaana Tanganika tngepata uhuru kwa kumwaga damu.

Wakae chini wayatazame matakwa ya madaktari na waje na njia ya kyatatua na co ktmia lugha ya ubabe.
 
kwel jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni

Kwa serikali ya kbongo hyo mnyonge haki yake yenyewe ananyang'anywa kwa mtutu wa BUBDUKI (eg WAMACHINGA, MAMA NTILIE MWANJERWA MBEYA )

Unafkiri atapewa na nani
 
Back
Top Bottom