mabina
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 218
- 27
MAFAHARI WAWILI WAGOMBANAPO= NYASI NDO ZNAZOUMIA.
Huu ndo msemo sahihi tnaoweza kuutmia wakati huu wa migomo ya madakitari wetu.
Huu ni msuguano baina ya pande mbili. Serikali na Madaktari, hawa ni mafahari wawili mmoja anajvnia cheo chake na mmoja anajvnia taaluma yake.
Lakini je ni wakina nani wanaoumia kama sio wagonjwa.
Sasa ni jukumu letu kuwaachanisha hawa mafahari kabla haljawa jangwa maana nyasi zote ztakwsha na malisho ktoweka.
Sasa chakshangaza jana, madaktari ktoka jeshi la wananchi(JWTZ) wameenda MUHUMBILI ktoa tiba wakati wagonjwa huwa wanakatiwwa rufaa ktoka hospitali za jeshi kwenda MUHIMBILI kwa wataalam, sasa mtaalamu kagoma, aliyeletwa atatoaje hduma aknifi ingali anapowashndwa kuwatibu hospitalini kwake anawapeleka wagonjwa MUHIMBILI?????
Huu ndo msemo sahihi tnaoweza kuutmia wakati huu wa migomo ya madakitari wetu.
Huu ni msuguano baina ya pande mbili. Serikali na Madaktari, hawa ni mafahari wawili mmoja anajvnia cheo chake na mmoja anajvnia taaluma yake.
Lakini je ni wakina nani wanaoumia kama sio wagonjwa.
Sasa ni jukumu letu kuwaachanisha hawa mafahari kabla haljawa jangwa maana nyasi zote ztakwsha na malisho ktoweka.
Sasa chakshangaza jana, madaktari ktoka jeshi la wananchi(JWTZ) wameenda MUHUMBILI ktoa tiba wakati wagonjwa huwa wanakatiwwa rufaa ktoka hospitali za jeshi kwenda MUHIMBILI kwa wataalam, sasa mtaalamu kagoma, aliyeletwa atatoaje hduma aknifi ingali anapowashndwa kuwatibu hospitalini kwake anawapeleka wagonjwa MUHIMBILI?????