Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Wewe badala ya kutetea dhuruma unaisifia! Nguo hizo zimeingizwa kihalali na zimelipiwa ushuru TRA baada ya kujiridhisha ni mali halali.Wanakurusha kichurachura,wanakupiga mitama,wanakuvulisha hilo vazi unabaki uchi wa mnyama unaanza kutunyama Sasa..
Nitakufahamisha maana ya kutunyama!,kutunyama ni Ile uvulishwe nguo ya chini halafu malighafi zako zinabaki wazi!,hapo ukute Kuna hadhira inaona malighafi zako zinavyochezacheza mara uambiwe binuka,rukaruka,tambaa kama mnyoo... Huko ndio kutunyama..😅
Lkn mbona hawajatoa tamko juu ya dp world au wanasubiri tushindwane ndo waingie kati...??
Nadhani Jeshi letu linahitaji uvuvio.Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limebainisha hatua hiyo inatokana na ongezeko la raia wanaotumia mavazo hayo wakikinzana na Sheria ya Ulinzi wa Taifa, Sheria ya Taifa na Sheria ya Kanuni ya Adhabu zinazokataza raia kuvaa au kutumia mavazi ya Kijeshi au yanyoendana na Jeshi.
Angalizo hilo pia limewagusa baadhi ya Taasisi ambazo zimekuwa zikiwashonea Wafanyakazi wake mavazi ya Kijeshi na wengine Wafanyabiashara wanauza mavazi hayo.
Amesema “Kwa unyenyekevu tunawaomba Wananchi wanaokiuka Sheria hizo kuacha kuvaa, kuyatumia au kuyauza mavazi hayo kuanzia leo (Agosti 24, 2023), baada ya siku 7 atakayepatikana atapatiwa adhabu kali, tumetoa muda huo kwa kuwa kuna raia ambao hawana uelewa hivyo tunawaelewesha kwa kuzingatia Utawala wa Sheria.”
Na haya mashitaka ya uhaini, na mijadala ya DPW, isijekuwa tayari kawekewa mtu shehena ya hayo magwanda ili aingizwe king!Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limebainisha hatua hiyo inatokana na ongezeko la raia wanaotumia mavazo hayo wakikinzana na Sheria ya Ulinzi wa Taifa, Sheria ya Taifa na Sheria ya Kanuni ya Adhabu zinazokataza raia kuvaa au kutumia mavazi ya Kijeshi au yanyoendana na Jeshi.
Angalizo hilo pia limewagusa baadhi ya Taasisi ambazo zimekuwa zikiwashonea Wafanyakazi wake mavazi ya Kijeshi na wengine Wafanyabiashara wanauza mavazi hayo.
Amesema “Kwa unyenyekevu tunawaomba Wananchi wanaokiuka Sheria hizo kuacha kuvaa, kuyatumia au kuyauza mavazi hayo kuanzia leo (Agosti 24, 2023), baada ya siku 7 atakayepatikana atapatiwa adhabu kali, tumetoa muda huo kwa kuwa kuna raia ambao hawana uelewa hivyo tunawaelewesha kwa kuzingatia Utawala wa Sheria.”
Wale nao wanapenda ujiko wa kizamani sana.Wanakurusha kichurachura,wanakupiga mitama,wanakuvulisha hilo vazi unabaki uchi wa mnyama unaanza kutunyama Sasa..
Nitakufahamisha maana ya kutunyama!,kutunyama ni Ile uvulishwe nguo ya chini halafu malighafi zako zinabaki wazi!,hapo ukute Kuna hadhira inaona malighafi zako zinavyochezacheza mara uambiwe binuka,rukaruka,tambaa kama mnyoo... Huko ndio kutunyama..😅
Lkn mbona hawajatoa tamko juu ya dp world au wanasubiri tushindwane ndo waingie kati...??
Kuna mtu anatafutwa hapa c bureJeshi la Wananchi ( JWTZ) limetoa Siku 7 kuanzia leo 24/08/2023 kwa Wananchi Wenye Mavazi ya Jeshi au yanayofanana na Sare za Jeshi kuyasalimisha Jeshini baada ya Siku 7 Msako mkali Utaanza nchi nzima
Source: Ayo tv
Nasikia wengine wakikuona umevaa wanakuadabisha kisawasawa !
Those are trivial things. Defence force can do better than this.Bora watarudisha heshima ya Jeshi. Unakuta limtu Lina miguu yote ya kushoto, halijawahi kucheza hata sungu sungu achilia mbali mgambo, lisanii mara la hip hop au taarabu linakwenda kufananisha Mavazi ya majeshi yetu. Hata kama ni rangi za majeshi ambayo sio ya nchi yetu umeyakuta kwenye mtumba unayanunua ya nini? Si ununue zinazoendana na wewe? Nadhani majeshi yote yaungane kuwasaka wanaofananisha nguo zao ama kwa rangi ama kwa mishono. Mbona hawaigi nguo za wafungwa au manesi?
Sio vidogo kama unavyodhani.Those are trivial things. Defence force can do better than this.