Eh ya ngono wanafunzi wakiwa ni wewe kichwa maji na ndugu zakoCourse x sijawahi sikia mkuu... au ya ngono hii??
Hajaona muonesheNadhani kitengo kipo mkuu hivi karibuni jeshi lilikuwq linahitaji vijana waliosoma sayansi na IT hukuona lile Tangazo?
Wakapunguza na sifa kwa kuondoa kigezo cha kupitia JKT
Nataka kujua hayo maajabu kwenye cyber warfare unit yake ni yapi? maana sifa zimekuwa nyingi sanaUnajua kuwa Kagame is building a nuclear plant in Rwanda? He also has stocked cyber weaponry!
hao wanasubiri uchaguzi zanzibar wakapige mabomu.Rudini kwenye mada achaneni na hao hapa tunazungumzia wajeshi sio hao
Huku tunguli tu leta ushenzi lisimu lako linatupiwa jini makata kwisha kazi hakuna shida na mambo ya wazunguNauliza tu…
Mara nyingi sasa tumeziona mbwembwe za makandoo wa JWTZ.
Tumeona jinsi wanavyovunja matofali kwa mikono.
Tumeona jinsi wanavyovunja vibao kwa mateke.
Tumeona jinsi wanavyobeba mabegi ya mgongoni makubwa na mazito.
Pia, tumeona na kumsikia msemaji wa jeshi letu akisema kuwa jeshi letu ni moja ya majeshi bora 6 duniani 🤣.
Sasa, kwa ufahamu wangu mimi, majeshi yote yaliyo bora duniani yana vitengo vya cyber warfare.
Wiki hii tumeshuhudia moja ya kazi za kitengo cha cyber warfare huko Lebanon.
Ingawa hawajakiri kuwa ni wao, lakini watu wengi wenye akili wana fununu kuwa ni akina nani hao waliohusika na kuzilipua pagers za Hezbollah……IDF kupitia kitengo chao cha cyber warfare.
Sijui Kama JWTZ wana hicho kitengo. Sina hakika kama wana uwezo hata wa kudukua mifumo yoyote iliyopo Burundi au hata Sudan ya Kusini.
Kwa mnaojua, JWTZ wakoje kwenye hayo mambo?
Kaka tatz tunaamini kweny ufaul kuzid maarifa fattilia wengi wanaojua mambo ya udukiaji gpa zao ni za kawaida maan wao wanasoma na wanatak wajue vitu sasa tz tunaamini gpa kubwa ni akili kuzid maarifa mtu anajua vitu ana gpa ya kawaida lakin ataachwa atachukuliwa kilaz ambae amekalili makaratas kuzid mtu ambae anajua mamboNafas8 za kazi za JWTZ huwa zinatangazwa wazi wanahitaji watu gani na sifa zipi huwa huoni au? Ulishaona kwenye hizo sifa wanazotaja kuna kilaza?
Umejas ujinga tu kichwana hata macho ya kusoma sifa za ajira JWTZ matangazo yakitoka huna
Inawezekana vipi mtu wa kiswahili na historia akapewa nafasi ya IT!?Vijan wenye uwezo tukiomba nafasi hatupew wanapew watoto wao wataweza kudukuaje wamechukua mtu wa kiswahili na history
Hayo matangazo ni danganya toto tu!Nafas8 za kazi za JWTZ huwa zinatangazwa wazi wanahitaji watu gani na sifa zipi huwa huoni au? Ulishaona kwenye hizo sifa wanazotaja kuna kilaza?
Umejas ujinga tu kichwana hata macho ya kusoma sifa za ajira JWTZ matangazo yakitoka huna
Madawa yaliyo expire yanaingizwa nchini. Vyakula vilivyo expire vinaingizwa. Sukari isiyofaa kwa matumizi ya binadamu inaingizwa. Bidhaa zisizo na ubora toka China zinaingizwa. Wakati huohuo tuna TBS/TMDA, TISS. nk. Uchawa unalipa- ukiwa mzalendo utatafutiwa sababu.Kuwalipua maadui kwa simu zao na pagers wataanza kujifunza wakipitia hii mada kila kitu ni kujifunza,sidhani kama Jeshi letu linaweza likaingizwa mkenge na kuuziwa vifaaa vya mawasiliano vya kuwalipukia wenywewe,Wataalamu wetu wenye weledi wa hali ya juu, pamoja na ndugu zetu wachina,wacuba warusi watahakiki kabla hatujaanza kuvitumia.
Maofisa wake wanapishana kwenye vibanda wa mafundi simu kwenda kuwekewa application ya Whatsup. Nakuachia mwenyewe utafakari weledi wao kwenye hii sekta.Nauliza tu…
Mara nyingi sasa tumeziona mbwembwe za makandoo wa JWTZ.
Tumeona jinsi wanavyovunja matofali kwa mikono.
Tumeona jinsi wanavyovunja vibao kwa mateke.
Tumeona jinsi wanavyobeba mabegi ya mgongoni makubwa na mazito.
Pia, tumeona na kumsikia msemaji wa jeshi letu akisema kuwa jeshi letu ni moja ya majeshi bora 6 duniani 🤣.
Sasa, kwa ufahamu wangu mimi, majeshi yote yaliyo bora duniani yana vitengo vya cyber warfare.
Wiki hii tumeshuhudia moja ya kazi za kitengo cha cyber warfare huko Lebanon.
Ingawa hawajakiri kuwa ni wao, lakini watu wengi wenye akili wana fununu kuwa ni akina nani hao waliohusika na kuzilipua pagers za Hezbollah……IDF kupitia kitengo chao cha cyber warfare.
Sijui Kama JWTZ wana hicho kitengo. Sina hakika kama wana uwezo hata wa kudukua mifumo yoyote iliyopo Burundi au hata Sudan ya Kusini.
Kwa mnaojua, JWTZ wakoje kwenye hayo mambo?
GPA kubwa ina maana huyo ni mtu anayejituma sana ana juhudi kubwaKaka tatz tunaamini kweny ufaul kuzid maarifa fattilia wengi wanaojua mambo ya udukiaji gpa zao ni za kawaida maan wao wanasoma na wanatak wajue vitu sasa tz tunaamini gpa kubwa ni akili kuzid maarifa mtu anajua vitu ana gpa ya kawaida lakin ataachwa atachukuliwa kilaz ambae amekalili makaratas kuzid mtu ambae anajua mambo
Kuna majibu huwa yanakatisha tamaa kweli.. Unakosa cha kuhojiAngalia mtaani kwenu au ata kwenu kijijini nature ya watu wanao kuwa recruited Jwtz alafu ufanye generalisation kisha udraw conclusion.
Mmh sidhani ikiwa rada tu zimejengwa miaka 4 iliyopita yaani imagine tulikuwa tunalipia rada kutoka nchi ya nje ili ilinde aga letu.Nauliza tu…
Mara nyingi sasa tumeziona mbwembwe za makandoo wa JWTZ.
Tumeona jinsi wanavyovunja matofali kwa mikono.
Tumeona jinsi wanavyovunja vibao kwa mateke.
Tumeona jinsi wanavyobeba mabegi ya mgongoni makubwa na mazito.
Pia, tumeona na kumsikia msemaji wa jeshi letu akisema kuwa jeshi letu ni moja ya majeshi bora 6 duniani 🤣.
Sasa, kwa ufahamu wangu mimi, majeshi yote yaliyo bora duniani yana vitengo vya cyber warfare.
Wiki hii tumeshuhudia moja ya kazi za kitengo cha cyber warfare huko Lebanon.
Ingawa hawajakiri kuwa ni wao, lakini watu wengi wenye akili wana fununu kuwa ni akina nani hao waliohusika na kuzilipua pagers za Hezbollah……IDF kupitia kitengo chao cha cyber warfare.
Sijui Kama JWTZ wana hicho kitengo. Sina hakika kama wana uwezo hata wa kudukua mifumo yoyote iliyopo Burundi au hata Sudan ya Kusini.
Kwa mnaojua, JWTZ wakoje kwenye hayo mambo?