JWTZ cyber warfare unit

JWTZ cyber warfare unit

Anapokuja kwenye Sherehe zenu Kagame anawacheka tu mnapoonesha Askari wenu wana shuka na parachute na wengine kuvunja Matofali!! Hizo ni mbinu za vita za kale ; Kagame yuko kwenye cyber weaponry ambapo atawalipua Askari wenu wakiwa ndani ya ma handaki yeye akiwa Kigali!
Ulikua na umri gani 2013?
 
Kwa comments hizi za wadau bado tuna safari ndefu sana.
 
Hiki kitengo kipo, ila hakifanyi kazi , kwa waledi. Hata kama wanaupungufu wa vifaa, shida ni siasa kuingia mpaka majeshini,
Nyerere aliharibu hii nchi tukubali tukatae,
Idara na vitengo vyote vya serikali vinafanya kazi , kwa mtazamo wa kisiasa, hakuna ubunifu wa kutukuka ZaidI ya zidumu fikra za mwenyekiti ambaye ni mshamba/mjinga/jizi
 
Nauliza tu…

Mara nyingi sasa tumeziona mbwembwe za makandoo wa JWTZ.

Tumeona jinsi wanavyovunja matofali kwa mikono.

Tumeona jinsi wanavyovunja vibao kwa mateke.

Tumeona jinsi wanavyobeba mabegi ya mgongoni makubwa na mazito.

Pia, tumeona na kumsikia msemaji wa jeshi letu akisema kuwa jeshi letu ni moja ya majeshi bora 6 duniani 🤣.

Sasa, kwa ufahamu wangu mimi, majeshi yote yaliyo bora duniani yana vitengo vya cyber warfare.

Wiki hii tumeshuhudia moja ya kazi za kitengo cha cyber warfare huko Lebanon.

Ingawa hawajakiri kuwa ni wao, lakini watu wengi wenye akili wana fununu kuwa ni akina nani hao waliohusika na kuzilipua pagers za Hezbollah……IDF kupitia kitengo chao cha cyber warfare.

Sijui Kama JWTZ wana hicho kitengo. Sina hakika kama wana uwezo hata wa kudukua mifumo yoyote iliyopo Burundi au hata Sudan ya Kusini.

Kwa mnaojua, JWTZ wakoje kwenye hayo mambo?
Wanajeshi wanapeana post kuingiza ndugu zao, sasa unategemea wataalam utawapataje?
 
Huwezi kuwa na jeshi bora bila uwekezaji mkubwa hizo nchi zimewekeza mfano kama USA wizara ya Ulinzi ndo ina budget kubwa kuliko wizara zote na hata mfumo wao wa ajira ni tofauti Tz anaajiriwa Raia asie na vinasaba vya nchi tofauti, ila Usarmy utakuta hadi mchina, mnyakyusa, mkorea yuko ndani ya jeshi lao wao wanazingatia uwezo wa mtu haijalishi asili yake ni wapi lazima jeshi liwe bora.

Kwetu hapa uwekezaji ndani ya jeshi bado mdogo sana, Technology ni 0 maana hata vifaa vinavyotumika vyote ni vya kuletewa vingine hata marekebisho hatuwezi hadi tuombe msaada
Anakuja saajenti anasema kuruta wote pale kihangaiko wakatike mauno awaone ili kuonesha uzalendo wa nchi yao.

Hii nchi imeoza walahi
 
Kuna jamaa wanasimamia rada pale kambi x wakiwa mtaani wanajiita ma ma hacker eti kisa wanaona.kila.kimachopita angani ukowauliza Kuna cha.ziada.hawana, mtu una muuliza what is cyber attack hajui hata unasema nini Sasa ndo Hali halisi. Mimi nimekaa nao
Kibangu ?
 
Anakuja saajenti anasema kuruta wote pale kihangaiko wakatike mauno awaone ili kuonesha uzalendo wa nchi yao.

Hii nchi imeoza walahi
maxresdefault.jpg
 
Kama tuma Vijana wa TISS kutwa nzima akitekenywa tu anasema mie ni Usalama. ( Ofcoz ni mwanausalama wa TISS).


Unadhan tunaweza kua na JWTZ Cyber unit yenye ubora, Uwezo ulotukuka??.

Sisi ya kwetu ni masifa na majiguvu tu.


Look, mwaka 2022 Mossad kupitia kampuni mbalimbali za ulaya, walifanikiwa kutengeneza Pagers, laptop, na simu ambazo Kwa pamoja zilipandikizwa milipuko. Fikiria Jambo kubwa kama Hilo, lakini Jamaa wanahakikisha vifaa hivo vitakwenda Kwa HEZIBOLLAH TU , kwamba hamna Raia wakawaida mwingine Ndani ya Lebanon na Dunia nzima atakayekua na kifaa hiko zaidi ya HEZIBOLLAH TU.



Angalia Kichapo wanachopewa HEZIBOLLAH Sasa !!.


Jana nilikua Job, kaletwa demu Yuko hoi, walomleta ni Wanawake wenzie majirani, huwezi amini walipofika tu ukasikia " jaman jaman msaidieeni huyu haraka Mumewe ni yule Usalama wa Taifa" ( Ofcoz ni kweli).

Kuna kipindi Niko ivoivo job, naletewa Faili na Nurse huku akiniambia.... Dokta Dokta doktaaa naomba unisaidie huyu Dada , ni mwanausalama wa Taifa ".

Ni kosa kwa mwana-usalama kujitambulisha.

Ni kosa kwa mwana-usalama kutambulika (hata kama hajajitambulisha)

Ni kosa kumtambulisha mwanausalama.

Ni kosa!
Screenshot_20240920-135240_2.jpg
 
Israel na marekani kila mtu aliyewahi kufanya kazi wizara ya ulinzi au jeshini na akaondoka kama raia huwa ni usalama na jasusi wa mosad au CIA. Huku kuna watu wengi tu utawakuta wapo mashirika ya kijeshi na wanahamia kwingine na hawawatambui kwa lolote wala kuwatumia. Hapa marekani hakuna ujinga huo unaendelea kutumika popote uendapo ilimradi hukufukuzwa jeshini au wizara ya ulinzi hata kama hukua Askari
 
Broo hizo akili ndo zinafanya tunzalisha akili za kukalili ila sio za kuwa na ujuzi Lakin tungft ujuz ungeona hao vipanga uwape practical ni chenga hawajui kitu wengi wao ingekuwa ivo hao akina elon waliachan chuo lakin wakawa busy na kufanya practical je wew mwny 4.5 na elon nan ana akili poor mentality from africa
 
Back
Top Bottom