KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Kila kijana akifeli kidato shule anakimbilia jeshini......jeshi limekuwa kichaka cha waliofeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuweka app kunahitaji usomi wa IT? Kama kuna askari mlinda nchi ambaye hajui ku dowload whatsup huyo ni sawa ni panya tu.Si umesema maafisa wao hupeleka simu kwa fundi simu kuwekewa app,hapo umeshangaa maafisa kutojua kuweka app
Kama wewe ni Daktari basi hustahiri kuwa kwenye kada hiyo ulitakiwa kuwa kwenye siasa.Kama tuma Vijana wa TISS kutwa nzima akitekenywa tu anasema mie ni Usalama. ( Ofcoz ni mwanausalama wa TISS).
Unadhan tunaweza kua na JWTZ Cyber unit yenye ubora, Uwezo ulotukuka??.
Sisi ya kwetu ni masifa na majiguvu tu.
Look, mwaka 2022 Mossad kupitia kampuni mbalimbali za ulaya, walifanikiwa kutengeneza Pagers, laptop, na simu ambazo Kwa pamoja zilipandikizwa milipuko. Fikiria Jambo kubwa kama Hilo, lakini Jamaa wanahakikisha vifaa hivo vitakwenda Kwa HEZIBOLLAH TU , kwamba hamna Raia wakawaida mwingine Ndani ya Lebanon na Dunia nzima atakayekua na kifaa hiko zaidi ya HEZIBOLLAH TU.
Angalia Kichapo wanachopewa HEZIBOLLAH Sasa !!.
Jana nilikua Job, kaletwa demu Yuko hoi, walomleta ni Wanawake wenzie majirani, huwezi amini walipofika tu ukasikia " jaman jaman msaidieeni huyu haraka Mumewe ni yule Usalama wa Taifa" ( Ofcoz ni kweli).
Kuna kipindi Niko ivoivo job, naletewa Faili na Nurse huku akiniambia.... Dokta Dokta doktaaa naomba unisaidie huyu Dada , ni mwanausalama wa Taifa ".
Kwani,gari la kichina halina ubora?Kwenye nchi za kifisadi kama ya kwetu kila idara ni upigaji tu. Kila siku wananunua vifaa na magari ya kichina sidhani kama wanajua hata kurusha drones
Usajiri wa wataalamu maalum katika majeshi yote duniani ikiwemo TZ huwa unafanywa kwa siri sana na kwa taarifa yako wataalamu sana kwenye nchi lazima wanasajiriwa kwenye majeshi anaweza akaendelea kufanyakazi kwenye private company lakini yuko kwenye mfumo. Kama ulisoma Cuba nafikiri utakuwa umenielewa!!Kila kijana akifeli kidato shule anakimbilia jeshini......jeshi limekuwa kichaka cha waliofeli
Hawa maandunje ambaye mmojawao ni mbakaji wa mtungoNauliza tu…
Mara nyingi sasa tumeziona mbwembwe za makomandoo wa JWTZ.
Tumeona jinsi wanavyovunja matofali kwa mikono.
Tumeona jinsi wanavyovunja vibao kwa mateke.
Tumeona jinsi wanavyobeba mabegi ya mgongoni makubwa na mazito.
Pia, tumeona na kumsikia msemaji wa jeshi letu akisema kuwa jeshi letu ni moja ya majeshi bora 6 duniani 🤣.
Sasa, kwa ufahamu wangu mimi, majeshi yote yaliyo bora duniani yana vitengo vya cyber warfare.
Wiki hii tumeshuhudia moja ya kazi za kitengo cha cyber warfare huko Lebanon.
Ingawa hawajakiri kuwa ni wao, lakini watu wengi wenye akili wana fununu kuwa ni akina nani hao waliohusika na kuzilipua pagers za Hezbollah……IDF kupitia kitengo chao cha cyber warfare.
Sijui Kama JWTZ wana hicho kitengo. Sina hakika kama wana uwezo hata wa kudukua mifumo yoyote iliyopo Burundi au hata Sudan ya Kusini.
Kwa mnaojua, JWTZ wakoje kwenye hayo mambo?
Siasa ni Maisha .Kama wewe ni Daktari basi hustahiri kuwa kwenye kada hiyo ulitakiwa kuwa kwenye siasa.
Kumbe unaota!! Basi mkuu!Siasa ni Maisha .
Hapa nilipo ni kwenye ndoto zangu
Tuna safari ndefu sanaKama tuma Vijana wa TISS kutwa nzima akitekenywa tu anasema mie ni Usalama. ( Ofcoz ni mwanausalama wa TISS).
Unadhan tunaweza kua na JWTZ Cyber unit yenye ubora, Uwezo ulotukuka??.
Sisi ya kwetu ni masifa na majiguvu tu.
Look, mwaka 2022 Mossad kupitia kampuni mbalimbali za ulaya, walifanikiwa kutengeneza Pagers, laptop, na simu ambazo Kwa pamoja zilipandikizwa milipuko. Fikiria Jambo kubwa kama Hilo, lakini Jamaa wanahakikisha vifaa hivo vitakwenda Kwa HEZIBOLLAH TU , kwamba hamna Raia wakawaida mwingine Ndani ya Lebanon na Dunia nzima atakayekua na kifaa hiko zaidi ya HEZIBOLLAH TU.
Angalia Kichapo wanachopewa HEZIBOLLAH Sasa !!.
Jana nilikua Job, kaletwa demu Yuko hoi, walomleta ni Wanawake wenzie majirani, huwezi amini walipofika tu ukasikia " jaman jaman msaidieeni huyu haraka Mumewe ni yule Usalama wa Taifa" ( Ofcoz ni kweli).
Kuna kipindi Niko ivoivo job, naletewa Faili na Nurse huku akiniambia.... Dokta Dokta doktaaa naomba unisaidie huyu Dada , ni mwanausalama wa Taifa ".
Hiyo ni IT,IT siyo kuhack tu,ni information technology,hata kuban cd ni IT,kuweka movie, nyimbo kwenye flash ni ITKuweka app kunahitaji usomi wa IT? Kama kuna askari mlinda nchi ambaye hajui ku dowload whatsup huyo ni sawa ni panya tu.
IT siyo ku-hack (kama hata unajua maana ''hacking'')Hiyo ni IT,IT siyo kuhack tu,ni information technology,hata kuban cd ni IT,kuweka movie, nyimbo kwenye flash ni IT
Huwezi kuwa hacker bila kusoma information technology,acha kucheza mduara ukiwa umelegeza macho yako mdilikoIT siyo ku-hack (kama hata unajua maana ''hacking'')
Ndiyo maana nimekuambia hata maana ya hacking hujui. Unakariri kama wabongo wengi walivyo.Huwezi kuwa hacker bila kusoma information technology,acha kucheza mduara ukiwa umelegeza macho yako mdiliko
Ok, endelea kubishana na wengine, maana wazee wa kombati kubishana ni kama solar battery inavyochaji juaniNdiyo maana nimekuambia hata maana ya hacking hujui. Unakariri kama wabongo wengi walivyo.
Wana kitengo cha kufanya Usafi trh 23Nauliza tu…
Mara nyingi sasa tumeziona mbwembwe za makomandoo wa JWTZ.
Tumeona jinsi wanavyovunja matofali kwa mikono.
Tumeona jinsi wanavyovunja vibao kwa mateke.
Tumeona jinsi wanavyobeba mabegi ya mgongoni makubwa na mazito.
Pia, tumeona na kumsikia msemaji wa jeshi letu akisema kuwa jeshi letu ni moja ya majeshi bora 6 duniani 🤣.
Sasa, kwa ufahamu wangu mimi, majeshi yote yaliyo bora duniani yana vitengo vya cyber warfare.
Wiki hii tumeshuhudia moja ya kazi za kitengo cha cyber warfare huko Lebanon.
Ingawa hawajakiri kuwa ni wao, lakini watu wengi wenye akili wana fununu kuwa ni akina nani hao waliohusika na kuzilipua pagers za Hezbollah……IDF kupitia kitengo chao cha cyber warfare.
Sijui Kama JWTZ wana hicho kitengo. Sina hakika kama wana uwezo hata wa kudukua mifumo yoyote iliyopo Burundi au hata Sudan ya Kusini.
Kwa mnaojua, JWTZ wakoje kwenye hayo mambo?
Ndg mambo ya jeshi ni siri.Uwezo wao ukoje?
Jamani msiseme hivyo. Watatusaidia siku hiyo kama mtu asiyechaguliwa atataka kung'ang'ania.Nguvu asilimia 80, akili asilimia 20