Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #201
Mbona huwa wanatuonyesha kuvunja matofali kwa mikono 😀.Ndg mambo ya jeshi ni siri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona huwa wanatuonyesha kuvunja matofali kwa mikono 😀.Ndg mambo ya jeshi ni siri.
Asa mfuko mmoja tofari 300 si ata mimi nina Vunja na so kakomandoo ka tzMbona huwa wanatuonyesha kuvunja matofali kwa mikono 😀.
Kitengo hakipo rasmi ila watu wapo maana jeshi kuna kipindi walichukua sana watu wa informaticsNauliza tu…
Mara nyingi sasa tumeziona mbwembwe za makomandoo wa JWTZ.
Tumeona jinsi wanavyovunja matofali kwa mikono.
Tumeona jinsi wanavyovunja vibao kwa mateke.
Tumeona jinsi wanavyobeba mabegi ya mgongoni makubwa na mazito.
Pia, tumeona na kumsikia msemaji wa jeshi letu akisema kuwa jeshi letu ni moja ya majeshi bora 6 duniani 🤣.
Sasa, kwa ufahamu wangu mimi, majeshi yote yaliyo bora duniani yana vitengo vya cyber warfare.
Wiki hii tumeshuhudia moja ya kazi za kitengo cha cyber warfare huko Lebanon.
Ingawa hawajakiri kuwa ni wao, lakini watu wengi wenye akili wana fununu kuwa ni akina nani hao waliohusika na kuzilipua pagers za Hezbollah……IDF kupitia kitengo chao cha cyber warfare.
Sijui Kama JWTZ wana hicho kitengo. Sina hakika kama wana uwezo hata wa kudukua mifumo yoyote iliyopo Burundi au hata Sudan ya Kusini.
Kwa mnaojua, JWTZ wakoje kwenye hayo mambo?
Hujawahi kuona wananchi wanavyokuwa impressed na wale makomandoo wanaovunja matofali?Duh ki ukweli sijawai kusikia au kuona majeshi yetu yakisifiwa na wananchi wanakwama wapi
Siku hizi wanatafuta waliofanya vizuri na waliochukua masomo ya sayansi . Mengineyo yamezuiliwa.Kwa kitengo chanIT jeshi letu liko chini labda udaktari na na engineer wapo na ni wachache wakati wanadeal na lasaba B na form foo failure
Nakumbuka wakati tuko university alikuwepo mjeshi mmoja tu.anaesama course X.
Mimi kila nikimsikiliza huyu mkuu wa majeshi tuliyenaye sasa hivi naishia kukuna kichwa tu.Siku hizi wanatafuta waliofanya vizuri na waliochukua masomo ya sayansi . Mengineyo yamezuiliwa.
Nauliza tu…
Mara nyingi sasa tumeziona mbwembwe za makomandoo wa JWTZ.
Tumeona jinsi wanavyovunja matofali kwa mikono.
Tumeona jinsi wanavyovunja vibao kwa mateke.
Tumeona jinsi wanavyobeba mabegi ya mgongoni makubwa na mazito.
Pia, tumeona na kumsikia msemaji wa jeshi letu akisema kuwa jeshi letu ni moja ya majeshi bora 6 duniani 🤣.
Sasa, kwa ufahamu wangu mimi, majeshi yote yaliyo bora duniani yana vitengo vya cyber warfare.
Wiki hii tumeshuhudia moja ya kazi za kitengo cha cyber warfare huko Lebanon.
Ingawa hawajakiri kuwa ni wao, lakini watu wengi wenye akili wana fununu kuwa ni akina nani hao waliohusika na kuzilipua pagers za Hezbollah……IDF kupitia kitengo chao cha cyber warfare.
Sijui Kama JWTZ wana hicho kitengo. Sina hakika kama wana uwezo hata wa kudukua mifumo yoyote iliyopo Burundi au hata Sudan ya Kusini.
Kwa mnaojua, JWTZ wakoje kwenye hayo mambo?
s sana.
Akiongea wapi, na Mzee Warioba kasema enzi zao Spika na Jaji Mkuu walikuwa huko na Raisi huko maana ni mihimili tofauti kila mtu na sehemu yakeMimi kila nikimsikiliza huyu mkuu wa majeshi tuliyenaye sasa hivi naishia kukuna kichwa tu.
Umepiga kwenye mshono mkuu.Angalia mtaani kwenu au ata kwenu kijijini nature ya watu wanao kuwa recruited Jwtz alafu ufanye generalisation kisha udraw conclusion.
Chagua kati ya youtong na Benz, Scania, Leyland mk.Kwani,gari la kichina halina ubora?
Hahahahahaha,mkuu,sema tu kwa sababu soko la Afrika ndo hilo la kimagumashi,lakini kitu cha mchina,origino,hata hizo ulizotaja haziwezi kufikia. Uje uulize simu au computer original,ina bei ganiChagua kati ya youtong na Benz, Scania, Leyland mk.
Nauliza tu…
Mara nyingi sasa tumeziona mbwembwe za makomandoo wa JWTZ.
Tumeona jinsi wanavyovunja matofali kwa mikono.
Tumeona jinsi wanavyovunja vibao kwa mateke.
Tumeona jinsi wanavyobeba mabegi ya mgongoni makubwa na mazito.
Pia, tumeona na kumsikia msemaji wa jeshi letu akisema kuwa jeshi letu ni moja ya majeshi bora 6 duniani 🤣.
Sasa, kwa ufahamu wangu mimi, majeshi yote yaliyo bora duniani yana vitengo vya cyber warfare.
Wiki hii tumeshuhudia moja ya kazi za kitengo cha cyber warfare huko Lebanon.
Ingawa hawajakiri kuwa ni wao, lakini watu wengi wenye akili wana fununu kuwa ni akina nani hao waliohusika na kuzilipua pagers za Hezbollah……IDF kupitia kitengo chao cha cyber warfare.
Sijui Kama JWTZ wana hicho kitengo. Sina hakika kama wana uwezo hata wa kudukua mifumo yoyote iliyopo Burundi au hata Sudan ya Kusini.
Kwa mnaojua, JWTZ wakoje kwenye hayo mambo?
You have nailed it.Angalia mtaani kwenu au ata kwenu kijijini nature ya watu wanao kuwa recruited Jwtz alafu ufanye generalisation kisha udraw conclusion.
They are Still using Pegasus, Israeli technology.Police wao wana Cyber kukimbizana vibaka wa simu tu.....research and Development hakuna JW wala Police.....labda TISS kidogooo wana kitengo kinafanana hicho
Mmmhh!Jeshi letu lipo imara kwenye sekta zote.
Ondoa hofu.Mmmhh!
Kukaa kimya nako ni busara kubwa.