MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Umeshampikia mumeo?JESHI AU MGAMBO??? YAKIITWA MAJESHI NAO WANATOKA MBELE???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshampikia mumeo?JESHI AU MGAMBO??? YAKIITWA MAJESHI NAO WANATOKA MBELE???
Unaishi kwa kuabudu na kutii ujinga, wakati ipo siku lazima safari yako iwe na mwisho kwa kutetea ujinga, tambua laana hii haiwezi kukuacha hata ukiwa chini ya ardhiUjasiri wa kwenye keyboard na ID fake. Nenda katamke uliyoyaandika hapa mbele yao ndo utajua ni mgambo au jeshi.
Kwani mgambo na si wanajeshi jamaa ni haaa na wewe Uwache dharauUjasiri wa kwenye keyboard na ID fake. Nenda katamke uliyoyaandika hapa mbele yao ndo utajua ni mgambo au jeshi.
Mambo
itanibidi niombe code....Powa KENZY
Mbona umeichafua barua ya JWTZ
Msumbiji inayoomba msaada SADC kwasababu huko Capo Delgado Mambo si shwari, je hiyo ni nchi tajiri? usipende kujianika kwa upumbavu ulionao.Tunajamii ya hovyo sana katika taifa hili Leo tuko karne ya 20,lakini akili zetu finyu kama za watu wa karne ya 16 ,huu ni ujuha hata kichaa anatucheka, nan atuvamie taifa jenyewe maskini na watu wake had viongozi akili zao ni ndogo zinawaza matumbo yao tu..
wew unaelewa nini maana ya jeshi...Wajinga sana hawa watoto hebu tuwasamehe wanadhani jeshi ni saccos
Waliotaka vamiwa wote ni matajiri? Africa ndiyo bara masikini kuliko yote lakini ndiyo bara lenye vita kila kukicha. Unajiita masikini lakini una rasilimali zinazowatoa udenda mataifa kibao yaliyoendelea.Hawalali kwa lipi,nani aje kutuvamia nchi yenyewe maskini hii,acheni mawazo ya karne ya 20
wewe kweli ni mjinga,unajua siasa ya msumbiji???,nanyinyi endeleeni na hio siasa yenu ya ukabila na ukanda muone hilo mnaloliita jeshi la maana kama litaleta political stabilityMsumbiji inayoomba msaada SADC kwasababu huko Capo Delgado Mambo si shwari, je hiyo ni nchi tajiri? usipende kujianika kwa upumbavu ulionao.
umekuja kwa bahati mbaya , taifa lililojaa ubinafsi na ukanda haikupaswa liwe hivi ila mkiendelee na ukanda na ukabila tutaona kama political stability inaweza tulizwa na jeshiWaliotaka vamiwa wote ni matajiri? Africa ndiyo bara masikini kuliko yote lakini ndiyo bara lenye vita kila kukicha. Unajiita masikini lakini una rasilimali zinazowatoa udenda mataifa kibao yaliyoendelea.
Utulivu ulionao mpaka unapata muda wa kuandika upupu wako JF haujaja kwa bahati mbaya kuna watu wanaousimamia.
Aibu kubwa sana !Sio kila uzushi lazima jeshi litoe ufafanuzi...
Taarifa feki zinajulikana..
ukiona awamu ya sita inakukera sana, kuna sumu ya panya inauzwa pakiti 200 jaribu iyo utanishukuruwewe kweli ni mjinga,unajua siasa ya msumbiji???,nanyinyi endeleeni na hio siasa yenu ya ukabila na ukanda muone hilo mnaloliita jeshi la maana kama litaleta political stability
siwez fanya ujinga kisa wapuuzi wa chache mimi ni mtanganyika na hili ni taifa langu nitaishi na nitazikwa hapahapa tanganyika,yawezekana wewe ukawa chambo kwao ...ukiona awamu ya sita inakukera sana, kuna sumu ya panya inauzwa pakiti 200 jaribu iyo utanishukuru
Hatujapenda ulichooandika. Heshimu Jeshi letu la Wananchi.JESHI AU MGAMBO??? YAKIITWA MAJESHI NAO WANATOKA MBELE???
Sio kila uzushi lazima jeshi litoe ufafanuzi...
Taarifa feki zinajulikana..
Nimepiga hiyo nimemuomba mualiko kesho amekubali, nishaurini niende au nisiende?
Siasa ni sehemu ya maishapam
lingekuwa la wananchi,lisingekubali wananchi linalowalinda wateseke na hawa wanasiasa ucharwa..