JWTZ: Daima tutamlinda na kumtii Rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu

JWTZ: Daima tutamlinda na kumtii Rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu

Msumbiji inayoomba msaada SADC kwasababu huko Capo Delgado Mambo si shwari, je hiyo ni nchi tajiri? usipende kujianika kwa upumbavu ulionao.
Unampa mileage huyu popoma kwa kumjibu achana nae raia wa kigeni huyo
 
Umekosa tena umekosa sana ndugu yangu jifunze kuheshimu hao watu nami nilikua kama wewe lakini hao uliowadharau walikuja kunitoa sehemu hiyo kifo kilikua nje nje acha niishie hapa lakini ipo siku hii kauli yako itakuumiza sana moy wako
Kwahiyo baada ya kuokolewa huko kwenu Burundi ukahamia Tanzania!
 
Ha ha haha 😂 hivi na wewe mjeshi unatembea kifua mbele kabisa hivi mjeshi anayejielewa aliyelistotea Jeshi mpaka kupata kazi na akapata record ya kivita kwenda kulinda amani manchi mbali mbali na ma operations ya kutisha au kuwa na hata kirecord kupigana vita ya uganda na kule msumbiji kwenye mavuli wa kupigania uhuru chini ya felimo nikikuuliza huna record hizo na kama ungelikuwa nazo moja wapo usingeandika huo upuuzi .
Jeshi liko Marekani haya mengine makapiiiii
 
Jeshi marekani hawa wakwetu tunakunywa nao Chimpumu na wanakopa!!
 
Jeshi limebadilika sana, Awamu ya 5 mkuu wao alikuwa anafanya mpaka ziara ya kukagua miradi...bado kidogo tu wangeanza kuvaa mashati ya kijani
 
"Habari" yoyote title ikianza na "KIMENUKA ..." hiyo ni takataka wala haihitaji ufafanuzi.
Kuna wale madogo walirusha PM kafumaniwa and wakaweka na Picha ya Kassim Kwenye kavideo kao youtube, sijui kesi yao imeishia wapi? Youtube channels shida sana
 
Back
Top Bottom