Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Hii taarifa ilikua muhimu sana na itaondoa upotoshaji wa kijinga wa baadhi ya watu mitandaoniThis was necessary
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii taarifa ilikua muhimu sana na itaondoa upotoshaji wa kijinga wa baadhi ya watu mitandaoniThis was necessary
Na si kila uzushi wa kuachwaSio kila uzushi lazima jeshi litoe ufafanuzi...
Taarifa feki zinajulikana..
Unampa mileage huyu popoma kwa kumjibu achana nae raia wa kigeni huyoMsumbiji inayoomba msaada SADC kwasababu huko Capo Delgado Mambo si shwari, je hiyo ni nchi tajiri? usipende kujianika kwa upumbavu ulionao.
I wish waliopost ule upuuzu wajulikane na wawekwe publicHii taarifa ilikua muhimu sana na itaondoa upotoshaji wa kijinga wa baadhi ya watu mitandaoni
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Anakulavu..🙈
Umeitwa na nani wapi?
Kwahiyo baada ya kuokolewa huko kwenu Burundi ukahamia Tanzania!Umekosa tena umekosa sana ndugu yangu jifunze kuheshimu hao watu nami nilikua kama wewe lakini hao uliowadharau walikuja kunitoa sehemu hiyo kifo kilikua nje nje acha niishie hapa lakini ipo siku hii kauli yako itakuumiza sana moy wako
Hivi palikua na muhim wowote ,weka neno ilo , maana tunajua ni wajibu wao kutii
Jeshi liko Marekani haya mengine makapiiiiiHa ha haha 😂 hivi na wewe mjeshi unatembea kifua mbele kabisa hivi mjeshi anayejielewa aliyelistotea Jeshi mpaka kupata kazi na akapata record ya kivita kwenda kulinda amani manchi mbali mbali na ma operations ya kutisha au kuwa na hata kirecord kupigana vita ya uganda na kule msumbiji kwenye mavuli wa kupigania uhuru chini ya felimo nikikuuliza huna record hizo na kama ungelikuwa nazo moja wapo usingeandika huo upuuzi .
"Sadism is inevitable, when situation alarming"Nimepiga hiyo nimemuomba mualiko kesho amekubali, nishaurini niende au nisiende?
Kuna wale madogo walirusha PM kafumaniwa and wakaweka na Picha ya Kassim Kwenye kavideo kao youtube, sijui kesi yao imeishia wapi? Youtube channels shida sana"Habari" yoyote title ikianza na "KIMENUKA ..." hiyo ni takataka wala haihitaji ufafanuzi.
Sawa Mama D!Na ujumbe
usidharau nguvu ya teknolojia. kule youtube hiyo taarifa ina views laki tatu ndani ya siku mojaSio kila uzushi lazima jeshi litoe ufafanuzi...
Taarifa feki zinajulikana..
upuuzi gani?Mngefanya kama mamadou doumbuya lile jamaa jasiri Sana, lingekuwa lenyewe lisinge ruhusu huu upuuzi unaoendelea wa msoga gang.
Hii kauli imekuwa ikijirudia rudia kwani kuna nini?