JWTZ fungukeni macho mnahujumiwa

Mtoa mada wewe ni mwongo sana na una nia ya kutisha watu bila sababu ya maana,huo ni UZUSHI mkubwa umeleta.
 
Kamanda Chakaza nasema habari hizi sio sahihi.
 
Last edited by a moderator:
Ni wazi kwa Watanzania wengi kuwa jeshi letu Lina nguvu kuliko majeshi ya nchi washirika(EAC). Taarifa kama hizi si za kufumbia macho. Pia ni kweli kuwa raia wana nafasi katika kutoa taarifa ila tukumbuke kuwa kama kweli Kuna mbinu za kijasusi kukamilisha lengo Lao wao si wapumbavu kwa maana kwamba watajitahidi kwa namba yoyote wafanye kazi Yao kwa usiri na uthabiti. Muhimu vyombo vinavyohusika wafuatilie Hilo na kuchukua hatua stahiki
 
kwani anakosa gani?.au unadhani jamiforum wahusika hawaingi humu.hata hivyo ninawasiwasi na wewe kwa kiswahili chako hicho.

Wacha upuzi kama unakijua kishwahili rudia post yako kisha rekebisha mwenyewe halafu uje ufute kauliyako
 
Si mpaka vita itokee sasa!!isipotoke,na madhara hayataonekana hivyo kufanya zoezi la upigaji pesa kuwa endelevu na lenye kulevya zaidi.


Hili ndio tatizo la sasa,tunaangalia leo na si kesho,unaposema mpaka vita itokee ama isitokee hizo ni fikra za zama za ujima,dunia ya leo vita haipiganwi hovyo,watu wanaandaa long-term plan kwa maslahi ya nchi yao,wanaanzisha chokochoko na nchi nyingine kwa maslahi, wanaangalia weakness ya nchi unayotaka kupigana nayo kwa kudukua taarifa za siri ama kuingiza majasusi kujua una nini ktk ulinzi,suala la ulinzi wa taifa ni nyeti sana na upunguani huu kama wako wa kuingiza wizi/ufisadi ktk masuala ya ulinzi kwa kulipigania tumbo lako na familia yako ni hujuma kwa ulinzi wa taifa.
Tuwe wazalendo.
 
WaTANZANIA tumelala fofofooo nimemaliza kazi yangu kulisaidia taifa langu watu bado wanabisha wakati wenzetu wako katika long term plan sie tuna endelea kudiscus million kumi za mboga haya kwa herini wadau ila wale wanofanyanyia kazi hizi habari najua watakua tayari wameshaona viashiria flani sipendi kwenda mbali naishia hapo
 
sory bro sikuja kubishana huwezi ukapinga tafiti kwa maneno tafiti hupingwa kwa tafiti kwa heri
 
sory bro sikuja kubishana huwezi ukapinga tafiti kwa maneno tafiti hupingwa kwa tafiti kwa heri

nilipoipata hii habari nilijua ni mpya kumbe inajulikana sana tu tatizo kila mtu alikua anaiongelea chinichini hebu tungtuone baada ya miaka 6 nini kitatokea wasipochukua hatua naskia jamaa wanalindwa sana kutokana na uwezo wao mkubwa kiuchumi
 
Hizi taarifa sio ngeni hata kidogo, zipo na zimewahi kuandikwa na gazeti lile lililofungiwa
Walishawahi kukamatwa mawakala kinondoni ishu ikarushwarushwa baadae ikaisha kimyakimya, kwa kifupi tuna wageni wengi mno nchini na wengine wakiwa na mpaka vitambulisho vya taifa
 

Akili yako ni ngumu kuelewa sana , hizo hesabu ni estimation. We rst umezipeleka huko, we hufai hata kuwa humu jf, akili yako ya kuchanganua mambo ni shida
 
Akili yako ni ngumu kuelewa sana , hizo hesabu ni estimation. We rst umezipeleka huko, we hufai hata kuwa humu jf, akili yako ya kuchanganua mambo ni shida

Sana haswa logic inapogoma. . .. .akili ndogo hujibiwa na majibu makubwa mpaka ione aibu lakini kama akili kubwa inaishia kubwabwaja bila majibu basi tofauti inakosekana!!!
 
bora wewe bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…