Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 866
- 625
Superbag unachojaribu kufanya in kujitekenya mwenyewe na kutaka wengine wahisi hisia zako. Hakuna wakati ambao jeshi limeonekana kuwa jeshi la wananchi kama kipindi cha awamu ya Tano, tumeona jinsi wanavyotekeleza majukumu yao kwa weledi mkubwa kama wakati juu.
Siasa za kizalendo za CCM ambazo zimewalea majeshi yetu zitalifikisha mbali Taifa letu. Hongera JPM kwa ufunuo huo. Kama rangi ya magwanda yao inaku irritate wew e zoea tu tutaendelea kuziona miongo kadha ijayo.
Siasa za kizalendo za CCM ambazo zimewalea majeshi yetu zitalifikisha mbali Taifa letu. Hongera JPM kwa ufunuo huo. Kama rangi ya magwanda yao inaku irritate wew e zoea tu tutaendelea kuziona miongo kadha ijayo.