JWTZ kutumwa tena DRC, Rais wa DRC asema kikosi cha Afrika mashariki kinashirikiana na M23 kuimaliza DRC

Hii vita kuisha kwake ni hadi hayo Madini yaliyopo DRC yaishe.

Unadhani PK anajenga miundombinu ya gharama pale Kigali kwa fedha za Kilimo ambacho nasisi Watanzania tunalima?

Au Utalii upi wa kutuzidi Watanzania
Ni kweli, DRC ndiyo inayokuza uchumi wa Rwanda. Kwahiyo vita haitaisha labda Kagame aangushwe kutoka madarakani. Vinginevyo DRC itaendelea kukuza uchumi wa Rwanda milele
 
Kule DRC kunaonekana kuna hata watu wapo ndani ya drc government na wanashirikiana na waasi.
Juzi hapa general wa kenya kajitoa kule kwenye jeshi la East Africa maana anaona Uganda ambao wapo ndani ya jeshi la east Africa wanatoa siri kwa waasi wa drc.
Vitu ambavyo anajadili pamoja.
 
Miezi kadhaa iliyopita jeshi la east Africa Liliacha kushilikina na rwanda maana waliona rwanda rwanda wanapeleka siri kwa waasi.

Pia general wa kenya amegundua kuwa wanajeshi wa Uganda 1000 waliopelekwa kule baadhi yao wanashilikina na waasi waliokuwa misituni maeneo ya mipaka ya Uganda na rwanda.
 
Mkuu ndani ya jeshi la africa mashariki kuna kenya ambaye ni kiongozi, Tanzania ,Rwanda, Uganda na Burundi, na South sudan.

Shida ilianza kwa baada jeshi la east Africa kuwaingiza Magenerali wa rwanda kwenye Vikas vya kujadili usalama wa congo.
Ikanonekana wanatoa siri kwemda Kigali na makundi ya uasi drc.
Baadae wakatoa barua east Africa kuwatoa rwanda wakafanikiwa.

Baada ya kama mwezi Uganda wakapeleka wanajeshi 1000 kulinda drc.
Ila uchunguzi ukaonekana baadhi ya viongozi wa Uganda wanapeleka majadiliano kwa waasi.
Na Generali wa kenya kasema kuwa itakuwa ngumu maana inaonekana wale wanajeshi 1000 wa Uganda baadhi yao wanafanya kazi na waasi kama m23 ambao sasahivi wapo kwenye vijiji vya congo ila mpakani mwa Uganda na rwanda.
Na kumbuka still Burundi pia kuna watusti.
Ndo maana jeshi la Africa mashiriki linaonekana sio kitu.
●KUNA USALITI NDANI YA JESHI KULE LA AFRICA MASHARIKI SIDHANI KAMA WANGEFANIKIWA KWENYE OPERATION YAO HIO●
 
Kama ningekuwa Rais wa TANZANIA ningepelekea Full kikosi hapo Mashariki ya DRC yaani ni Full Vita, lengo ni kulinda Maslahi mapana ya nchi yetu hasa Kiuchumi.

DRC imekuwa nchi muhimu sana kwa uchumi wetu, hapa ndipo unapomuona USA katili, yy ukiisumbua nchi aliyo na maslahi nae atadeal na ww kwa kila hatua.

RAIS SAMIA, amua kupeleka kikosi kamili hapo DRC tutengeneze wigo wetu wa uchumi, hii ndio njia ya kujiwekea hali salama na uchumi imara, tulinde masoko yetu.

Ningekuwa Rais wa TZ naamini muda huu KAGAME sio Rais wa Rwanda, lazima ningepandikiza Mtz kama ilivyokuwa BURUNDI, UGANDA, DRC wakati wa KABILA.

Ukanda huu msumbufu ni KAGAME, na ningeshamuondoa madarakani, iwe kwa Demokrasia au kupinduliwa.
 
Ni kweli, DRC ndiyo inayokuza uchumi wa Rwanda. Kwahiyo vita haitaisha labda Kagame aangushwe kutoka madarakani. Vinginevyo DRC itaendelea kukuza uchumi wa Rwanda milele
Hakika Mkuu, PK amefanikiwa kuwa blind jumuiya ya kimataifa na kujifanya mara kadhaa kuwapeleka askari wake kumbe ni yeye mwenyewe muhusika
 
Huyo jenerali ndiye aliyekuwa anashirikiana na m23, kaona maji yamemfika shingoni kajiuzuru.
Askari wa chini yake kumwacha akijiuzulu bila kumshughukia kijeshi hawajakitendea haki jeshi la Kenya alitakiwa kurudi Kenya akiwa kwenye jeneza Askari walio chini yake wangemalizana naye

Kwa nini? Yeye kama kamanda kama msaliti anasababisha Askari wadogo kupigwa Risasi na kuuawa na M23 yeye akiwa tu anakula nao pizza na chips kuku

Askari wadogo walitakiwa wamuue arudi maiti Kenya

Sababu aweza toa maelekezo mabovu kwa kujikomba kwa M23 yakasababisha Askari wadogo kufa dawa ilitakiwa kumuuua akiwa kongo maiti wampelekee Ruto wanwambie M23.wamemuua vitani kwa ambush

Kamanda vitani anatakiwa kutokuwa muoga wala kuungana na adui ina cost Askari wadogo waweza uawa kama kuku vitani

Askari wadogo wa jeshi la Kenya walioko kongo hawajalitendea haki jeshi lao Kenya huyo Generali alitakiwa arudi Kenya akiwa kwenye jeneza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…