Mkuu watu wanabeza tu, ila JWTZ sio mchezo.Waliingia visiwa vya Anzuani kama sikosei,usiku,asubuhi washaipindua serikali,kilichoifutia UN hapakuwepo na umwagaji wa damu.
Kwenye makablasha ya UN nahisi Tz imeandikwa Kwa peni nyekundu.
Kama utakumbuka,nchi ya kwanza barani Africa kukutana na Obama alipoingia madarakani ni TZ,wachambuzi wanasema ni Kwa sababu za misheni zake kijeshi.
Rais wa congo yuko mjini Gaborone kwa ziara ya kikazi na leo amesema kikosi cha Afrika mashariki kilichopelekwa nchini mwake hakijafanya lolote la maana na kimeanza kushirikiana na waasi wa M23 na ameziomba nchi za SADC zisaidie.
Mh Rais Samia Suluhu Hassan yupo mjini Windhoek na ameombwa Tanzania kuwa kiongozi wa kikosi kitakacho tumwa DRC hivi karibuni kupambana na waasi wa M23.
Itakumbukwa kuwa kikosi cha SADC kikiongozwa na Tanzania kiliwahi kuwafurahisha waasi wa M23 miaka ya 2010-2014 likishirikiana na wale wa Malawi na South Africa.
My take: kumbe wale wakora wa KDF wako kushirikiana na waasi hii ni hatari sana kwa walinda amani kushirikiana na wauwaji
chanzo RFI
USSR
=======
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi amelishtumu jeshi la Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kutofanya vya kutosha kudhibiti utovu wa usalama Mashariki mwa nchi yake.
Tshisekedi ametoa kauli hiyo katika siku ya kwanza ya ziara yake nchini Botswana na kudai kuwa kikosi hicho kinashirikiana na waasi wa M 23 na huenda kikaondoka nchini mwake kufikia mwisho wa mwezi Juni.
“Kazi ambayo kikosi hiki kilipewa haijatekelezwa kabisa, leo tumeona katika baadhi ya maeneo ushirikiano kati ya kikosi cha jumuiya na waasi wa M23 kinyume na ilivyopangwa kwenye makubaliano.“ alisema rais Felix Tshisekedi
EM Sound - Rais wa DRC Felix Tshisekedi amekosoa utendakazi wa kikosi cha EAC mashariki mwa nchi yake
Kauli yake inakuja siku moja baada ya mkutano wa viongozi wa Jumuiya ya SADC nchini Namibia, ambako jumuiya hiyo imesema itatuma vikosi vyake Mashariki mwa DRC.
Matamshi yake pia yanakuja baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kamanda wa kikosi hicho nchini DRC Jenerali Jeff Nyagah katika kile kilichodaiwa ni kutokuwepo kwa maelewano na uongozi wa nchi hiyo ambao pia ulikosoa utendakazi wake.
Meja generali Jeff Nyagah, aliyekuwa mkuu wa vikosi vya EACRF nchini DRC © EACRF Aidha mkuu huyo wa DRC alisema kuwa muda wa vikosi vya Jumuiya ya Afrika Mashariki utakapofika tamati mwishoni mwa mwezi Juni watafanya tathmini kuona iwapo kikosi hicho kitakuwa kimefanya kazi yake na baadae watafanya maamuzi kuona namna watakavyolinda nchi yao ya Kongo.
Wanajeshi wa EAC wanaopambana na makundi ya waasi mashariki ya DRC AP - Ben Curtis
Kando na rais Tshisekedi kukosoa jukumu na uwezo wa kikosi cha Jumuiya ya Afrika Mashariki, raia nchini humo pia nao wamekuwa na kauli sawa na kiongozi wakituhumu wanajeshi hao kwa kukosa kutekeleza walivyotarajiwa kufanya.
Licha ya uwepo wa vikosi hivyo katika baadhi ya maeneo yanayodhibitiwa na makundi yenye silaha ikiwemo M23, mashambulio dhidi ya raia yamekuwa yakiendelea kuripotiwa katika baadhi ya maeneo ya mashariki ya DRC.
Waasi wa M23 wanatuhumiwa kwa kuhangaisha usalama wa raia mashariki mwa DRC AP - Moses Sawasawa
Japokuwa wanajeshi hao wanatuhumiwa kwa kukosa kuwakabili waasi, baadhi ya raia wameeleza kuwa wamerejea katika makazi yao ya zamani baada ya M23 kuondoka na kupeana sehemu kwa jeshi la Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Nchi za SADC zinajumuisha Afrika Kusini, Angola, Tanzania, Namibia, Zambia, Msumbiji, Zimbabwe na DRC.
Rwanda ni ka mkoa ka Tz, analima nini yule?Hii vita kuisha kwake ni hadi hayo Madini yaliyopo DRC yaishe.
Unadhani PK anajenga miundombinu ya gharama pale Kigali kwa fedha za Kilimo ambacho nasisi Watanzania tunalima?
Au Utalii upi wa kutuzidi Watanzania
Ni habari mchanganyiko tuliza kijambioSijaona mahali popote JWTZ as you have highlighted, zimeorozeshwa nchi, hakuna mahali popote wamewema Tanzania itaongoza...
[emoji23][emoji23]..akae kwa kutulia au sio.....
Hapana. Sio kuwarudisha Rwanda - JWTZ hawanaga taimu kufanya biashara hiyo bali ni kuwasambaratisha na kuwateketeza kabisa. Kwa Watakaobahatika kusalia wakiwa hai watarudi wenyewe Rwanda fasta.Hao M23 kiboko Yao n JWTZ dk sifuri wanawaludisha Rwanda.
Ndiyo anavyodanganya jumuiya ya kimataifa kuwa eti Rwanda imeendelea kwasababu ya Kilimo, kumbe nyuma ya pazia anaihujumu DRCRwanda ni ka mkoa ka Tz, analima nini yule?
Waache visingizio, ni military intelligence failure! Walipaswa kujua hilo before! Au kutengeneza mfumo wa kunyooshana siri ikivuja. Hata ndani ya nchi kuna kuhujumiana ila adhabu ya msaliti inafahamika!Mkuu ndani ya jeshi la africa mashariki kuna kenya ambaye ni kiongozi, Tanzania ,Rwanda, Uganda na Burundi, na South sudan.
Shida ilianza kwa baada jeshi la east Africa kuwaingiza Magenerali wa rwanda kwenye Vikas vya kujadili usalama wa congo.
Ikanonekana wanatoa siri kwemda Kigali na makundi ya uasi drc.
Baadae wakatoa barua east Africa kuwatoa rwanda wakafanikiwa.
Baada ya kama mwezi Uganda wakapeleka wanajeshi 1000 kulinda drc.
Ila uchunguzi ukaonekana baadhi ya viongozi wa Uganda wanapeleka majadiliano kwa waasi.
Na Generali wa kenya kasema kuwa itakuwa ngumu maana inaonekana wale wanajeshi 1000 wa Uganda baadhi yao wanafanya kazi na waasi kama m23 ambao sasahivi wapo kwenye vijiji vya congo ila mpakani mwa Uganda na rwanda.
Na kumbuka still Burundi pia kuna watusti.
Ndo maana jeshi la Africa mashiriki linaonekana sio kitu.
●KUNA USALITI NDANI YA JESHI KULE LA AFRICA MASHARIKI SIDHANI KAMA WANGEFANIKIWA KWENYE OPERATION YAO HIO●
Tayari tuna maslahi ya kijeshi na SADC, hawa wahuni vikao vya wachawi havidumu!Ndiyo maana juzi hapa alimtembelea bimkubwa, ukute alishajua kinachoendelea, akawahi kubargain.
AMBACHO NIMEKUWA NAJIULIZA BILA MAJIBU, NI KWA NINI JWTZ HAWAKUJUMUISHWA KWENYE KIKOSI CHA AFRIKA MASHARIKI ILHALI WANAIJUA HISTORIA YAKE?
mkono mtupu haulambwi ....weka ushahidi hapa...wa sijui comando Unit JWTZ.......wapo DRC....[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Commando unit ya jwtz ipo drc tayari hivi ninavyoandika.
Walikataa (military intelligence ilikuwa makini saana pongezi kwao)Ndiyo maana juzi hapa alimtembelea bimkubwa, ukute alishajua kinachoendelea, akawahi kubargain.
AMBACHO NIMEKUWA NAJIULIZA BILA MAJIBU, NI KWA NINI JWTZ HAWAKUJUMUISHWA KWENYE KIKOSI CHA AFRIKA MASHARIKI ILHALI WANAIJUA HISTORIA YAKE?
Wacomgoman wajifunze kuacha kuendekeza mambo ya starehe na wanawake - muziki 24X7 - likitokea la kutokea ndio wanakwenda kuomba msaada wa kijeshi kutoka kwa nchi jirani, hawana hata mpango wa kuwapatia mafunzo ya kijeshi ya nguvu na nidhamu ya hali ya juu vijana wao - jeshi bila midhani na uzalendo ni sawa sawa na hakuna - ndio maana wanajeshi wake wasikia tu mlio wa mzinga au triple A's- wanatimua mbio mpaka wanapotezana.Rais wa congo yuko mjini Gaborone kwa ziara ya kikazi na leo amesema kikosi cha Afrika mashariki kilichopelekwa nchini mwake hakijafanya lolote la maana na kimeanza kushirikiana na waasi wa M23 na ameziomba nchi za SADC zisaidie.
Mh Rais Samia Suluhu Hassan yupo mjini Windhoek na ameombwa Tanzania kuwa kiongozi wa kikosi kitakacho tumwa DRC hivi karibuni kupambana na waasi wa M23.
Itakumbukwa kuwa kikosi cha SADC kikiongozwa na Tanzania kiliwahi kuwafurahisha waasi wa M23 miaka ya 2010-2014 likishirikiana na wale wa Malawi na South Africa.
My take: kumbe wale wakora wa KDF wako kushirikiana na waasi hii ni hatari sana kwa walinda amani kushirikiana na wauwaji
chanzo RFI
USSR
=======
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi amelishtumu jeshi la Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kutofanya vya kutosha kudhibiti utovu wa usalama Mashariki mwa nchi yake.
Tshisekedi ametoa kauli hiyo katika siku ya kwanza ya ziara yake nchini Botswana na kudai kuwa kikosi hicho kinashirikiana na waasi wa M 23 na huenda kikaondoka nchini mwake kufikia mwisho wa mwezi Juni.
“Kazi ambayo kikosi hiki kilipewa haijatekelezwa kabisa, leo tumeona katika baadhi ya maeneo ushirikiano kati ya kikosi cha jumuiya na waasi wa M23 kinyume na ilivyopangwa kwenye makubaliano.“ alisema rais Felix Tshisekedi
EM Sound - Rais wa DRC Felix Tshisekedi amekosoa utendakazi wa kikosi cha EAC mashariki mwa nchi yake
Kauli yake inakuja siku moja baada ya mkutano wa viongozi wa Jumuiya ya SADC nchini Namibia, ambako jumuiya hiyo imesema itatuma vikosi vyake Mashariki mwa DRC.
Matamshi yake pia yanakuja baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kamanda wa kikosi hicho nchini DRC Jenerali Jeff Nyagah katika kile kilichodaiwa ni kutokuwepo kwa maelewano na uongozi wa nchi hiyo ambao pia ulikosoa utendakazi wake.
Meja generali Jeff Nyagah, aliyekuwa mkuu wa vikosi vya EACRF nchini DRC © EACRF Aidha mkuu huyo wa DRC alisema kuwa muda wa vikosi vya Jumuiya ya Afrika Mashariki utakapofika tamati mwishoni mwa mwezi Juni watafanya tathmini kuona iwapo kikosi hicho kitakuwa kimefanya kazi yake na baadae watafanya maamuzi kuona namna watakavyolinda nchi yao ya Kongo.
Wanajeshi wa EAC wanaopambana na makundi ya waasi mashariki ya DRC AP - Ben Curtis
Kando na rais Tshisekedi kukosoa jukumu na uwezo wa kikosi cha Jumuiya ya Afrika Mashariki, raia nchini humo pia nao wamekuwa na kauli sawa na kiongozi wakituhumu wanajeshi hao kwa kukosa kutekeleza walivyotarajiwa kufanya.
Licha ya uwepo wa vikosi hivyo katika baadhi ya maeneo yanayodhibitiwa na makundi yenye silaha ikiwemo M23, mashambulio dhidi ya raia yamekuwa yakiendelea kuripotiwa katika baadhi ya maeneo ya mashariki ya DRC.
Waasi wa M23 wanatuhumiwa kwa kuhangaisha usalama wa raia mashariki mwa DRC AP - Moses Sawasawa
Japokuwa wanajeshi hao wanatuhumiwa kwa kukosa kuwakabili waasi, baadhi ya raia wameeleza kuwa wamerejea katika makazi yao ya zamani baada ya M23 kuondoka na kupeana sehemu kwa jeshi la Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Nchi za SADC zinajumuisha Afrika Kusini, Angola, Tanzania, Namibia, Zambia, Msumbiji, Zimbabwe na DRC.
Ni Kwa sababu TZ wakijua Kuna usnitch ndani ya kikosi Cha EACNdiyo maana juzi hapa alimtembelea bimkubwa, ukute alishajua kinachoendelea, akawahi kubargain.
AMBACHO NIMEKUWA NAJIULIZA BILA MAJIBU, NI KWA NINI JWTZ HAWAKUJUMUISHWA KWENYE KIKOSI CHA AFRIKA MASHARIKI ILHALI WANAIJUA HISTORIA YAKE?