Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,973
- 13,647
Linalosema…..Lakini si walitoa tamko ...
Watakuwa wakatili hivi au kuna tamko tofauti!
Kwa ufupi wamekosa utu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linalosema…..Lakini si walitoa tamko ...
Wangewakamata wanaoingiza na kuuza hizo nguoHivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania?
CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao?
Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?
Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi?
Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.
ni hivi wanatafuta nguo za kuvaa... salikuja golini wamewakuta madogo wamechukua kila kilichokua na maaua mfano wa batic.. beba masweta na makot... mabegi nk.... iko siku tutaficha waasi mitaani ili wawashikishe adabu ndio watajua wayafanyayo wanatufunza uzalendo au usaliti.Nilijua ni wanajeshi wachache wasio jielewa wanafanya mambo kama hayo nilijiprove wrong nilipoona kiongozi jeshini anabariki suala kama hilo kwa kutoa siku kadhaa na baada ya hizo siku watakaobainika kukiona
Kauli ile ni sawa kabisa na kubariki vitendo vya kunyanyasa raia namna hiyo wajitafakari sana hawa jamaa matendo kama hayo ni usela wa kizamani sana watu tulishahama level hizo