Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya ni mawazo ya kizamani kabisa ila ndivyo watanzania wengi wanavyoamini. Mtu kama wewe akija mwanajeshi na kukumbia uvue suruali umridhishe haja zake bila shaka utakubali bila kinyongo ukidhani ni jukumu lako kufanya hivyo
Wewe ni closed school with dead students.Wewe utakuwa polisi. Jeshi liko sahihi kama ulivyosikia kwa wananchi.
Na wewe.Nime-pruni v zote mbavuni.🤣🤣🤣🤣Hakuna uongo hapo hata kidogo.
Jeshi ndio nchi.
Ukitaka maelezo tofauti na hayo ndio unataka upotoshaji wènyewe.
Hata huko Ulaya au mbinguni kazi za jeshi na hizohizo tuu.
Wanajeshi hawafundishi kuuaWanajeshi wanafundishwa kuua tu?
Kuua ndio jukumu kubwa la jeshi??
Umewajuwaje? Isije ikawa na wewe ni mmoja wao?Wapo wengi tu na wameajiriwa...
Wasomi na nyota zao!
Na wewe.Nime-pruni v zote mbavuni.🤣🤣🤣🤣
Wewe unajua kazi ya jeshi ni nini hasa?Haya ni mawazo ya kizamani kabisa ila ndivyo watanzania wengi wanavyoamini. Mtu kama wewe akija mwanajeshi na kukumbia uvue suruali umridhishe haja zake bila shaka utakubali bila kinyongo ukidhani ni jukumu lako kufanya hivyo
😂😂 Nitakuja kwani kaka kashapata mke?Usije kwangu tena Mxiiiiiiie