JWTZ mpaka leo imeshindwa kuajiri wasomi wenye vipaji halisi, sababu hizi hapa...

Nina masters ya Law ( LLB) na natarajia kujiunga na JWTZ mwakani.

Una Masters Tayari ila Hujasoma Kuelimika bali Kama Wajibu tu na Mkumbo Kwani Nijuavyo Msomi wa Calibre Yako Hawezi KUSEMA KUWA UNA MASTERS YA LAW NA UKAIITA NI LLB badala Ya LLM. Hata Mimi Mwenye B A Yangu hadi Sasa Nakushinda ktk UFAHAMU na KUPANGILIA MAMBO na Nina CONFIDENCE Ya Nguvu. Masters Yako Itufanye Tujifunze Mengi Kutoka Kwako na Siyo Rubbish Kama Hizi. Masters Ya LAW inaitwa LLM na Siyo LLB Swine Mkubwa na Masters Yako na UMEWATIA AIBU Lawyers na Advocates Wengi Ninaowaheshimu na Waliopo Humu JF na Marafiki Zangu Pia na Sijui Pia Umesoma Chuo Gani na Kipi ili Nikitilie Mashaka pamoja na Lecturers Wake!
 
Acheni ujinga nyie na upuuzi wenu kakosea ni ll,m ,(legum magister)

Tena Wewe Nadhani Ndiyo Mjinga na -------- Wa Kupitiliza. Unachokitetea hapa Ni Nini? au Unataka Mpaka Tuweke CV Zetu Hapa Wewe ----- Nazi? Nakufundisha Mara Ya Mwisho Fisrt Degree Ya Law Inafupishwa Kwa LLB na Masters Yake au Masters Ya Sheria Inaitwa LLM. NYIE ndiyo MMEIFIKISHA NCHI HAPA ILIPO KWA UJINGA, UPUMBAVU na ELIMU HII MBOVU na MBAYA! Unatetea UJINGA badala tu Ya Kumrekebisha -------- Mwenziyo? Na Kwa Upuuzi Wenu huu hata Hamna Sifa za Kuwa Wanajeshi Kwani MTAIPELEKA NCHI KUBAYA na Nimjuavyo CDF General Mwamnyange Senior Millitary Intelligence Hawezi KUKUBALI UCHAFU na UOZO Huu wa WANAOJIITA Wasomi wa Hali Ya Juu na Darasa La Saba, Form Four na Form Six bila Kusahau na Wenye Diploma ndiyo Wataendelea Kuaminika na Kupata Ajira Upesi Kwani Huwa Wako Very Loyal na Commited.
 

mkuu uko poa sana unajua nn unachoandika wape darasa
 
PHD YA NINI JESHINI,jeshi linataka wapiganaji siyo wasomi,kwanza wanaringa sana hata kubeba silaha kulinda zamu hawataki sasa wa nini jeshini watu wasiotaka kupewa amri na wengine eti hawakusoma kama wao,PHD tafuta chuo ukawa confuse vijana huko uraiani siyo jeshini kuleta haya majungu laiti ungekuwa jeshini kwa majungu haya ungekuwa umeshafukuzwa siku nyingi?.
 
Mbona hata marekani kuna wanajeshi wenye Phd na bado wanatii amri za wakubwa wao!!
 

ukweli mtupu
 
Nani amekwambia kuwa jeshini hakuna wasomi? au wewe ni aina ya wale ambao wanapenda kupayuka kwenye mambo ambayo hawayaelewi [vijiweni wako wengi sana na hivi sasa JF imekuwa kijiwe chao na suala la rational thinkers halipo kabisa sana sana ninaona wameja' irrational thinkers' ambao kazi yao kubwa ni kubwabwaja tu.
 

Jeshi linalokuja halitatumia virungu. Hivyo mwanajeshi asiye msomi hatakuwa na nafasi.
 
hayo ni matokeo ya kukosa nafasi ya kwenda cadet monduli ndo mnaanza kukandia,mbo.a wasomi kibao wako jeshin hadi maprof utawapata ukitaka.we na kidegree chako cha socialogy umekosan a fasi unapiga kelele unadhani kwenye usaili wanaangalia degree tu??,haya una Phd afu dam chafu,kifua butu,matege,huna uvungu,misuri imetika nje,sikosel,kifafa,mapele,kigugumiz,HIV,mapunye,n.k jeshi gani utaenda sasa hakuna mwanajeshi dizain hiyo .kwa hiyo elim sio kigezo we nenda tu kafundishe huko sio lazima uingie jeshini
 

Hivi JWTZ sare zao aka magwanda wanaagiza kutoka wapi vile?
Hata mafundi hawana?

Hawafanyi tafiti kuboresha ulinzi, unategemea nini?

Nchi kama Marekani, Ufaransa, Uingereza, majeshi yao yanabaadhi ya wanasayansi, wasomi. Wanatengeneza mabomu, silaha na zana za ulinzi.

Hapa kwetu Tanzania, mtu akitengeneza gobole ataishia Segelea au Keko.
 

we wa wapi??,unajifananisha na marekani na buingereza??,maendeleo haya rulionayo marekani walikuwa nayo miaka kama mia iliyopita.ntakuona zombi kama unajifananisha na mareka akati bajeti yao ya jeshi unganisha ulaya na china bado hawafiki.we wa wapi.tatizo unakariri
 

Wewe ndiyo unakariri. Utajiri wa marekani unatoka Afrika na nchi za mashariki ya kati!

Mbona sisi waafrika tupo masikini miaka nenda rudi?

Kwanini hatuendelei kama wenzetu?

Kwa maelezo yako, siku tukifikia walipo USA sasa hivi, wao watakuwa wamepiga hatua mbele sana (watakuwa wamehamia Mars?).

Inamaana tusubiri miaka mingine 100 kupata mwanya wa maendeleo waliyonayo USA sasa hivi?
 
Rais wa TAIFA kapitia jeshini. Kazi ya JESHI co kubeba mob na vji laptop. JESHI linahita watu we nye akili timamu na wanajua sababu ya wao kuwepo jeshini. PhD in yako
 
Hivi bado mnabishana? Kama huna patriotism huwezi jua ukweli....

Hivi mkiambiwa pale RMAS (Sandhurst) kuna instructor wa kitengo fulani ni m-TZ mtaamini au mtabeza? Endeleeni kudanganyana... Kumbuka siyo maeneo yote TZ wameweka siasa na ufisadi..
 
Hivi bado mnabishana? Kama huna patriotism huwezi jua ukweli....

Hivi mkiambiwa pale RMAS (Sandhurst) kuna instructor wa kitengo fulani ni m-TZ mtaamini au mtabeza? Endeleeni kudanganyana... Kumbuka siyo maeneo yote TZ wameweka siasa na ufisadi..

waaambie maaana wankariri,jeshini kuna vichwa nyie karirini tu.et kila kila kitu wenzetu marekani,mara uingereza,nani alikwambia wale n wenzako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…