Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina masters ya Law ( LLB) na natarajia kujiunga na JWTZ mwakani.
Acheni ujinga nyie na upuuzi wenu kakosea ni ll,m ,(legum magister)
Mkuu inaonekana wewe utakuwa ulifell kozi ya jeshi kama sikosei. Yaani umeongea kitu ambacho kwanza hujaonesha source yako imetoka wapi na hiyo research sijui uliifanya mwenyewe au laa!
Kama vip naomba ueleze shughuli zinazofanyika jeshini kama vile mambo ya logistic, usuluhishaji wa kesi kwenye mahakama za kijeshi huwa zinafanywa na watu gani. Unajua wewe unajiona kwamba umesoma kuliko hao wanajeshi lakini kumbuka kuna vitengo ambavyo jeshini ukipewa huwezi kumudu halafu usipende kuhukumu kitu ambacho huna uhakika nacho. Umethibitisha vip kwamba anayefukuzwa TMA sababu ni kuwa na elimu kubwa?
Kumbuka jeshi ni tofauti na taasisi zingine ndiyo maana kuna kitu wanaita kutii amri kama wewe uliingia na degree yako ukajiona ndo wewe matokeo yake ndo hayo unafukuzwa kwa utovu wa nidhamu.
Kwa msomi conservative lazima atashindwa tu maana akiambiwa kwenye parade ahesabu moja-mbili-tatu-moja yeye atalazimisha kusema nne kwa madai kwamba anajua hesabu but kijeshi inakuwa haiko hivo.
Ushauri kwako tu naona bora upige kimya kama jeshi hulijui na kama ulifukuzwa jeshi basi fanya michongo mingine usipige majungu.
Wacha uwongo wewe jeshi lina vichwa mtafute Major Gen Prof DR.Yadon M Kohi akuelimishe na ka-PHD kako.PHD jeshini unamtishia nyau nani?
PHD YA NINI JESHINI,jeshi linataka wapiganaji siyo wasomi,kwanza wanaringa sana hata kubeba silaha kulinda zamu hawataki sasa wa nini jeshini watu wasiotaka kupewa amri na wengine eti hawakusoma kama wao,PHD tafuta chuo ukawa confuse vijana huko uraiani siyo jeshini kuleta haya majungu laiti ungekuwa jeshini kwa majungu haya ungekuwa umeshafukuzwa siku nyingi?.Ukiangalia mfumo mzima wa ajira utabaini yafuatayo
1. Waalimu waliopo vyuoni 90% ni kikwazo kwa wasomi wengi wanaojiunga na jeshi hilo, akitokea mwanafunzi mwenye elimu kubwa hata Phd watafanya kila mbinu wamfukuze kwa kisingizio cha utovu wa nidhamu au watacomment kuwa kafeli.
2. Trainning zao hazija base kutafuta vipaji vya kweli katika nyanja muhimu kitaifa, kama vile madaktari, Eng, nk. Mfano Nyumbu mpaka leo wameshindwa kuifanya iwe ya kizalishaji toka enzi za mwalimu. Lugalo mpaka leo hawana hata blood bank sababu wanasayansi tiba hawapo ndio maana wanashindwa kukabiliana na migomo ya MH, sababu huko wengi 80% ni AMO na CO.
3. TMA ni kikwazo kikubwa sana katika kuwapata wasomi wazuri ndani ya jeshi hilo, elimu ya rasilimali watu kwa waalimu inawezekana ikawa ni issue. So they are trying to reduce the number of students kwa visingizio vya nidhamu ambayo ukifuatilia kiundani sio nidhamu as such but ni kutojua ubaya wakumfundisha mtu at certain level na kumwachisha mafunzo. HILO N BOMU BAADAYE.
4. Mazingira dhaifu kuwawezesha wenye vipaji kubuni kwa uhuru na kutumia taaluma zao, kufanya tafiti chanya maeneo yao ya kazi, mpaka leo hatujaziona.
5. Officer aliyetokea uraiani moja kwa moja I mean those who have got a little knowledge kuwa mkufunzi, atafundisha nini kama sio kupika majungu na kukosa comfidence?
Hayo machache yaliyobainishwa hapo juu ni chanzo kikubwa cha jeshi letu kuwa kama lilivyo hivi leo.
PHD YA NINI JESHINI,jeshi linataka wapiganaji siyo wasomi,kwanza wanaringa sana hata kubeba silaha kulinda zamu hawataki sasa wa nini jeshini watu wasiotaka kupewa amri na wengine eti hawakusoma kama wao,PHD tafuta chuo ukawa confuse vijana huko uraiani siyo jeshini kuleta haya majungu laiti ungekuwa jeshini kwa majungu haya ungekuwa umeshafukuzwa siku nyingi?.
Nani amekwambia kuwa jeshini hakuna wasomi? au wewe ni aina ya wale ambao wanapenda kupayuka kwenye mambo ambayo hawayaelewi [vijiweni wako wengi sana na hivi sasa JF imekuwa kijiwe chao na suala la rational thinkers halipo kabisa sana sana ninaona wameja' irrational thinkers' ambao kazi yao kubwa ni kubwabwaja tu.Ukiangalia mfumo mzima wa ajira utabaini yafuatayo
1. Waalimu waliopo vyuoni 90% ni kikwazo kwa wasomi wengi wanaojiunga na jeshi hilo, akitokea mwanafunzi mwenye elimu kubwa hata Phd watafanya kila mbinu wamfukuze kwa kisingizio cha utovu wa nidhamu au watacomment kuwa kafeli.
2. Trainning zao hazija base kutafuta vipaji vya kweli katika nyanja muhimu kitaifa, kama vile madaktari, Eng, nk. Mfano Nyumbu mpaka leo wameshindwa kuifanya iwe ya kizalishaji toka enzi za mwalimu. Lugalo mpaka leo hawana hata blood bank sababu wanasayansi tiba hawapo ndio maana wanashindwa kukabiliana na migomo ya MH, sababu huko wengi 80% ni AMO na CO.
3. TMA ni kikwazo kikubwa sana katika kuwapata wasomi wazuri ndani ya jeshi hilo, elimu ya rasilimali watu kwa waalimu inawezekana ikawa ni issue. So they are trying to reduce the number of students kwa visingizio vya nidhamu ambayo ukifuatilia kiundani sio nidhamu as such but ni kutojua ubaya wakumfundisha mtu at certain level na kumwachisha mafunzo. HILO N BOMU BAADAYE.
4. Mazingira dhaifu kuwawezesha wenye vipaji kubuni kwa uhuru na kutumia taaluma zao, kufanya tafiti chanya maeneo yao ya kazi, mpaka leo hatujaziona.
5. Officer aliyetokea uraiani moja kwa moja I mean those who have got a little knowledge kuwa mkufunzi, atafundisha nini kama sio kupika majungu na kukosa comfidence?
Hayo machache yaliyobainishwa hapo juu ni chanzo kikubwa cha jeshi letu kuwa kama lilivyo hivi leo.
Nina masters ya Law ( LLM) na natarajia kujiunga na JWTZ mwakani.
PHD YA NINI JESHINI,jeshi linataka wapiganaji siyo wasomi,kwanza wanaringa sana hata kubeba silaha kulinda zamu hawataki sasa wa nini jeshini watu wasiotaka kupewa amri na wengine eti hawakusoma kama wao,PHD tafuta chuo ukawa confuse vijana huko uraiani siyo jeshini kuleta haya majungu laiti ungekuwa jeshini kwa majungu haya ungekuwa umeshafukuzwa siku nyingi?.
Si kweli..., kama utaweza kupata ushahidi kwamba kuna senior officer kuanzia brig.gen kwenda juu mwenye elimu ya kimagumashi,,, naomba mods wanipe ban ya maisha,, maana hizo ndizo ngazi za maamuzi kijeshi.., ukipata hata mmoja tu kwa jeshi la sasa mm naomba ban ya maisha
Hivi JWTZ sare zao aka magwanda wanaagiza kutoka wapi vile?
Hata mafundi hawana?
Hawafanyi tafiti kuboresha ulinzi, unategemea nini?
Nchi kama Marekani, Ufaransa, Uingereza, majeshi yao yanabaadhi ya wanasayansi, wasomi. Wanatengeneza mabomu, silaha na zana za ulinzi.
Hapa kwetu Tanzania, mtu akitengeneza gobole ataishia Segelea au Keko.
we wa wapi??,unajifananisha na marekani na buingereza??,maendeleo haya rulionayo marekani walikuwa nayo miaka kama mia iliyopita.ntakuona zombi kama unajifananisha na mareka akati bajeti yao ya jeshi unganisha ulaya na china bado hawafiki.we wa wapi.tatizo unakariri
Hivi bado mnabishana? Kama huna patriotism huwezi jua ukweli....
Hivi mkiambiwa pale RMAS (Sandhurst) kuna instructor wa kitengo fulani ni m-TZ mtaamini au mtabeza? Endeleeni kudanganyana... Kumbuka siyo maeneo yote TZ wameweka siasa na ufisadi..